CPU Kwa mtindo huo Asha D anawenza shangaa akakupenda...
But then nakubuka kua CPU kazungumzia sana kuhusu huyu binti
but inavyo onesha sidhani kama huyu Asha D anawajibika ipasavyo....
Inakuaje pale mapenzi unayoyasikia na nguvy zoote unazoelekeza kwake,
Ni kama hizo hizo anazoelekeza kwa mwingine... Lets say huyu Asha D
haambiwi wala halali juu ya mkaka mwingine Kwa mfano Kaizer....
Ana hangaika huku na huku kama wewe ... Kutapa huku na huku kama wewe..
Waweza kweli mlaumi Asha D kama hakuelewi na hali mapenzi unayosikia juu yake
ndo mapenzi anayoyasikia kwa Kaizer???
Naye Asha D anatumia effort hizo hizo... Mara atupie kitu white sababu jamaa anataka hivyo
Mara ahangaike huku na kule kuhakikisha wine imenunuliwa ipo inamsubiri,
Mara awe tayari kwa ku** kila jamaa yake anapokua stressed na anahitaji..
Nisiendele zaidi maana naona huyo CPU unaemfahamu yuko katika hali
ngumu kama bibie Asha D (mbaya she is married.,,)
Labda shauri CPU, tunaweza tatua vipi???
Daaaah
Uliyoyasema ni ngumu kumesa aiseee
Hasa hapo unapoanza kujieleza ktk bold
Kama huyu Asha anafanya hivi wakati anajua nimeshamuoa na ni mke wangu wa ndoa, ni wazi kwamba kuna tatizo.
Inawezekana kitu anakipata huko kwa jamaa ambacho mimi simpi, au pengine ni tamaa zake tu mwenyewe.
Ni suala ambalo binadamu wengi hatuwezi vumilia hasa tunapofahamu mwenza wako anafanya hayo.
Kutokana na udhaifu wetu binadamu, ni wazi kwamba huwezi kuendelea kumpenda kama mwanzo
Yesu alisalitiwa na Yuda lakin bado hakupunguza upendo.
Kutatua suala kama hili njia zipo nyingi, hata wewe unaweza kupendekeza. Nisiende off topik kwa kutaja njia hizi.
Ninachoweza kusema ni kwamba binadamu tujitambue vizuri kwanza kimwili na kiroho
Sisi binadamu hatujakalimika kimwili wala kiroho, yatupasa tupendane pasipo kuangalia mapungufu yetu.
Kama unaona haya mapungufu mengine yapo ndani ya uwezo wangu, nikiyajua sitasita kuyafanyia kazi.
Kama mimi naweza hiki kile sikiwezi basi huo ni upungufu wangu, maana hata huko kwa jamaa wa nje hutapata kila kitu.
Utafikiria kutafuta jamaa mwingine ambaye jamaa wa awali hana, na utaendelea na tabia hiyo mwishowe utakuwa branded MALAYA
So my point is kila mmoja ajitambue, atambue na wengine, atambue na madhaifu ya binadamu
Tukielewa haya, tunaweza kudumu mapenzini