To be honest, I love Gadaffi...

Its an unfair end to the good man... Atleast ndio kiongozi aliyethubutu kuwaambia ukweli waarabu wenzie kuwa ni waoga na wanafiki..
Pia alitamani afrika iwe kitu kimoja na kuwa na sauti...
But the world does no longer need honest and free monded people...
Gadafi pole sana.

Umenigusa sana na mada yako. Ninapoona waasi wanaosaidiwa na nchi za magharibi wakisonga mbele didhi ya Gadaffi huwa naumia sana. Binafsi naamini amefanya mengi mazuri sana. Ni kweli mapungufu yapo, na naamini hamna anaebisha kwamba kutawala watu wengi kama nchi ni lazima utumie aina fulani ya utawala kama (e.g. autocratic, democracy, leizure fair) kutemegemeana na situation ili mambo yaende. Alitumia mabavu kiasi fulani na mambo yakaenda kama tunavyosikia mambo yao ni mazuri ukianzia kilimo, elimu, infrustructure etc.

Nisingekuwa na shida sana kama hao waasi wangekuwa ni mawazo yao binafsi kinchi na sio mtazamo wa kifikra wa kimagharibi. Kuna gazeti sikumbuki ni lipi kati ya Tanzania daima au MwanaHalisi (mwenye habari kamili tafadhali naomba utujuze) liliwahi kutoa historia ya jinsi nchi za kimagharibi walivyofundisha waasi kwa nyakati tofauti ili wamng'oe Gadaffi tangu kipindi cha mwanzoni mwa miaka ya 80's.

Namalizia kwa kusema Change is Inevitable lkn inategemea ni mabadiliko ya namna gani na yenye nia gani
 
Gadaffi huyu huyu alimsaidia Idd Amin kwenye vita vya kagera dhidi ya Tanzania, leo wewe Mtanzania unamsifia wakati aliua ndugu zetu kule Kagera! duh haya ndo hivyo malipo hapa hapa duniani! endelea kumpenda wakati aking'olewa

Ni mtazamo wake, unajuaje pengine wana undugu...
 
Behind gadaff there is no strongest man ever, ingawa binadamu wote hatukosi mapungufu, lakini tunaangalia wapi palipo juu sana, kati ya wanaume waliopo afrika wanaosubutu kusimama na kuitetea afrika basi ni huyu jamaa na sio viongozi wetu uchwala wanaorespond kwa kila kitu kwa kuhofia kunyimwa msaada wa vyandarua kutoka nchi za magharibi, na wewe unayetetea vita ya kagera unahaja ya kufanya upembuzi wa ziada ili kujua undani wa ile vita na sio kukurupuka au kusoma historia ambazo nyingine hudanganya ili watu waamini kile wanachotaka wao ili kuficha ukweli.
 
Wakati wabongo mnamlilia Gadaffi watu wake aliowatawala kwa miaka 42 wanashangilia kuondoka kwake.
Mseveni aliwambia wapinzani wake kuwa kwotapin inaingizwa kwenye baisikeri na nyundo na utolewa na nyundo.

Hao wanaoshangilia ingelikuwa inawezekana tungebadilishana nchi wao waje Bongo waongozwe na Rais wetu bila ya kumwaga damu (kwa maana wamemchoka Gadafi) na idadi kama inayompinga Gadafi waende Libywa wakaongozwe na Gadafi
 
Umenigusa sana na mada yako. Ninapoona waasi wanaosaidiwa na nchi za magharibi wakisonga mbele didhi ya Gadaffi huwa naumia sana. Binafsi naamini amefanya mengi mazuri sana. Ni kweli mapungufu yapo, na naamini hamna anaebisha kwamba kutawala watu wengi kama nchi ni lazima utumie aina fulani ya utawala kama (e.g. autocratic, democracy, leizure fair) kutemegemeana na situation ili mambo yaende. Alitumia mabavu kiasi fulani na mambo yakaenda kama tunavyosikia mambo yao ni mazuri ukianzia kilimo, elimu, infrustructure etc.

Nisingekuwa na shida sana kama hao waasi wangekuwa ni mawazo yao binafsi kinchi na sio mtazamo wa kifikra wa kimagharibi. Kuna gazeti sikumbuki ni lipi kati ya Tanzania daima au MwanaHalisi (mwenye habari kamili tafadhali naomba utujuze) liliwahi kutoa historia ya jinsi nchi za kimagharibi walivyofundisha waasi kwa nyakati tofauti ili wamng'oe Gadaffi tangu kipindi cha mwanzoni mwa miaka ya 80's.

