figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,491
- 54,884
Mi nlitaka utathimini sura. je hapa kuna wa kufika miss world?. Mi nafikiri rushwa ilitumika kuwateua. mbona mi nawaona kama wakati umewatupa mkono?. miasasa hivi vi passport size. weka fulllu
hao mamiss ni wa kiume wa kike.
nchi inaendelea kupoteza katika nyanja zote.Dah kama ma miss ndio hawa TMK hakuna wasichana wazuri!!