Tishio la mlipua mabomu Ilala, Dar es Salaam

Kuna mtu amemwona Malaria Sugu leo? Manaake nina wasiwasi isije ikawa ndo yeye. Hivi karibuni amekuwa akilalamika sana kuhusu MOU!
 
Naomba niwakumbusheni kuwa kila mwaka vikosi vya ulinzi na usalama huwa vinafanya mazoezi ya namna ya kukabiliana na matukio mbalimbali yanayoibuka duniani. Leo wameamua kufanya mazoezi katika swala la kudhibiti ulipuaji wa mabomu na haikuwa kweli kwamba yule mtu alikuwa na bomu, bali ilikuwa njia ya kulinganisha na uhalisia na kutaka kuona uharaka wa vikosi vya kupambana na mambo hayo namna vinavyoweza kuchukua hatua kwa haraka. Msiwe waoga namna hiyo na msiwe rahisi kukubali vitu namna hiyo. Lakini imesaidia pia kuonyesha namna JF inavyoweza kutoa taarifa haraka na watu wanavyoweza kuamini matukio ya namna hii haraka bila kufikiria mara mbili.
 
<b><font color="#008000"><font size="4">Naomba niwakumbusheni kuwa kila mwaka vikosi vya ulinzi na usalama huwa vinafanya mazoezi ya namna ya kukabiliana na matukio mbalimbali yanayoibuka duniani. Leo wameamua kufanya mazoezi katika swala la kudhibiti ulipuaji wa mabomu na haikuwa kweli kwamba yule mtu alikuwa na bomu, bali ilikuwa njia ya kulinganisha na uhalisia na kutaka kuona uharaka wa vikosi vya kupambana na mambo hayo namna vinavyoweza kuchukua hatua kwa haraka. Msiwe waoga namna hiyo na msiwe rahisi kukubali vitu namna hiyo. Lakini imesaidia pia kuonyesha namna JF inavyoweza kutoa taarifa haraka na watu wanavyoweza kuamini matukio ya namna hii haraka bila kufikiria mara mbili.</font></font></b>
<br />
<br />
Ukatumia ranga ya Ccm ili tukujue na wewe ni Magamba mkubwa.CRAP.
 
&lt;font color=&quot;#800000&quot;&gt;Eee Mwenyezi Munugu utuepushe na jambo hilo.&lt;/font&gt;
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Inadaiwa mwanaume mmoja anasakwa anaedhaniwa kutaka kufanya uhalifu huo moja ya jengo lililopo mtaa wa samora
 
Mnashindwa kutoa huduma ya Maji na Umeme hospitali ya Taifa Muhimbili ni kupambana na Mabomu mtaweza.TUTAANZA SOON FANYENI SANA MAZOEZI
 
<b><font color="#008000"><font size="4">Naomba niwakumbusheni kuwa kila mwaka vikosi vya ulinzi na usalama huwa vinafanya mazoezi ya namna ya kukabiliana na matukio mbalimbali yanayoibuka duniani. Leo wameamua kufanya mazoezi katika swala la kudhibiti ulipuaji wa mabomu na haikuwa kweli kwamba yule mtu alikuwa na bomu, bali ilikuwa njia ya kulinganisha na uhalisia na kutaka kuona uharaka wa vikosi vya kupambana na mambo hayo namna vinavyoweza kuchukua hatua kwa haraka. Msiwe waoga namna hiyo na msiwe rahisi kukubali vitu namna hiyo. Lakini imesaidia pia kuonyesha namna JF inavyoweza kutoa taarifa haraka na watu wanavyoweza kuamini matukio ya namna hii haraka bila kufikiria mara mbili.</font></font></b>
<br />
<br />
Kapumzike bar usubir taarifa ya habari usiku.mazoezi gani askari walikuja kizembe,wanamhoji mshukiwa wafanyakaz wapo wanakodoa macho,kabla afande mwingine alishawaruhusu kurudi ofisini
 
kama kweli alikuwa na mabomu ffu hawan uwezo wa kwenda na kumuondoa pale bila kuwa na vifaa vya kisasa vya kujua hilo bomu limebakiza mda gani na pia ukubwa wa athari zake kama likilipuka......


mlipuaji gani aende pale na akae kwa mda wote huo bila kulipua huku sensor ikipiga kelele.......halafu mabegi yote mawili ya nini? yamejaa mabomu? hakuwa serious kama kweli alikuwa na nia hiyo.....au alikuwa anapima upepo......
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;kuna wengine wameihusisha na operesheni kamata kamata wrong parking,machinga na <font color="#FF0000"><b>migogoro ya viwanja</b>[</font>/QUOTE]<br />
<br />
Bei Mbaya icheck hiyo kwenye red, ni mbaya balaa...<br />
ishu ya ardhi imekaa vibaya, kuna tukio flan lishawahi tokea huku pande za maskan!!kulikuwa na mzee alikuwa anafanyia jiji, allikuwa na tabia ya kudhulumu watu viwanja nasikia wadhulumiwa walimpiga kiberiti nyumbani kwake mzee alipoteza maisha na member wengine wa3 wa hiyo familia!!<br />
hiyo migogoro mkuu wala usiifikirie kabisa ikutokee....i&amp;i man
<br />
<br />baadhi ya wafanyakazi wanaoamini nguvu za giza wamekataa suala hili kuwa coincidence kati ya huyo mama kukataa kuondoka ofisi hiyo na kutofika kwa M.D wao kazini leo.wanadai kaaga kwao kwani yule mtu alitaka kufanya shambulizi binafsi na sio kwa taasisi hiyo.wanadai miguu yake siyo ya kawaida ni kama yaplastiki yakuchomeka.alibishana askari kwa ghadhabu ikionekana katendwa na bosi huyo
 
Taarifa ya chini ya kapeti wanasema hizo taarifa sio za kweli ni watoto wa mjini walitaka kuiba sehemu kwa hiyo walikua wanatishia bomu watu watawanyike
 
Back
Top Bottom