Lily Flower
JF-Expert Member
- Oct 16, 2009
- 2,553
- 1,197
Eee Mwenyezi Munugu utuepushe na jambo hilo.
<br />Atakuwa CHADEMA kasahau maelekezo anafikiri kaisha fika Igunga.
<br /><b><font color="#008000"><font size="4">Naomba niwakumbusheni kuwa kila mwaka vikosi vya ulinzi na usalama huwa vinafanya mazoezi ya namna ya kukabiliana na matukio mbalimbali yanayoibuka duniani. Leo wameamua kufanya mazoezi katika swala la kudhibiti ulipuaji wa mabomu na haikuwa kweli kwamba yule mtu alikuwa na bomu, bali ilikuwa njia ya kulinganisha na uhalisia na kutaka kuona uharaka wa vikosi vya kupambana na mambo hayo namna vinavyoweza kuchukua hatua kwa haraka. Msiwe waoga namna hiyo na msiwe rahisi kukubali vitu namna hiyo. Lakini imesaidia pia kuonyesha namna JF inavyoweza kutoa taarifa haraka na watu wanavyoweza kuamini matukio ya namna hii haraka bila kufikiria mara mbili.</font></font></b>
<br /><br /><font color="#800000">Eee Mwenyezi Munugu utuepushe na jambo hilo.</font>
Atakuwa CHADEMA kasahau maelekezo anafikiri kaisha fika Igunga.[/QUOT
Ni walewale ndugu zetu wenye msimamo mkali
<br />Atakuwa CHADEMA kasahau maelekezo anafikiri kaisha fika Igunga.[/QUOT<br />
<br />
<br />
Ni walewale ndugu zetu wenye msimamo mkali
<br />
Ccm na Cuf ndio mtasababisha sisi Raia tutafute ukombozi kwa nguvu ya Mabomu.
<br /><b><font color="#008000"><font size="4">Naomba niwakumbusheni kuwa kila mwaka vikosi vya ulinzi na usalama huwa vinafanya mazoezi ya namna ya kukabiliana na matukio mbalimbali yanayoibuka duniani. Leo wameamua kufanya mazoezi katika swala la kudhibiti ulipuaji wa mabomu na haikuwa kweli kwamba yule mtu alikuwa na bomu, bali ilikuwa njia ya kulinganisha na uhalisia na kutaka kuona uharaka wa vikosi vya kupambana na mambo hayo namna vinavyoweza kuchukua hatua kwa haraka. Msiwe waoga namna hiyo na msiwe rahisi kukubali vitu namna hiyo. Lakini imesaidia pia kuonyesha namna JF inavyoweza kutoa taarifa haraka na watu wanavyoweza kuamini matukio ya namna hii haraka bila kufikiria mara mbili.</font></font></b>
where is Faiza Foxy?
<br /><br /><br />
<br />kuna wengine wameihusisha na operesheni kamata kamata wrong parking,machinga na <font color="#FF0000"><b>migogoro ya viwanja</b>[</font>/QUOTE]<br />
<br />
Bei Mbaya icheck hiyo kwenye red, ni mbaya balaa...<br />
ishu ya ardhi imekaa vibaya, kuna tukio flan lishawahi tokea huku pande za maskan!!kulikuwa na mzee alikuwa anafanyia jiji, allikuwa na tabia ya kudhulumu watu viwanja nasikia wadhulumiwa walimpiga kiberiti nyumbani kwake mzee alipoteza maisha na member wengine wa3 wa hiyo familia!!<br />
hiyo migogoro mkuu wala usiifikirie kabisa ikutokee....i&i man
<br />baadhi ya wafanyakazi wanaoamini nguvu za giza wamekataa suala hili kuwa coincidence kati ya huyo mama kukataa kuondoka ofisi hiyo na kutofika kwa M.D wao kazini leo.wanadai kaaga kwao kwani yule mtu alitaka kufanya shambulizi binafsi na sio kwa taasisi hiyo.wanadai miguu yake siyo ya kawaida ni kama yaplastiki yakuchomeka.alibishana askari kwa ghadhabu ikionekana katendwa na bosi huyo
where is Faiza Foxy?
<br />Atakuwa CHADEMA kasahau maelekezo anafikiri kaisha fika Igunga.
Si ajilipue tu ili aondoke na hao maaskari viherehere?
waropokaji kama kawaida wanachangia mada