Inadaiwa alifatiliwa tokea wizarani.akimsubiri mkurugenzi.ni mmama kagoma kutoka.na mabegi yake yanahofiwa kuwa kwani sensor inalia
mkuu hii kitu sio ya kubeza...
miaka ya nyuma nilikuwa na mawazo kama yako, ila kuna mmarekani flan hivi ashawahi hukumiwa kifo kwa kosa la kulipua jengo flan huko Oklahoma!!jamaa ashawahi sema hakubaliani na sera za kibabe za nchi yake ndio maana akachukua huo uamuzi...
nilichojifunza hapo ni haya mazingira kandamizi yaliyopo kwenye nchi husika ndio huwa yanapelekea hayo matukio!!
na kwa jinsi nchi yetu ilivyo kwa sasa, sitashangaa kusikia mTZ kajilipua kwenye jengo flan, tunatofautiana uvumilivu tu jirani yangu...mda huu natype hii kitu kuna watu kabati lao la uvumilivu limeshajaa, m2 kama huyo yuko tayari kufanya lolote....i&i
Atakuwa CHADEMA kasahau maelekezo anafikiri kaisha fika Igunga.
Na mtawakubalia tu, vinginevyo ni kujilipua kwa kwenda mbele.Labda kwa sababu walikataliwa kuanzisha........!
Ah! Sitaki kuamini hili, labda nisubiri kiduchu.
Atakuwa CHADEMA kasahau maelekezo anafikiri kaisha fika Igunga.
Atakuwa CHADEMA kasahau maelekezo anafikiri kaisha fika Igunga.
Labda kisimu cha mchina ndani begi bhana, vipi BAKWATA watatoa tamko kuhusu hilo? yaani hijabu kuvaliwa na mwanamme na kutaka kujilipua? au hadhalilishi uislam hapo? hadi iwe Igunga kwa mwizi wa Kura? haya bhana
NADHANI NI KAZI YA YALE MAKONTENA MA3 YALIPELEKWA IKULU CHINI YA ULINZI mkali.Atakuwa CHADEMA kasahau maelekezo anafikiri kaisha fika Igunga.
eleza kwa nn isiwe wewe.
1. huna kazi yoyote humu duniani
2. upo upo tu kama gazeti la juzi
3. hakuna utakachoacha wala hakuna wa kukukosa!!
kuna wengine wameihusisha na operesheni kamata kamata wrong parking,machinga na migogoro ya viwanja
umenichekesha sana. kila kitu ni chadema.Atakuwa CHADEMA kasahau maelekezo anafikiri kaisha fika Igunga.
kulikuwa na mzee alikuwa anafanyia jiji, allikuwa na tabia ya kudhulumu watu viwanja nasikia wadhulumiwa walimpiga kiberiti nyumbani kwake mzee alipoteza maisha na member wengine wa3 wa hiyo familia!!
hiyo migogoro mkuu wala usiifikirie kabisa ikutokee....i&i man