Ezra Jackson
Member
- Nov 21, 2016
- 8
- 3
kama tungetaka kufanya Kaz tusingekazana na kusoma shule tungejiingiza ktk shughuli yyt ilihali tupate chochote kinywani, akin tulisoma ili tupate mcngi wa kufanya Kaz either tulosomea au kujiongeza kulingana na ujira tuupatao kwa Kaz, so kwa huu utawala imeonekana ni tough hata kwa alosoma, ni shiiida.Cha ukucha ulichopiga asubuhi hii nouma, we huna uwezo wa kufatilia kila kona. Kama ungekuwa nao Si ungeutumia huo uwezo Ili wasilalamike.
fanya kazi utasogea kuliko kufatilia kila Kona. We unaweza kuanzisha thread Tu Na kuchonga ngenga.