Timu ya kampeni ya Lowassa hii hapa

Timu ya kampeni ya Lowassa hii hapa

Umesahau makundi mengine kama waalimu ambao asilimia kubwa wanamuunga mkono huyu matu kwa utendaji wake na
udhubutu alionao katika mambo mengi pia madaktari nao hawako mbali nae maana wanaamini kwamba anaweza kuboresha
mambo mengi ya kimaslahi na ya kiutendaji.Ila wako kimnya kimnya kutokana na ile kitu wanasema neutrality for goverment
employee
 
Watagaragara weeeeeeeeeeeeee ila mwisho wao ndo huu.

mwaka huu watalia tu sidhani kama watanzania watakubali kufanya ujinga wa kuchagua mafisadi kama hawa ambao kila mtu anajua kuwa ni wezi.
 
Kaka, haya mimi nayajua sana. Kuna siku Sophia Simba alininunia eti kwa vile tu nilikaa jirani na APSON kwenye hafla moja ya kitaifa. Alianza kuleta utoto. Mkwara niliomchimba mpaka kesho ananiogopa. Nani aangaike na zee fisadi lile. Ukitembea na fisadi basi ujue laana ya Mungu ipo miguuni mwako

Ha ha ha ha ha ha ha ha ha lakini sophi mwenyewe mbona kachoka sana kazi anaziweza kweli au ndiyo roho mbaya tu kubania vijana.
 
Ha ha ha ha ha ha ha ha ha lakini sophi mwenyewe mbona kachoka sana kazi anaziweza kweli au ndiyo roho mbaya tu kubania vijana.
Unavyomuona mbaya kwa sura, basi hata roho yake ipo vile vile
 
Kwa hiyo unatuambiaje? Kwamba kuepo kwa timu hiyo ndio umepatikana urais au?
 
Hata huyu EL naye hapa Arusha wamasai wenzake hatuna imani naye..
CCM HAKUNA MTU SAHIHI.
Kwani arusha ndio Tanzania nzima? Kwanza wapiga kura wenyewe ni wachache sana. Kaeni na Arusha yenu na mbunge wenu chizi.
 
Watanzania wote wanamuunga mkono Lowasa,, Wasiompenda Lowasa ni wachawi
 
kwa kuwa wananchi wamebadilika rais wa mwaka 2015 atajiuza kwa sifa zake sio wapambe na mwenye sifa binafsi ccm hakuna
 
Viva lowasa viva... Huyu ndiye rais wetu pekee 2015, safari ya matumaini iliyoanzia porini monduli na kuelekea magogoni jijini dar es salaam,,, naamin tutashinda baba, watanzania wanakuhitaji baba yetu lowasa!!
 
Leo naomba tufanye uchambuzi wa timu ya kampeni ya bwana Edward Lowassa..... kwa hakika mpaka sasa yeye ndiye anaongoza kwa kuwa na nguvu ndani ya CCM, anaongoza kwa kujipanga zaidi na vizuri, anaongoza katika mikakati mizuri sana, anaongoza kwa kushika media zote kasoro Uhuru na magazeti ya serikali na hata katika kura za maoni Lowassa ndio kinara (REDET august 2014 report, ITV survey july data).

9. Wanndishi wa habari
hili ni group muhimu sana wakiongozwa na Kibanda, Msaki, Pasco, Bakari na kwa sasa bbc iliyoanzishwa hapa nchini.
..........
Mkuu Ocampo 4, kwanza asante kwa kuutambua mchango wangu kwa huyu "jamaa yetu" hadi kuniweka kwenye team EL,

Uongo ukisemwa sana na kuendelea kuachwa bila kukanusha, huonekana ndio ukweli!. Pasco wa JF, kwanza sio mwanachama wa chama chochote cha siasa! hivyo siko kwenye timu yoyote ya kampeni ya yeyote, japo nakiri kuwa miongoni mwa watu wa kwanza sio kushabikia huyu jamaa, bali kuchagiza CCM imsimamishe, ili kuitumia candidature yake kama "pace maker' wa kutupatia ukombozi wa pili wa Mtanzania, ila baadae nikagundua kumbe hata hao wakombozi tuliowategemea kutulea huo ukombozi wa pili wa kweli wa Mtanzania, sii wakombozi chochote, sii wakombozi lolote, labda tuu kubadili majina ya chama tawala!, na ndipo nilipoamua kutumie ile formular ya "if you can't beat them, join them!" That is all!, hivyo support ysangu kwa huyu jamaa ni ndani ya jf tuu!, japo wengi wa massuporter wake ni rafiki zangu, I'm very independent!.

Pili Pasco wa JF as a journalist, ni mwandishi wa kujitegemea kwa kujitolea, siandikii media yoyote, wala simripotii yoyote chochote!, sijawahi kiualikwa Monduli au kuhudhuria press conference au event yoyote ya huyu jamaa, hata zile harambee zake!, sijawahi!. Powers ya waandishi wa habari lies on the media!, mwandishi yoyote wa habari no matter how good s/he might be, bila kuwa na media, s/he is nothing!. Pasco wa jf ni nothing bila media, unless use me na jf ni media!, then yes!.

Mimi Pasco wa jf, sijawahi kutia mfukoni hata senti 5 ya huyu jamaa, ingawa nakiri kusaidiwa sana na yeye in deeds nilipopataga matatizo fulani nje ya nchi!.

Asante.

Pasco
 
kwenye andiko lako wewe unasifia tu fedha ,fdha nyingii.........uadilifu hamna hapo ni 0
 
Hii ni mada ya tatu baada ya zile mbili za CHABRUMA. Kuna haja ya kuwa tunamwamini bwana CHABRUMA na MADA zake. Ehe EDO akishapata huo urais , hii safu ataipeleka wapi?
 
Back
Top Bottom