hahahahahaha nacheka kama mwehu hapa nilipoVisomo vimeanza kufanya kazi
watu wanaweweseka balaahahahahahaha nacheka kama mwehu hapa nilipo
huyu kunasiku aliandika koment kuwa LISSU si wa kurudi leo wala kesho nikamshangaa sanawatu wanaweweseka balaa
Kiongozi wake sio mgonjwa, alijeruhiwa na wenye nia mbaya! Au ndio hao wenye kuhitaji nafasi yake itangazwe kuwa wazi ili waichukue?Katiba ya tls inasemaje kuhusu Kiongozi wake anaposhindwa kutimiza majukumu yake kwa sababu za kiafya?
Je, kuna uchaguzi aka uteuzi mwingine utafanyika inakuwaje?
Yeye sio Mungu...na ataaibika balaahuyu kunasiku aliandika koment kuwa LISSU si wa kurudi leo wala kesho nikamshangaa sana
Mpeleke mama yako awe RaisKatiba ya tls inasemaje kuhusu Kiongozi wake anaposhindwa kutimiza majukumu yake kwa sababu za kiafya?
Je, kuna uchaguzi aka uteuzi mwingine utafanyika inakuwaje?
afadhali wewe ndugu una moyoNdugu yangu,Mwanaccm Mwenzangu,Rais wa Nigeria amekaaa muda gani nchi za nje kwa ajili ya maradhi yanayomsumbua??na katiba yao imesemaje juu ya huyo Rais??Je,huyo rais si zaidi ya huyo rais wa TLS tena hata mwaka hajamaliza??
Nadhani cha msingi ni kumuombea apone maana ni mtanzania mwenzetu,ni kama kaka yetu,baba yetu,mjomba wetu n.k na yaliyomkuta hata wewe yanaweza kukupata,hujui siku wala saa.
Katiba ya tls inasemaje kuhusu Kiongozi wake anaposhindwa kutimiza majukumu yake kwa sababu za kiafya?
Je, kuna uchaguzi aka uteuzi mwingine utafanyika inakuwaje?
unajuaje hapo anapoandika huu uzi sio half crazy siasa kitu gani mpaka umombee mwanadamu mwenzi kifo?Yeye sio Mungu...na ataaibika balaa