To my dear single mothers

To my dear single mothers

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
58,636
Reaction score
220,349
Ni pale unapokutana na mwanaume unamweleza kuwa una mtoto, mwanaume anasema amekupenda lakini hayuko tayari kuishi na mtoto asiye wake. Kwakuwa unahitaji ndoa unampeleka mtoto kwa wazazi wako aishi huko.

Umeolewa na umefanikiwa kupata watoto, wale watoto wako wanamcheka kaka yao kwasababu wazazi wako wanaishi kijijini na mtoto amekulia kijijini, wenzake wanamuona wa bush, wewe unajisikiaje ukiwa kama ndiye binadamu uliyemleta huyu kiumbe duniani?
 
Bora usiolewe kama hamtaki mwanao

Sent using Jamii Forums mobile app
Thank you, unakuta una mume hataki kumuona mwanao, mume akiwa safarini ndiyo unaangiza mwanao aletwe, ukisikia anaingiza gari gatini unamwambia mtoto aondoke kwa kupitia mlango wa jikoni ni maisha gani haya hata kama ni pesa.
 
Mi
Thank you, unakuta una mume hataki kumuona mwanao, mume akiwa safarini ndiyo unaangiza mwanao aletwe, ukisikia anaingiza gari gatini unamwambia mtoto aondoke kwa kupitia mlango wa jikoni ni maisha gani haya hata kama ni pesa.
Mi hapana bora nibaki mwenyewe tu
 
Kama Nanyie Wanawake Ambao Hamjazaa HamMko Tayari Kuishi Na Wanaume Wenye Watoto Basi Nasiye Wanaume Tunakuwa Hvyo Hvyo
Wapo wengi tu ambao wanachukulia kukutana na wanaume wenye watoto kama ni Baraka kutoka kwa Mungu kukupa familia ready made.
 
Ni pale unapokutana na mwanaume unamweleza kuwa una mtoto, mwanaume anasema amekupenda lakini hayuko tayari kuishi na mtoto asiye wake. Kwakuwa unahitaji ndoa unampeleka mtoto kwa wazazi wako aishi huko.

Umeolewa na umefanikiwa kupata watoto, wale watoto wako wanamcheka kaka yao kwasababu wazazi wako wanaishi kijijini na mtoto amekulia kijijini, wenzake wanamuona wa bush, wewe unajisikiaje ukiwa kama ndiye binadamu uliyemleta huyu kiumbe duniani?
Wanaume huwa hatukatai watoto shida ni pale mtoto anapokuwa daraja baba yake kuingilia ndoa yangu..!

Na kwa akili zenu wamama zilivyokiduchu huwa hamkomi na viherehere vyenu kurudi misri..!
 
Ni pale unapokutana na mwanaume unamweleza kuwa una mtoto, mwanaume anasema amekupenda lakini hayuko tayari kuishi na mtoto asiye wake. Kwakuwa unahitaji ndoa unampeleka mtoto kwa wazazi wako aishi huko.

Umeolewa na umefanikiwa kupata watoto, wale watoto wako wanamcheka kaka yao kwasababu wazazi wako wanaishi kijijini na mtoto amekulia kijijini, wenzake wanamuona wa bush, wewe unajisikiaje ukiwa kama ndiye binadamu uliyemleta huyu kiumbe duniani?
Sasa kama umeshaolewa... unakuwaje tena single mother??

Afu napenda kurekebisha... hakunaga kitu kama single mothers/fathers... kuna single parents.
 
Wanaume huwa hatukatai watoto shida ni pale mtoto anapokuwa daraja baba yake kuingilia ndoa yangu..!

Na kwa akili zenu wamama zilivyokiduchu huwa hamkomi na viherehere vyenu kurudi misri..!
Ninadhani hii iwekwe wazi kuanzia mwanzo wa mahusiano, unamwambia mwanamke nitakaa na mtoto lakini baba yake asiwe involved. Na aelezwe sasa hivi, ninaho mifano baba anaambiwa kabisa nimeamua kuwa na maisha yangu na mtoto atakutafuta akikua.
 
Back
Top Bottom