Tishio la CHAUMMA ndio limefanya Chadema waitishe kikao cha kamati kuu kwa dharura leo?

Tishio la CHAUMMA ndio limefanya Chadema waitishe kikao cha kamati kuu kwa dharura leo?

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
20,725
Reaction score
31,305
Chadema wameitisha kikao cha dharura cha kamati kuu ya chama hicho. Moja ya malalamiko ya G55 ilikuwa kwamba viongozi wanafanya ziara za kukusanya posho na hawaitishi kikao cha kamati kuu kujadili kesi ya Lissu.

Naona baada ya Chama Kikuu cha upinzani-Chaumma kupata kwa umaarufu, kikao kimeitwa ghafla.
 
Chadema hawataki kunijibu hili swali?
 
Chadema wameitisha kikao cha dharura cha kamati kuu ya chama hicho. Moja ya malalamiko ya G55 ilikuwa kwamba viongozi wanafanya ziara za kukusanya posho na hawaitishi kikao cha kamati kuu kujadili kesi ya Lissu.

Naona baada ya Chama Kikuu cha upinzani-Chaumma kupata kwa umaarufu, kikao kimeitwa ghafla.
Chaumma inamtishia nani? Acheni kukuza vitu, chaumma hii ya ubwabwa na tembele?
 
Chadema wamefanya vyema kuitisha kikao hata hivyo walipaswa kufanya hivyo mapema maana kwa jinsi hali ilivyo hawana muda wa kulala kabisa.
Watanzania tupo na chadema viongozi wetu wapige kazi wasivunjike moyo
 
Chadema wamefanya vyema kuitisha kikao hata hivyo walipaswa kufanya hivyo mapema maana kwa jinsi hali ilivyo hawana muda wa kulala kabisa.
Watanzania tupo na chadema viongozi wetu wapige kazi wasivunjike moyo
MMEISHIWA MBINU SASA MMEBAKI KUJAMBAJAMBA TU CHADEMA INKWISHA HIVYO TARATIIIBU HADI OCTOBER MAJI MTAITA MMMMAAAA
 
MMEISHIWA MBINU SASA MMEBAKI KUJAMBAJAMBA TU CHADEMA INKWISHA HIVYO TARATIIIBU HADI OCTOBER MAJI MTAITA MMMMAAAA
Ccm ndo wanatapatapa kila wanachokifanya wanakisea. Ccm haikubaliki na wananchi inatumia nguvu na pesa nyingi kupambana na chadem. Ajabu kila hila wanazoleta zinawatokea puani.

Wasipobadili mgombea hali itazidi kuwa mbaya kwa sababu wanalazimisha samia wakati wananchi hawmtaki.

Ushauri wa bure nawapa badilisheni mgombea mambo yatakaa sawa lakini mkipuuza mtawashangaa watanganyika mnaotuona ni wajinga.
 
Ni jambo la maana sana warudi mezani ili ku cover gaps zilizoachwa wazi na kujipanga zaidi
 
Chadema wameitisha kikao cha dharura cha kamati kuu ya chama hicho. Moja ya malalamiko ya G55 ilikuwa kwamba viongozi wanafanya ziara za kukusanya posho na hawaitishi kikao cha kamati kuu kujadili kesi ya Lissu.

Naona baada ya Chama Kikuu cha upinzani-Chaumma kupata kwa umaarufu, kikao kimeitwa ghafla.
Tishio la chadema ndiyo limefanya chama Cha matapeli (CCM) yaitishe mkutano mkuu
 
Chaumma sio league ya chadema, wanamtisha ACT na ADT na SAU, chadema inatajwa kila dakika na mama na makala so jijibu inamtisha nani chawa! Inarudi mezani kuziba magap ya njaa55 waliofuata mpunga maisha yaendelee sio kutishwa na yeyote
 
Hatuna haja nawachumia tumbo cc tunapigania haki kama wamekimbia sababu ya maslahi wapambane
Sina ushabiki kwenye mambo ya haki
 
Mtu anayetoa post na kujijibu ni dalili ya tatizo gani kwenye afya ya akili?
 
Chadema wameitisha kikao cha dharura cha kamati kuu ya chama hicho. Moja ya malalamiko ya G55 ilikuwa kwamba viongozi wanafanya ziara za kukusanya posho na hawaitishi kikao cha kamati kuu kujadili kesi ya Lissu.

Naona baada ya Chama Kikuu cha upinzani-Chaumma kupata kwa umaarufu, kikao kimeitwa ghafla.
Nani aliyetishika? Yaani wahuni waitishe Chadema
 
Chadema wameitisha kikao cha dharura cha kamati kuu ya chama hicho. Moja ya malalamiko ya G55 ilikuwa kwamba viongozi wanafanya ziara za kukusanya posho na hawaitishi kikao cha kamati kuu kujadili kesi ya Lissu.

Naona baada ya Chama Kikuu cha upinzani-Chaumma kupata kwa umaarufu, kikao kimeitwa ghafla.
Hivi we Mchome una ID ngapi hapa JF?
 
Chaumma inamtishia nani? Acheni kukuza vitu, chaumma hii ya ubwabwa na tembele?
Kupokea watu zaidi ya afutatu na kula ubwabwa tembele, kunywa, kulala bila Tone tone ndicho kimewatisha wana saccos ya Tone tone.
 
Chadema wameitisha kikao cha dharura cha kamati kuu ya chama hicho. Moja ya malalamiko ya G55 ilikuwa kwamba viongozi wanafanya ziara za kukusanya posho na hawaitishi kikao cha kamati kuu kujadili kesi ya Lissu.

Naona baada ya Chama Kikuu cha upinzani-Chaumma kupata kwa umaarufu, kikao kimeitwa ghafla.
😂😂😂😂
1747960478097.jpg
 
Tishio la Gwajima limefanya kunguni hata waliokuwa mafichoni kama Jery Muro kuibuka.?
 
Back
Top Bottom