Timu ya kampeni ya Lowassa hii hapa

Timu ya kampeni ya Lowassa hii hapa

Namba 5,6 na 7 sijakuelewa. Mnakusanya hela za nini,urais ni wa kununuliwa? Baadaye mtazirudishaje?Ikulu kuna biashara gani? Kila mtanzania/ kila mpiga kura mmekadiria kiadi gani? Wewe ocampo four uko namba ngapi?
 
Last edited by a moderator:
Ningekuwa Mchewa wa Malawi ningesema hivi: "mufune musafune,Lowasa ndi president wa dziko lino". Tafsiri isiyo rasmi: "mtake msitake,Lowasa ndo Raisi wa taifa"
 
Team ushindi ikiungwa mkono na kundi kubwaaaa la watanzania
 
Chama Cha Mapanya na propaganda zenu za kuiita Nyeupe ,"Nyeusi".

Hiyo timu yote haitupi guarantee kuwa Lowassa atakuwa rais safi,sana sana inaongeza maswali ya credibility yake kutokana na watu ambao anashirikiana nao!

Kumuhusisha Lowassa na watu hao ,pamoja na kashfa lukuki alizonazo,kunamfanya Lowassa ACHAFUKE ZAIDI!

For your information your making him, a non presidential material!
 
Hii ndo timu ya uhakika tena ina watu wenye akili
 
Baada ya kupitia timu za kampeni za Lowassa, Pinda na Wassira, sijaona sababu ya msingi ya wewe mwenyewe ocampo four kutojiorodhesha kwenye timu ya kampeni ya Lowassa.
Member wote wa timu za Pinda na Wassira wamepondwa, wakati member wote wa timu ya Lowassa wamesifiwa!
 
Baada ya kupitia timu za kampeni za Lowassa, Pinda na Wassira, sijaona sababu ya msingi ya wewe mwenyewe ocampo four kutojiorodhesha kwenye timu ya kampeni ya Lowassa.
Member wote wa timu za Pinda na Wassira wamepondwa, wakati member wote wa timu ya Lowassa wamesifiwa!

Mkuu naunga mkono hoja yako.
 
Back
Top Bottom