Ethical Ninja CEH
JF-Expert Member
- May 16, 2011
- 3,695
- 5,052
nimecheka sana....."huyu mtu sio mtu iko nafiki sana, tumesaidia sana sana ila saizi aacha sisi, iko hakuna shida sisi 2015 iko shinda tena bila problem".
nimecheka sana....."huyu mtu sio mtu iko nafiki sana, tumesaidia sana sana ila saizi aacha sisi, iko hakuna shida sisi 2015 iko shinda tena bila problem".
Hata mimi nasubiri ujibiwe ili namimi nimjue.......japo kwa ss karibu ccm wote ni machizi tu,Labda kama huyu kazidi wenzake.
Hapo sasaMbona katika hiyo timu ina wageni wengi kuliko watanzania.
1. Bashe msomali
2. Rostam MIran
Watanzania wote wanamuunga mkono Lowasa,, Wasiompenda Lowasa ni wachawi
Nyie Nyukaneni sisi Mtatukuta Magogoni
Nyie Nyukaneni sisi Mtatukuta Magogoni
magogo ya ufipa labda
Mzee Chizi ni nani wajameni ?
Daa napita,sielewi unamsupport mamnvi au unamharibia.Nini uadilifu wa members wa hiyo timu?Ntarudi baadaye!
Huyu siyo chizi kweli?