Nilisema huyu mgole akiwa rais ntatembea uchi kuanzia nyanguge mpaka lugeye kufuata barabara mchana kweupe
Daaa. Umenikumbusha mbali ndugu yangu nilikuwa nasafari ya Musoma tukaharibikiwa na gari usiku. Tukauliza wenyejihapa ni wapi wakatwambia ni Lugeye. Safi sanaaaaa
Duhhh.....mashalllah ....ungepata nafasi ungekuwa hadi hapa mkokotoni yakheee......Karibu sana kwetu. Nimeahidi huyu tibaijuka akiwa rais natembea uchi kutoka nyanguge mpaka lugeye
[/LIST]
Mkuu Dusu, asante, ila number 1 hapo juu ni kweli, nimekanusha na kusema hiyo ni timu ya uongo!.
Namba 2 sii kweli kuwa nimejitoa, as if niliwahi kuwepo sasa ndio nimejitoa, sijawahi kuwepo timu yoyote!.
Asante.
Pasco.
Ungejua sina unasaba na ukijani!Mama Salma and Membe at work.......hahahahahahahahaha
[/LIST]
Mkuu Dusu, asante, ila number 1 hapo juu ni kweli, nimekanusha na kusema hiyo ni timu ya uongo!.
Namba 2 sii kweli kuwa nimejitoa, as if niliwahi kuwepo sasa ndio nimejitoa, sijawahi kuwepo timu yoyote!.
Asante.
Pasco.
Hili ni kundi la uharifu naona kila mtu aliyetajwa hapa ni muovu kabisa.
Kwani arusha ndio Tanzania nzima? Kwanza wapiga kura wenyewe ni wachache sana. Kaeni na Arusha yenu na mbunge wenu chizi.