TIMU Magufuli tukutane hapa

TIMU Magufuli tukutane hapa

Njaa mbaya sana. Team Magufuli mpoo mnajua slogan yake? "nitailinda, ntailinda nitailinda" mnajua ni nin? Hatari sana ukikuta kijana yupo humu.
 
Njaa mbaya sana. Team Magufuli mpoo mnajua slogan yake? "nitailinda, ntailinda nitailinda" mnajua ni nin? Hatari sana ukikuta kijana yupo humu.



Mkuu binafsi siamini kama Timu Magufuli tupo sababu ya njaa, ni uzalendo tuu unaomtuma mtu kuwaza kuwa Magufuli ndiyo kiongozi sahihi kama wewe unavyo amini huyo unayemuunga mkono
 
Ana vision gani kuhusu hili Taifa kuliletea maendeleo?



Mkuu hili taifa halihitaji Vission wala kuumiza kichwa, kinachohitajika kwa sasa hapa Tz ni uongozi madhubuti, kila mtu anajua kuwa tupo kwenye kipindi cha ukombozi wa pili kwa mtanzania, ukombozi wa Kiuchumi.

Kinachohitajika kwa sasa ni mtu mwenye maamuzi ili tusonge mbele, mtu kama Magufuli ni dhahili hili linamfaa, huwa nafikilia jinsi alivyomgomea rais wake pamoja na balozi wa Japan kufungua ile barabara ya kilwa sasa je yeye akiwa ndiyo rais naamini hakutakuwa na ujinga.

Hata wale wenye malori yenye uzito mkubwa wajiandae maana mpaka sasa wanatembeza magari yao kwa hisani ya Pinda.

All the Best Magufuli.
 
yaani kwa mambo haya yanayofanyika na masisiem nasema km ukikipigia kura chama hiko utakuwa mpumbavu.
 
Anzisha uzi wako uandike unayotaka kusema ila usituchanganyie habari humu ndani


Ndugu haina haja ya kuwa na jazba nae huyo maana demokrasia inamruhusu, ila akumbuke sijaona mtu msafi na hata yeye siamini kama ni msafi kiasi cha kumnyooshea mkono Dr, ajenge tu hoja na tutamjibu
 
Njaa mbaya sana. Team Magufuli mpoo mnajua slogan yake? "nitailinda, ntailinda nitailinda" mnajua ni nin? Hatari sana ukikuta kijana yupo humu.
Thread inasema team magufuli wewe ambaye si mmoja wao unasema wale wanaomsupport Magufuli ni sababu ya njaa. Hapo ni sawa? Tuwe na hekima.
 
upumbav ni kufanya jambo lile lile kwa njia zile zile na kwa watu wale wale huku ukitegemea matokeo bora zaidi
MSITEGEMEE POMBE ATALETA MABADILIKO
 
Mjenga nchi ni mwananchi na mbomoa nchi ni mwananchi fanya maamuzi sasa usiangalie mtu au chama sera na dira je inalikomboa taifa


Kapuku mimi
 
Tunakuamini, Dr unaweA kutupeleka sehemu inayofaa. Dr nakuomba sana ukiingia wape nafasi wazawa, ifikw mwenzako katuweka pazuri, kqa mwananchi ananafasi km mwananchi anzia hapo hatutaki muwaone maexpart mdio kila kitu hapa dunianai. Mtu anatoka India Ana devision 4, analipwa mshahar mara iahirini kwa mzawa. Please work on it. Na ikumbukwe kwamba anayefanya kazi no mtanzania wanakaa ofisini kucheza game.
 
Siamini kuna mabadilko ya kweli wote waliokua CCM ndiyo wanaohamia chadema tena ni wale waliokua wakituhumiwa kwa uchafu bora kura yangu ihatibikike kuliko kuunga mkono ninachokipinga, kwa kumpigia mtu anaenyesha kabisa ana lake jambo.
 
Wadau kama wewe unampenda kiongozi huyu shupavu ingia hapa tuungane kumuunga mkono huyu Jembe na mzalendo CCM imekufa lakini Magufuli bado ana heshima na si fisadi kama baadhi ya wajumbe waliopo hata upinzani Naamini kuchagua mtu na si chama ndiyo itakayoivusha Tanzania yetu salama kwenye mtihani huu mgumu wa uchaguzi mwaka huu.

Ungana nasi kutengeneza timu ya Ushindi ya ndugu yetu John Pombe Magufuli na tunaamini atayafanyia kazi yale yoote tuliyokubaliana nae kuhusu kuifufua Tanzania inayozama...

Wasalaaam

Mkuu tupo hapa kama kawaida,stress free
 
Siamini kuna mabadilko ya kweli wote waliokua CCM ndiyo wanaohamia chadema tena ni wale waliokua wakituhumiwa kwa uchafu bora kura yangu ihatibikike kuliko kuunga mkono ninachokipinga, kwa kumpigia mtu anaenyesha kabisa ana lake jambo.


Usiharibu kura mkuu, we jipange tumpe kura huyu Jembe halaf hutajuta, watu wanamuhukum kwa makosa ambayo si yake, CCM ki msingi iko vizuri ila ilipata viongozi legelege na ndiyo maana tunaiona ilivyo, sawa pia yaweza kuwa imebadilika hata ki sera ila tunamchagua mtu hapa na si chama, kama wanavyopendekeza wa UKAWA kuwa mtu anaweza kuwa safi tatizo ni mfumo, pia Magufuli tatizo lilikuwa ni mfumo na si yeye kumbuka akiwa rais anakuwa na madaraka makubwa hivyo yeye kuwa ndiyo mtoa maamuzi, kifupi yeyendiye atatengeza mfumo mpya pindi atakapoingia madarakani na ni nani asiyejua mfumo wake wa fumua fumua na fukuzafukuza wazembe? nchi lazima tupige mchaka mchaka na ndicho tunachokitaka kaka.
 
Back
Top Bottom