Yofav
JF-Expert Member
- Mar 12, 2021
- 3,962
- 6,896
Habarini wakuu,
Kuna issue moja inaendelea kwenye maisha yangu na sihitaji kabisa kuichukulia kawaida ili isije kuniletea matokeo mabaya kwa ukubwa.
Ipo hivi, picha limenza kwa mzunguko wa biashara yangu kusimama katika hali ambayo sio ya kawaida, Napishana sana na wateja na pia sometimes wateja wengi wanaonicheki kwaajili ya uhitaji wa bidhaa fulani wanakuta kwa muda huo haipo (Sold out ❌) hali hii imekuwa ya mfululizo wa muda mrefu isivyo kawaida.
Kingine najikuta natumia hela katika hali zisizo rasmi kwa mfano kuna leo nimejikuta napakua application fulani ya kulipia na wakati huwa sinaga huo utaratibu wa kulipia apps, Na ubaya app yenyewe baada ya kuipakua haijafanya kazi.
Haijaishia hapo wakati nahamisha hela kutoka Airtel money acc yangu ili kujiongezea salio nimejikuta nimeingiza hela yote kwenye salio jambo ambalo limenihuzunisha sana kiasi cha kujipiga vibao maana hela ni nyingi kiasi ambacho hakifai kuwa katika salio pekee.
Sasa nashindwa kuelewa hii sababu yaweza kuwa nini maana sio kawaida, Nahisi kama kuna sababu isiyo ya kawaida ya kiroho kama jinsi nihisivyo ndani yangu.
Naombeni msaada wa kung'amua...
Mshana Jr
Kuna issue moja inaendelea kwenye maisha yangu na sihitaji kabisa kuichukulia kawaida ili isije kuniletea matokeo mabaya kwa ukubwa.
Ipo hivi, picha limenza kwa mzunguko wa biashara yangu kusimama katika hali ambayo sio ya kawaida, Napishana sana na wateja na pia sometimes wateja wengi wanaonicheki kwaajili ya uhitaji wa bidhaa fulani wanakuta kwa muda huo haipo (Sold out ❌) hali hii imekuwa ya mfululizo wa muda mrefu isivyo kawaida.
Kingine najikuta natumia hela katika hali zisizo rasmi kwa mfano kuna leo nimejikuta napakua application fulani ya kulipia na wakati huwa sinaga huo utaratibu wa kulipia apps, Na ubaya app yenyewe baada ya kuipakua haijafanya kazi.
Haijaishia hapo wakati nahamisha hela kutoka Airtel money acc yangu ili kujiongezea salio nimejikuta nimeingiza hela yote kwenye salio jambo ambalo limenihuzunisha sana kiasi cha kujipiga vibao maana hela ni nyingi kiasi ambacho hakifai kuwa katika salio pekee.
Sasa nashindwa kuelewa hii sababu yaweza kuwa nini maana sio kawaida, Nahisi kama kuna sababu isiyo ya kawaida ya kiroho kama jinsi nihisivyo ndani yangu.
Naombeni msaada wa kung'amua...
Mshana Jr