JAMHURI
JF-Expert Member
- Dec 15, 2010
- 449
- 60
Katika kile kilichoelezwa kuwa ni kijenga mahusiano mema na pia kuendeleza michezo, timu za mpira Jeshi la Magereza na Polisi leo zitakutana kugombea Mbuzi mnyama.
Mbuzi huyo ametajwa kuwa wa thamani ya zaidi ya elfu 80,000/ kama kifuta jasho kwa timu itakayoshinda
Aki,ungumza hayo Fadhili Luoga Mkuu Wa Polisi Kiteto amesema nia ya mashindano hayo ni kuibua bipaji na pia kujenga mahusiano mema kati ya jamii ya wakulima na wafugaji Kiteto
Mbali na mechi hiyo ambayo inatabiriwa kuwa kutakuwa na patashika, timu ya Polisi Kiteto imealika tena kutaka kucheza mchezo Wa kirafiki na timu ya jamii ya kifugaji Maasai
Baadaye pia watacheza na wakulima na mwisho kutakuwa na mechi ya kukata na shoka kati ya wakulima na wafugaji
Hii itakuwa moja ya njia ya kurejesha mahusiano mema kati ya wakulima na wafugaji ambao kila mwaka wanahasimiana
Wakulima na wafugaji Kiteto bado wanahusiano mabaya kufuatia shughuli za kiuchumi hivyo michezo hiyo inakusudiwa kujenga mahusiano mema.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbuzi huyo ametajwa kuwa wa thamani ya zaidi ya elfu 80,000/ kama kifuta jasho kwa timu itakayoshinda
Aki,ungumza hayo Fadhili Luoga Mkuu Wa Polisi Kiteto amesema nia ya mashindano hayo ni kuibua bipaji na pia kujenga mahusiano mema kati ya jamii ya wakulima na wafugaji Kiteto
Mbali na mechi hiyo ambayo inatabiriwa kuwa kutakuwa na patashika, timu ya Polisi Kiteto imealika tena kutaka kucheza mchezo Wa kirafiki na timu ya jamii ya kifugaji Maasai
Baadaye pia watacheza na wakulima na mwisho kutakuwa na mechi ya kukata na shoka kati ya wakulima na wafugaji
Hii itakuwa moja ya njia ya kurejesha mahusiano mema kati ya wakulima na wafugaji ambao kila mwaka wanahasimiana
Wakulima na wafugaji Kiteto bado wanahusiano mabaya kufuatia shughuli za kiuchumi hivyo michezo hiyo inakusudiwa kujenga mahusiano mema.
Sent using Jamii Forums mobile app