Timu ya kampeni ya Lowassa hii hapa

Timu ya kampeni ya Lowassa hii hapa

Kwanini tunaendelea kujadili watu badala yakujadili ''issue''. Watu wenye rekodi chafu leo hii wanaonekana ndio mashujaa. Ama kweli TZ ilikufa na mwl.

mkuu, kwa maCCM mtu mwenye tuhuma mbaya za ufisadi huyo ndiye wanamuona SHUJAA. CCM ni mafisi kuliko unavyodhani.
 
mkuu mleta mada JK na membe nani dhaifu wa mwenzake?
 
pia usisahau na radio clouds.

Watalia na kusaga meno siku Eddo akitangazwa rasmi kubeba bendera ya Chama,na hivi wamezoea kujipendekeza,EL anamiliki tayari kituo cha redio yake,mbona coverage itakuwa nchi nzima,Clouds watakuwa irrelevant kwenye kampeni zake.
 
Kwanza muda ukifika itabidi Ndg. Lowassa ajisafishe na tuhuma zinazomkabili, pili awasafishe baadhi ya hao walio kwenye kambi yake, vinginevyo awaondoe (kama anawapenda sana wawe nyuma ya pazia), maana vidole vitanyoshwa kuwaelekea au kumuelekea yeye.
 
Mbona mmewasahau wapambe wakubwa Hamis Mgeja, Mgana Msindai na Lau Masha katika kundi la Team Lowassa?
 
hii nchi hatuwezi mpa fisadi.ni heri tumchague hata DOVUTWA.
Bora tumchague fisadi aliyetuibia na akawekeza hapa kuliko mafisadi waliotuibia na hatujui wamewekeza wapi hela zetu!
 
aliwai kusema ndani ya NEC kuwa hakuna mwanamume katika ndani ya ccm zaidi ya Lowassa huku mkulu alikuwa ndani ya hicho kikao.....ni jembe la jembe na zaidi ya yote ni mtoto wa ilala....
Ngoja nifanye utafiti wangu wa kina kuhusu watu wanaotoka mitaa ya ILALA!
 
Umemuharibia manvi aka lack of hair protein. Karamagi, Msomali Bashe, Rostam Aziz ( Muiran), Sophia Simba, Serukamba, hii safu ni chafu kuliko choo. Kuhusu Kigoma kuwa wanamsimamo kwa kukumbusha tu Kaburu yuko wapi, Zito yuko wapi ni kwa wachache tu, kifupi ni kuwa watu wa Kigoma wengi wao katika historia ya nchi hii tangia mwarabu hawajawahi kusimamia na kufanikisha jambo lolote. Period.
 
Hivi wewe OCAMPO ulishauriana na wenzako kabla hujaandika tathmini yako hii?
 
Umetoa orodha ya watu ambao tukianza kuwajadili hapa itakuwa ni aibu tupu.
 
Bahati mbaya sana umewaacha akina Hamis Mgeja, John Guininita, Mgana Msindai, Laurence Masha, Nzungu wa Mwanza, na wingine ambao nitawataja majina yao wakati nawakilisha sifa ulizoziacha za hap uliowataja. Bahati nzuri ni kuwa wore nawafahamu vizuri sana. Ndio manna nimekuuliza, wakati unaandika uliwashauri?
 
Wakati naandaa sifa hizo, ni vizuri ukatufahamisha pia hali ya "mgonjwa" wetu inaendeleaje?
 
ni bora shetani unayemjua kuliko mAlaika usiyemjua. Team EL
 
Back
Top Bottom