MovingForward
JF-Expert Member
- Nov 10, 2009
- 489
- 49
Damu ya Watanzania waliouawa Kagera kwa sababu ya Gadafi kum-support Iddi Amini, inamlililia toka ardhini. Na yeye wakati wake umefika kuyanywa maji machungu. Anayemsupport akome kabisa! Mimi nilitamani awe ameondolewa mika 33 iliyopita, aliposhiriki kuwaua ndg zetu wa Kagera na watanzania kwa ujumla wao walioshiriki ktk vita kutetea mauaji.
Kama unamsaupport nenda kambi ya jeshi ya Lugalo, ukaone wazee wetu walioathirika na vita vile ambavyo wanazidi kuishi maisha ya kupungukiwa (angalau walio hai bado).
Sina maana ya sera ya jino kwa jino lakini mtu mwovu ataangamia kwa kadri ya uovu wake, auae kwa panga atakufa kwa panga.
kwa sababu ya kujenga misikiti ndo mnamwona ni mtu mwema???
Nasikitika amechelewa kuondoshwa!
Kama unamsaupport nenda kambi ya jeshi ya Lugalo, ukaone wazee wetu walioathirika na vita vile ambavyo wanazidi kuishi maisha ya kupungukiwa (angalau walio hai bado).
Sina maana ya sera ya jino kwa jino lakini mtu mwovu ataangamia kwa kadri ya uovu wake, auae kwa panga atakufa kwa panga.
kwa sababu ya kujenga misikiti ndo mnamwona ni mtu mwema???
Nasikitika amechelewa kuondoshwa!