babu watu vina vimeshaishaKwa hiyo kwa kifupi: Hili sredi liko klozdi au watu wameishiwa vina tuanzisha bongo fleva?
Kwa hiyo kwa kifupi: Hili sredi liko klozdi au watu wameishiwa vina tuanzisha bongo fleva?
Maneno yako yaonyesha kwa vina unefilisika..
Baada ya kumsema MM na wewe umefulia..
Mbwembwe zimekuishia huna pa kukimbia..
Umebaki kuuliza wapi vina wapi vina!
Maneno yako yaonyesha kwa vina unefilisika..
Baada ya kumsema MM na wewe umefulia..
Mbwembwe zimekuishia huna pa kukimbia..
Umebaki kuuliza wapi vina wapi vina!
bado sie tunashuka,kwa vina pia virazi,
kama wewe si mshuka,nenda kale maviazi,
Klorokwini mwa eka,nipe babe la azizi,
Karibu mwana karibu,tule tunda mwana iri,
Aspirini kasema,malaria yake sugu,
samunge hata kigoma,haitoisha usugu,
kama mapenzi zahama,sitaje magulumangu,
karibu mwana karibu,tule tunda mwana iri,
Na huyu ndie Lizzi, kajibu bila kusita
Kimwana hana mapozi, aitika ukimwita
Hata kama kwa herizi, iko siku nitampata
Ingawa ana walinzi , tamaa sijaikata.
Mwambie akusikie, Aspirin ni babu
Mistari mrushie , ashindwe hata kujibu
Mwishowe akukimbie, au kwako aje tubu
Vina sisi vituishie ?, hii kwetu ni aibu.
Khaaaa!
Magulu mwana wa mangu, pacha wangu kwenye fani.
Gwiji la tangu na tangu, kwenye fani sultani.
Waswahili kwa wazungu, tuwawekee mizani
Weka niweke kirungu , JF furahani.
Kuishiwa kwetu mwiko, hilo liwazi daima
Mashairi na vituko , tunazishinda sinema
Haliukosi ukoko , Jungu kuu walisema
Sio huku wala huko, washindi tutasimama.
Natamani kuwa nawe, sekunde kila dakika
Liwalo acha na liwe, moyoni nimekuweka
Mola acha asifiwe, alokuumba ukaumbika
Daima mimi na wewe, wazi wazi natamka
Vinani tuna vinani,virazi tuna viraza,
kama vipi kina nani,isiwe wao viraza,
asipirini mnani,acha mpaka kibaraza,
Vina kwetu ndo nyumbani,nchini kwetu vinani,
nakujua veve mwana,kwa kihindi ninanena,
ita ile veve bana,jaribu iba pajana,
saidia yote kana,ita inji zenu gana,
Vina kwetu ndo nyumbani,nchini kwetu vinani,
sasa narudi kikwetu,wabeja nangho namhala,
shinyanga mpaka meatu,vina hata mwamala,
naliho kunhu gwaitu,nzugu nangho ngwana nzila,
Vina kwetu ndo nyumbani,nchini kwetu vinani,
Siishi kilimanjaro,wanakotoka warangu,
lizzy kwao Tairo,mwambie aje namangu,
mpe vina kimaro,mangi meru jina langu,
Vina kwetu ndo nyumbani,nchini kwetu vinani,
Tupite kwa wamasai,yero eva lugha yao,
wanyiramba maksai,singida mkoa wao,
sina mengi ila ai,wote waende makwao,
Vina kwetu ndo nyumbani,nchini kwetu vinani,
Kwa hiyo kwa kifupi: Hili sredi liko klozdi au watu wameishiwa vina tuanzisha bongo fleva?[/QUOTE]
hehehe fellow tablet bana! hivi kandabongo man alifariki? tukiona hakieleweki tutaingia anga za inde monieee, inde moniee! kumba ee kumba. Dah! kumbe nipo JF?. khaaa!
Kwa hiyo kwa kifupi: Hili sredi liko klozdi au watu wameishiwa vina tuanzisha bongo fleva?[/QUOTE]
hehehe fellow tablet bana! hivi kandabongo man alifariki? tukiona hakieleweki tutaingia anga za inde monieee, inde moniee! kumba ee kumba. Dah! kumbe nipo JF?. khaaa!
Kloro sio wanasemaga inde moniee mwana mamaa???!
Heehe asante kwa kunifurahisha hapo juu!!Ngoja nijipange kushusha mistari ya ukweli!!
Maneno yako yaonyesha kwa vina unefilisika..
Baada ya kumsema MM na wewe umefulia..
Mbwembwe zimekuishia huna pa kukimbia..
Umebaki kuuliza wapi vina wapi vina!
Ndugu Magulumangu, hakika wanionea,bado sie tunashuka,kwa vina pia virazi,
kama wewe si mshuka,nenda kale maviazi,
Klorokwini mwa eka,nipe babe la azizi,
Karibu mwana karibu,tule tunda mwana iri,
Aspirini kasema,malaria yake sugu,
samunge hata kigoma,haitoisha usugu,
kama mapenzi zahama,sitaje magulumangu,
karibu mwana karibu,tule tunda mwana iri,
Na huyu ndie Lizzi, kajibu bila kusita
Kimwana hana mapozi, aitika ukimwita
Hata kama kwa herizi, iko siku nitampata
Ingawa ana walinzi , tamaa sijaikata.
Mwambie akusikie, Aspirin ni babu
Mistari mrushie , ashindwe hata kujibu
Mwishowe akukimbie, au kwako aje tubu
Vina sisi vituishie ?, hii kwetu ni aibu.
Khaaaa!
Kwa hiyo kwa kifupi: Hili sredi liko klozdi au watu wameishiwa vina tuanzisha bongo fleva?