Namalizia kwa kusema Change is Inevitable lkn inategemea ni mabadiliko ya namna gani na yenye nia gani

Mkuu hapo kwenye red tena ukizingatia Libya ipo kwenye jangwa lakini aliweza kununua udongo kutoka Uganda na kuweza kuclaim land kwa ajili ya kilimo. Gadafi amefanikiwa kusambaza maji (water system) ndani ya jangwa na kuhakikisha hakuna shida ya maji hali kadhalika suala la nishati ya umeme huwezi kusikia wanakatiwa saa kumi nambili asubuhi mpaka kumi na mbili jioni au kumi na mbili jioni mpaka saa tano usiku never! Ama kweli binaadam hawaridhiki. Nina hakika wapo wairaq walioshangilia kama wanavyoshangilia watu wale wa libya leo hii lakini leo wanajuta na kutamani kuwa na Iraq ya Saddam Hussein kiongoze pekee alieweza kuitawala Iraq iliyoshindika hata na Nabii Ibrahim.
 
I do not believe he has has a character and intergrity required to represent, unify and be a spokeperson of Africa!All liberties we prize could be taken away because of this devilish guy called Gadafi. He has build the most expensive mosque in Tanzania, Uganda and Ivory cost. How many he would build if African states unified? Unification of Africa was his, Gadafi's trick and manipulation into getting free access to countries like Zambia, Zimbabwe, Botswana, Angola and Congo Brazavile , to build more Misikiti,where majority are Christians.
 
Its an unfair end to the good man... Atleast ndio kiongozi aliyethubutu kuwaambia ukweli waarabu wenzie kuwa ni waoga na wanafiki..
Pia alitamani afrika iwe kitu kimoja na kuwa na sauti...
But the world does no longer need honest and free monded people...
Gadafi pole sana.

To be honest, I love Gadaffi...
 
Unafki mbaya sana..!si alikuwa anatoa misaada misikitini mbona allah hamsaidii muda huu anamwacha anakula kichapo ,nimeamini mungu wa Gadafi aka allah ni mdhaifu sana !inamaana kazi ya kujenga mosque that gadafi did ,mungu wake aka allah kaona ni ujinga tu na hakumpa thawabu'!poor gadafi !i hate gadafi ,killed my grandpa at kagera war with that fool Idi amini!

ww ni kafiri, nakwahakika udhaifu wa allah ukukute inshaallah
 
hao wanaoshangilia ingelikuwa inawezekana tungebadilishana nchi wao waje bongo waongozwe na rais wetu bila ya kumwaga damu (kwa maana wamemchoka gadafi) na idadi kama inayompinga gadafi waende libywa wakaongozwe na gadafi
bora kuwa nakiongozi kama ghadafi kuliko walizi wa jailo na wauza madini ya nchi yetu
 
Hata mimi nampenda Gaddafi -- labda hasa kwa kitu kimoja kikuu kwamba alikuwa upright, alikisimamia kile alichokiamini. Hakupenda kuwa kibaraka wa Wazungu kama vile serikali ya hawa waasi itakavyokuwa kwani ni lazima walipe fadhila, kazi waliofanya NATO si mchezo, ni lazima Libya ilipe. Kwa mfano kuna lontract za ujenzi ya miundombinu iliyoharibiwa na ndege za Nato, mara nyingi kimakusudi tu ili baadaye zipatikane hizo kontract kwa makampuni ya nchi zao katika kufufua uchumi wao unaodorora!
 
Me too I like this leader. Na nimeshangaa kuona wachangiaji wengi wanamsapoti. kama viongozi wengi tu duniani waliokaa muda mrefu wana mazuri yao na mabaya yao. lakini suala kubwa je huo mwisho wake unajustify means iliyotumika -- yaani majeshi ya nje kumlazimisha kiongozi wa nchi kuachia madaraka?
 
Kumsaidia Iddi Amin ni sehemu moja ya shilingi. Sehemu nyingine ni ile inayomwonyesha Gadafgfgi kama Mwanamapinduzi ambaye hakuchoka kupigania umoja wa Afrika
 
Its an unfair end to the good man... Atleast ndio kiongozi aliyethubutu kuwaambia ukweli waarabu wenzie kuwa ni waoga na wanafiki..
Pia alitamani afrika iwe kitu kimoja na kuwa na sauti...
But the world does no longer need honest and free monded people...
Gadafi pole sana.

