Toa neno moja tu kwa picha hii

Toa neno moja tu kwa picha hii

Hakuna kitu kizuri duniani kama kumpata akupendae
 
Familia ya rais mwenye mke mmoja anayefahamika italeta unafuu sana kwa nchi yetu... Kikwete kalitia taifa hasara kwa utitiri wa wanawake wake...
Si vizuri tukarudia makosa...!!

Hivi nikumbushe alikuwa nao wangapi vile
 
Yaani mama mrembo huyu sijui alipokuwa 21yrs alikuwaje?nimempenda bureeeèrreeee
 
Tuache ushabiki wa kijinga jamani, hapa lazima kuna wajanja wanapiga hii kitu tena mbaya sana. Hichi kizee kuongea tu shida, kwenye sita kwa sita itakuwaje???? Huyu mama lazima atakuwa anapelekewa moto na wajanja.

Unamzungumzia mkea au ?mkeo tunamtambua sana kwa hilo.huyu wa El sijawahi sikia.
 
Back
Top Bottom