Munkari
JF-Expert Member
- Feb 9, 2013
- 8,084
- 4,363
Mie mzima kabisa.Mume wetu umemficha wapi jamani?
Mbona aliniaga anakuja kwAko haagh hajafika?
Mie mzima kabisa.Mume wetu umemficha wapi jamani?
Ndo nini hiko
Nimecheka sana,unamaana ya yule MPsi akamuone long water...itakuwa ndefu kama nguzo ya umeme....
hahahaha, akifunga jiwe hakirefuki?
Kikifika utaona
Sorry for them ....!!! Katika uhalisia nawaonea imani mno halafu natenga muda kumshukuru mola
Jirani unatafuta mimba isiyotarajiwa???Mmmhh nakisubiria kwa ham zote
Jirani unatafuta mimba isiyotarajiwa???
We unalo kubwa kama la punda sio???
Ana la muhogo wa jang'ombe heheheee
Hahaha wala babu miye bado mdogo
Mbona aliniaga anakuja kwAko haagh hajafika?
mmeolewa kwa mume gani kuweka kumbukumbu sahihi? lol
Nikufanyie mpango uzae nae?