Tishio la Kuunda Kikundi cha Uasi

Tishio la Kuunda Kikundi cha Uasi

Naangalia mitandaoni naona kuna mtu kavaa musk kajirekodi sijui wameanzisha kikundi cha Uasi nikajiuliza huyu anaifahamu Tanzania Vizuri??

Kikundi cha Uasi Tanzania??? Nawaambia hata siku mbili hakitachukua JWTZ ndo wakali wa hizo mambo hivi hamjiulizi Taangu tupate Uhuru kwanini vikundi hivyo havipo Tanzania?

Ila vijana ability ya kufanya reasoning imepungua sana haya ni kama ya Habil na Kabil Captain Tesha, na Cornel Agustino Polepole.

Captain Tesha alikua ni muumini wa Kanisa la Gwajima tuu. Akina Habil na Kabil kama mnavyojua

Akatokea Mlevi mmoja anaitwa Agustino Polepole mpaka sasa naona mmeshamfahamu mwaka ndo kwanza unaanza tutasikia mengi.

Kwa Tanzania Mazingira hayaruhusu ku operate vikundi vya uasi usifananishe Tanzania na Burundi na DR Congo???

Endeleeni Kuota.
kawaida yenu hiyo wauwaji hata maandamano mlikua mkiamini watanzania hawawezi kuingia barabarani nyie tulieni muda utaongea anzeni kuficha familia na uzao wenu laasivyo mtakua mnawaokota daily
 
Kikundi kipo kinaitwa Black October 29 kazi yake ni kuwashughulikia mapolisi tu na chawa wa mama
 
ZCO matata kabisa kuwahi kutokea mi naona wangempandisha awe DCI jamaa ni Nguli wa Intelligence
Sanaa!! Bakabaka wenyewe wanamjua huyo mwamba,wanasaluti kwake.. Captain Tesha kabinywa kende namna fyokofyoko, na wale wajeda waliochana picha ya Rais sasaivi na kazi hawana na torturing walipata... according to speech of mr Mafwele,from audio clip..

Police ndio jeshi lenye nguvu kwa tz na ni imara sana sana.
 
Mafwele ni kiboko ya hao jwtz
Jamaa kalifanya jeshi la police kuwa la kibabe...nilimsikiliza speech yake anasema tumewakamata pia Askari wa ulinzi wawili kwa kuchana picha ya Rais, na yule muhuni captain Tesha,akamalizia hao wote kifuatacho ITV.....

nikajua jamaa anafaa awe Cdf au IGP, hakuna Nchi itakayoleta fyokofyoko kwetu ....big up Mafwele
 
Mharifu gani hana silaha tena wanakutwa nyumbani kama sio usenge ni nini? Hizo samu lazima mzilipie mbwa nyie
Hukuona wakora wanachoma petro station? Hukuona wahalifu wanaiba kwenye maduka ya watu?
 
Back
Top Bottom