TMA yatoa tahadhari ya mvua kubwa kunyesha leo

Miss Zomboko

JF-Expert Member
May 18, 2014
4,501
9,279
Taarifa ya TMA iliyotolewa jana na Utabiri wa siku tano inasema mvua ya leo inaweza kusababisha athari mbalimbali pamoja na baadhi ya makazi kuzungukwa na maji na kuathirika kwa baadhi ya shughuli za kiuchumi huku ikisisitiza wananchi kuzingatia agizo hilo pamoja na kujiandaa.

20201124_063919.jpg
 
na isiponyesha waombe radhi kwa kutudanganya
Kwa bahati nzuri imeanza kunyesha hivyo tuwaombe radhi kwa kutowaamini. Ila nikupongeze kwa msimamo wako wakati wa kampeni una maono si kama hawa waliokuwa wanashabikia Tototundu mpaka @mshanajr akaniombea Ban kwa kutamka hadharani kuwa Tototundu ni mpumbavu maana anawadanganya watanzania
 
Kwa bahati nzuri imeanza kunyesha hivyo tuwaombe radhi kwa kutowaamini. Ila nikupongeze kwa msimamo wako wakati wa kampeni una maono si kama hawa waliokuwa wanashabikia Tototundu mpaka @mshanajr akaniombea Ban kwa kutamka hadharani kuwa Tototundu ni mpumbavu maana anawadanganya watanzania
Imeanza kunyesha maeneo gani
 
Taarifa ya TMA iliyotolewa jana na Utabiri wa siku tano inasema mvua ya leo inaweza kusababisha athari mbalimbali pamoja na baadhi ya makazi kuzungukwa na maji na kuathirika kwa baadhi ya shughuli za kiuchumi huku ikisisitiza wananchi kuzingatia agizo hilo pamoja na kujiandaa.

View attachment 1633464
Si ndo ishanyesha au kuna nyingine ya buku jero?
 
Taarifa ya TMA iliyotolewa jana na Utabiri wa siku tano inasema mvua ya leo inaweza kusababisha athari mbalimbali pamoja na baadhi ya makazi kuzungukwa na maji na kuathirika kwa baadhi ya shughuli za kiuchumi huku ikisisitiza wananchi kuzingatia agizo hilo pamoja na kujiandaa.

View attachment 1633464
Wanasubiri mvua ianze kunyesha ndio wanatoa habari, mimi naamini habari za CNN na BBC forecast
 
Back
Top Bottom