Mzalendo Uchwara
JF-Expert Member
- Jan 26, 2020
- 3,721
- 11,717
Ndugu hili limeshapita, usipoteze muda wako
Kwa wabunge hao wa CCM wapige Kura tofauti na wanavyoelekezwa! Thubutu yaoKama sio hofu ya Wabunge kumkomoa JK kwny Kinyang'nyiro cha Uspika 2015 Ndugai ilikuwa apigwe chini siku nyingi sana na nafasi hiyo apewe Binti huyu kitindamimba wa Nguli wa Kitengo cha Kijitonyama
Ilibidi Rais JPM ashauriwe ampe Ubunge wa kuteuliwa ili awe Naibu Spika
Ilipangwa akiteuliwa Tulia basi Wabunge waasi wampe kura Ole Medeye kutoka kwa Ndugu Lowassa
Duh, aisee,,,,, bado hajatokea kama Mtikila. Mtanganyika na mpiganaji wa kipekee.Hapa ndipo tunapomkumbuka Mchungaji Mtikila
Wahuni sio watu wazuri.Tanzania raia wake,wali........na mzee,kwa kuasisi kile kibatali pendwa,ule Moshi umeganda kwenye medula oblangata zetu .na kila mwaka wanatufukiza,ili dozi isipungue .siku wakisitisha hii huduma ya koloboi ,akili zitarudi mahala pake .lile koloboi Moshi wake sio mchezo.
Nendeni mahakamani kupinga Tulia kuwania uspika wakati Katiba inamkataza wazi wazi.
Tutakuwa Taifa la ajabu kuacha angalau hata kwenda Mahakamani. Najua mahakama iko compromised, but let it be on record kuwa Mahakama ilitoa maamuzi ya kishenzi.
Hosea nani alimpendekeza maana TLS umekufa bado kunuka tu!
Unataka kusema tulia ni mtoto wa kornel apson mwangonda?Kama sio hofu ya Wabunge kumkomoa JK kwny Kinyang'nyiro cha Uspika 2015 Ndugai ilikuwa apigwe chini siku nyingi sana na nafasi hiyo apewe Binti huyu kitindamimba wa Nguli wa Kitengo cha Kijitonyama
Ilibidi Rais JPM ashauriwe ampe Ubunge wa kuteuliwa ili awe Naibu Spika
Ilipangwa akiteuliwa Tulia basi Wabunge waasi wampe kura Ole Medeye kutoka kwa Ndugu Lowassa
Naunga mkono hojaNendeni mahakamani kupinga Tulia kuwania uspika wakati Katiba inamkataza wazi wazi.
Tutakuwa Taifa la ajabu kuacha angalau hata kwenda Mahakamani. Najua mahakama iko compromised, but let it be on record kuwa Mahakama ilitoa maamuzi ya kishenzi.
Hosea nani alimpendekeza maana TLS umekufa bado kunuka tu!
Naunga mkono hoja. Ingawa bunge lenyewe hata bila Tulia ni patupu pale.Hili suala ni mtambuka halina itikadi, imani wala chama au vyama hivyo waTanzania kwa ujumla wao, makundi yao , wanachama ktk vyama vyao vya kisiasa ikiwemo CCM na vyama vingine vilivyosajiliwa bila kusahau vikundi vya kitaaluma, wasomi, wakulima , wavuvi, media radio/tv, mitandao ya kijamii n.k wapaze sauti kuhusu mhimili (Bunge) unaotakiwa kwa niaba yetu kuisimamia serikali ifanye wajibu wake vizuri usitekwe nyara na kikundi cha watu wachache.
🤣🤣🤣🤣Tanzania raia wake,wali........na mzee,kwa kuasisi kile kibatali pendwa,ule Moshi umeganda kwenye medula oblangata zetu .na kila mwaka wanatufukiza,ili dozi isipungue .siku wakisitisha hii huduma ya koloboi ,akili zitarudi mahala pake .lile koloboi Moshi wake sio mchezo.
Nilidhani Akson na Apson ni majina ya watu tofauti. Anayejua tafadhali tufafanulie.WENDA mtoa mada anamanisha ,tusirushe mawe gizani ,wanasheria tunao wengi jf ,ACHA waje watusidie
Acha ibaki hivyo hivyo... Kwa sasaUnajisumbua Chuki hazita kusaidia , Tulia ni Spika. Utaki Katite upunguze uzito
Nendeni mahakamani kupinga Tulia kuwania uspika wakati Katiba inamkataza wazi wazi.
Tutakuwa Taifa la ajabu kuacha angalau hata kwenda Mahakamani. Najua mahakama iko compromised, but let it be on record kuwa Mahakama ilitoa maamuzi ya kishenzi.
Hosea nani alimpendekeza maana TLS umekufa bado kunuka tu!
Alipaswa ajiuzulu nnafadi ya naibu spika Kwanza kabla ya kugombea usipika. Ni Kama mtu kuwa waziri, halafu kabla ya kujiuzulu hiyo nafasi anaenda kugombea usipika.Acheni kuisoma Katiba na sheria zetu kama mnavyosoma novels!
Kweli Tulia hafai hata kidogo kuwa Speaker, lakini hakuna kitu chochote kwenye Katiba au sheria kinachomzuia yeye (kama Deputy Speaker) kugombea kiti cha Speaker. Kwa sababu objective ya wanasheria wenu ni kuganga njaa, acha walipeleke hili swala mahakamani ili watibu njaa zao huku wakichezea kichapo kama kawaida yao!
Alipaswa ajiuzulu nnafadi ya naibu spika Kwanza kabla ya kugombea usipika. Ni Kama mtu kuwa waziri, halafu kabla ya kujiuzulu hiyo nafasi anaenda kugombea usipika.
sahihi.Hembu dadavua nikipengele gani kinamzuia kuwania Usupika ?