Nendeni mahakamani kupinga Tulia kuwania uspika wakati Katiba inamkataza wazi wazi.
Tutakuwa Taifa la ajabu kuacha angalau hata kwenda Mahakamani. Najua mahakama iko compromised, but let it be on record kuwa Mahakama ilitoa maamuzi ya kishenzi.
Hosea nani alimpendekeza maana TLS umekufa bado kunuka tu!
Tutakuwa Taifa la ajabu kuacha angalau hata kwenda Mahakamani. Najua mahakama iko compromised, but let it be on record kuwa Mahakama ilitoa maamuzi ya kishenzi.
Hosea nani alimpendekeza maana TLS umekufa bado kunuka tu!