Nimetoka Mpwapwa juzi hapa hola.PM=Panga Mapema. haya njoo tupange halaka kabla uporoto hajavamia jukwaa.
Mbona CCM watakoma mwaka huu hata ukishindwa kupaform na wife eti sababu ni Nape lol!nilikuwa naishi jirani na shaban robert lakini nyumba yangu ikabomolewa na CCM.
My spanish lady nilijua ile safari ya Mpwapwa ina manufaa.hebu usimtaje taje uporoto wangu. Ntakung'ata.