Funga naye ndoa if you love him
 
Aliniacha hoi mapema katika miaka ya 70 alipoulizwa na mwandishi mmoja wa gazeti la Telegraph la Uingereza kwa nini alikuwa anawasaidia kwa kuwapa silaha na fedha wapiganaji wa IRA wa Ireland ya Kaskazini waliokuwa wanapigana a serikali ya Uingereza kutaka kujitenga jimbo hilo, na hali IRA ni Wakatoliki, na wala sio Waisilamu?

Alijibu: Kwani nyie (Waingereza) mnayo haki gani kuleta choko choko katika nyua zetu huko Rhodesia, Afrika ya Kusini (kuwasaidia na kuwapa silaha makaburu? Nami ninayo haki pia kulleta choko choko katika uwa wenu.
 
Hata hivyo kama kuna mtu katika Bara la Afrika anayesikitika sana kwa yanayompata Gaddafi, basi mtu huyo ni Madiba -- yaani Nelson Mandela. Hawezi kumsahau Gaddafi kamwe.

Katika miaka ya katikakati ya 80 wakati wa utawala wa Rais Reagan wa Marekani, na Mandela bado yuko jela, gaddafi alitoa misaada mingi ya kifedha kwa ANC katika mapambano yao dhidi ya ubaguzi. Baadaye alipotoka jela, Mandela hakuacha kumshukuru "Brother Gaddafi" kama ailivyokuwa akimuita na kusema: "alitusaidia sana 'in our hour of need' wakati Reagan akiwapa misaada mikubwa makaburu yeye alikuwa anatupa misaada sisi.
 
Its an unfair end to the good man... Atleast ndio kiongozi aliyethubutu kuwaambia ukweli waarabu wenzie kuwa ni waoga na wanafiki..
Pia alitamani afrika iwe kitu kimoja na kuwa na sauti...
But the world does no longer need honest and free monded people...
Gadafi pole sana.

Oh yes... After the Arab leaders refuses his Plans of Uniting and Make him the Sole leader; Do you remember 2 weeks long Union of Libya, Egypt, Tunisia and Syria? or the African Union 4 him to become the 1st Leader? and starting distributing Money to build Hotels and Mosques to Poor African Countries including TZ?

Then Telling Nigeria they need to break up 2 form two countries one Muslim North another Christian South because they cannot live 2gether but, listen but... they have to share the OIL wealth from the South Equally.


But U know what, U R not alone a lot of our brothers here in Tanzania still feel the same, they have forgotten the hardship after War with Idd Amin and assistance from Gadaffi.

There are only two ways by which man can reach civilization. One is by being cultured, the other by being corrupt. You can choose !!!
 
Hata mimi nampenda Gaddafi -- labda hasa kwa kitu kimoja kikuu kwamba alikuwa upright, alikisimamia kile alichokiamini. Hakupenda kuwa kibaraka wa Wazungu kama vile serikali ya hawa waasi itakavyokuwa kwani ni lazima walipe fadhila, kazi waliofanya NATO si mchezo, ni lazima Libya ilipe. Kwa mfano kuna lontract za ujenzi ya miundombinu iliyoharibiwa na ndege za Nato, mara nyingi kimakusudi tu ili baadaye zipatikane hizo kontract kwa makampuni ya nchi zao katika kufufua uchumi wao unaodorora!

Oh yeah kwasababu alikuwa na OIL... but it did not last, sio yeye aliyekutana na President Bush na kuvurunga his weapons of Mass Distructions?

Sio yeye aliyeomba investments kuja kwake na watoto wake? how comes watoto 7 wote wana Madaraka?

Sio yeye ambaye jeshi lake kuu ni weusi wa Chad? kwanini hakuchagua wa kwao Libya? Au kunyonya Mtumwa Mweusi?

Watanzania kweli tumechoka...
 
Its an unfair end to the good man... Atleast ndio kiongozi aliyethubutu kuwaambia ukweli waarabu wenzie kuwa ni waoga na wanafiki..
Pia alitamani afrika iwe kitu kimoja na kuwa na sauti...
But the world does no longer need honest and free monded people...
Gadafi pole sana.
Gadhafi kama binadamu yoyote ana mazuri yake na at the same time ana mabaya yake. Nina imani Gadhafi angeendelea kuwepo madarakani endapo angesoma na kuzifanyia kazi alama za nyakati
 
Back
Top Bottom