Namba 5,6 na 7 sijakuelewa. Mnakusanya hela za nini,urais ni wa kununuliwa? Baadaye mtazirudishaje?Ikulu kuna biashara gani? Kila mtanzania/ kila mpiga kura mmekadiria kiadi gani? Wewe ocampo four uko namba ngapi?
Last edited by a moderator:
Team ushindi ikiungwa mkono na kundi kubwaaaa la watanzania
Jidanganyeni kwa kujitekenya wenyeww Rais Wasira
Baada ya kupitia timu za kampeni za Lowassa, Pinda na Wassira, sijaona sababu ya msingi ya wewe mwenyewe ocampo four kutojiorodhesha kwenye timu ya kampeni ya Lowassa.
Member wote wa timu za Pinda na Wassira wamepondwa, wakati member wote wa timu ya Lowassa wamesifiwa!