Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,358
Heshima mbele mkuu Big Braza ODM,wiselady ana admit kuwa amekumiss mbaya......... :hug:
Nami pie mekumisi,
Weziledi wangu miss,
Sijabakiza kipisi,
Nakumisi hata kiss.
Kwa msisitizo nakurusha na bongofleva kabisa.
Sasa huyu ndo wiselady sasa,
Huyu ndo yule babu ampenda sasa,
Asipomwona babu anahisi kufa,
Hebu njoo mama babu apate pona....
njoo kando yangu hapa,
Njoo nipe mahaba hapa
Rukeni wote, imbeni wote kule pigeni makofi kwa pamoja
pwapwapwapwapwa....pwaaa!
Tumshukuru Mungu kwa zawadi hii,
Wiselady ni ua la zawadi toka kwa Mungu Baba.
Waizled avoumbika babu akimwona anawehuka,
Mzuri kama kasuku atembeaye ikulu,
Mungu kampendelea kampa rangi husu,
Umbo la kiafrika sura ya malaika,
Akipita njia wanaume mimacho,
wanamwangalia Wiselady wa babuuuuu.
Rukeni wote, imbeni wote kule pigeni makofi kwa pamoja
pwapwapwapwapwa....pwaaa!
Tumshukuru Mungu kwa zawadi hii,
Wiselady ni ua la zawadi toka kwa Mungu Baba.