JERUSALEM 2006
JF-Expert Member
- Apr 23, 2012
- 527
- 596
Mungu awabariki
Mungu awabariki
Hivi makufuli amewahi kupiga picha na mke wake?
Inasaidia....kama familia imekushinda kuiweka pamoja utaweza nchi.Haisaidii kwenye profile ya utendaji kazi. Jitazame toka uanze kupga picha na kuweka kila mahali boss wako kakuongezea mshahara? Mmeishiwa
....Ni ishara njema ya mabadiliko mwenyezi mungu ayalinde mabadiliko na rehema zake juu ya rais wetu EDO na MAMAHana mke kihelehele na mafia kama huyo wa El. Kila kazi na utaratibu. Wakati unakuja ataitwa First lady, na majukumu ya kiserikal atajiingza.
Hana mke kihelehele na mafia kama huyo wa El. Kila kazi na utaratibu. Wakati unakuja ataitwa First lady, na majukumu ya kiserikal atajiingza.