TIMU Magufuli tukutane hapa

TIMU Magufuli tukutane hapa

Kama upo nchi hii na humkubali Magufuli wewe nimshabiki wa vyama vya kisiasa. Huangalii utendaji. Mibado sijaona wakumzidi Magufuli
 
Mimi na familia yangu rais magufuri ila ubunge ukawa.
 
Magufuli ni sawa na msichana wa kazi mwenye bidii. Anafaa sana kwa kutumwa tumwa. Lakini urais sio hadhi yake!

Aliye mkubwa kati yenu na awe mtumishi wenu. Hivi wewe neno la Mungu huliweki kwenye maisha practical. Baba ni mkuu ila ni mtumishi wa wote kwenye familia.pole
 
hata mm nipo tayar kuuzunguka nae nchi Nzima, Pesa za huyo Fisadi zimenunua utu wa Wanasiasa, inasikitisha sana
 
ni haki kuwa katka chama chochote... namkubali maguful-ishu ya cham kutopendwa ni tofaut za kiitikad tu.Inashangaza kuna watu wanaona mtu wa ajab kuwa member wa ccm,wanataka wote tuwe upande mmoja,..Haiwezekani---viongoz wa chama wapo wabov kila chama ila kwa magufuli na ccm naipa kura.
 
Namba inasomeka mwaka huu.
NASEMA: Kura ya Urais nampa John Pombe Makufuri na Kura ya Upunge nampa UKAWA.
Muziki watachezea huko Bungeni. Natamani kufadhili mafuta ya magari ya kampeni za Magufuli lakini uwezo to ndo sina bali naendela kuomba Mungu atatenda
 
kama ukawa wanania ya kuikomboa nchi
1.Wangetaja mtu wao sio kusubir matokeo ya ccm- ni ishara ya kutojiamini.
2.kutengeneza scandal kwa lengo la kujijenga ni kukosa ukomavu-ni siasa za majungu yan watu wakosane wao wapate-
3.Kuaminisha umma kuwa lengo ni mabadiliko na adui ni ccm si kweli, waseme adui ni flani na flani.Chama kina mising mizur tu.
4.ni swala la wanachama na uongoz kutoa ukuta kati yao na hili litawezekana kwa kumuweka kiongoz anaethubutu na anaependa kufanya jambo kama lilivyopangwa kama JPM.
 
Matimu yanakuja na huku.. Kazi kweli.
 
JPM ndio Rais wa Tano wa JMT.mpende au msipende team Lowasa inabidi ijipange kupata wabunge Ili kubalance power.
 
Tupo wadau tupige kampeni ya kufa mtu nyumba kwa nyumba, mtu kwa mtu. Huyu ndiye atakayeamsha uchumi wetu. Tumpe support wakuu
 
Magufuli yupi??huyu anayemeza dozi za uwenda wazimu na aliyefungiwa mashine ya mwilini ya kuboost mapigo ya moyo?
 
Back
Top Bottom