To my dear single mothers

Hicho siyo kitendo mkizuri wenye kufanya hivyo wajirekebishe iwe kwa mwanamke au mwanaume haipendezi.
 
Hehehe mbele ya dyudyu kuna msimamo? Hem nilale mie

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hehehe mbele ya dyudyu kuna msimamo? Hem nilale mie

Sent using Jamii Forums mobile app
Si kuwa single mothers wote wanaolewa kwasababu ya sex, hawa watu ukumbue kuwa jamii imesha wa judged kuwa ni watu easy going, so simple wanaweza kulala na mwanaume yeyote. Hii ni hali inayowabidi waishi nayo, so to proof the society wrong is for them to get married.
 
Wanaume huwa hatukatai watoto shida ni pale mtoto anapokuwa daraja baba yake kuingilia ndoa yangu..!

Na kwa akili zenu wamama zilivyokiduchu huwa hamkomi na viherehere vyenu kurudi misri..!
Hahaha mkuu,kurudi utumwni Misri!
 
Una akili sana..! Ukisha likoroga utulie pale kujifanya superstar unamdindia mtu ambaye ameisha kuzalisha ni upumbavu bora uwekeze kutafuta solution za ugomvi wenu mwanao atapona mengi.

Afu mjue huwa tunapata kigugumizi kujua nini kilitokea jamaa akakuacha na mtoto wake asitake kukuoa??
 
Hahaa usichukulie serious madam ni utani tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu hatushindani as vulnerable creatures unaambiwa tu kuwa mimba hii ilikuwa bahati mbaya na mimi bado ninawategemea wazazi ambao wanataka nikasome. Sisi ndiyo tunabeba mtoto inabidi tupokee matokeo.
 
 
Mkuu si dudu tu, kuna mengi, kwanza ni security, unapojulikana wewe ni mke wa flani kuna heshima na protection, pia wanaume hawafirii kuwa watakupata kirahisi.
Sio kwa karne hii mkuu,labda ni kutojiamini tu,ninawafahamu single mothers wanaoishi kivyao na wako very successful,besides huyo mwanaume anawezaje kukupa securty wewe akamwacha mwanao,anatakiwa apende package nzima.
 
Yani umtenge mwanao kisa ndoa? mwanaume anaenipenda mimi ila hampendi mwanangu siwez kuolewa nae.. mwanangu nitaenda nae popote. Nilipo atakuwepo. Kumtenga mtoto kisa ndoa ni kiwa desperate.
 
Sky Eclat KWANI KUKAA KIJIJINI NI ADHABU?

PILI, NDOA NI MKATABA, KAMA WAMEKUBALIANA HVYO BASI HAMNA SHDA, VGEZO NA MASHARTI LAZMA VIZNGATIWE.
 
Mmmh huoni kama unamnyima mtoto haki yake ya kulelewa na kutunzwa na baba yake? Kwa nini umtenganishe na baba yake wakati baba yake hajamkataa? Na sidhani kama kuna mwanaume atakayekukubalia hilo. Imagine mwanaume ndo amchukue mtoto wenu afu akwambie kwa sababu anaoa basi wewe hutohusika na chochote kwa mtoto, mtoto atakutafuta akikua. That's too selfish
 
Hawa Wadada Jf Humu Kuna Uzi Waliponda Kuwa Hawawezi Kukaa Na Wanaume Wenye Watoto Labda Watoto Waende Kwa Bibi Zao Sasa Leo Wanajifanyakuwa Tukae Na Watoto Wao Namie Nasema Haiwezekani
Mwanamke anaekataa kukaa na mwanao hakufai mkuu kimbia...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…