Kadri siku zinavyozidi kwenda binafsi naona kituo cha times fm kinakonga nyoyo zetu hasa wanapoongea ukweli kuhusu ubovu wa viongozi wetu.keep it up times fm
Mikoani hatuisomi,ila km ndo inafanya kazi hyo...respect!!
Ila iwe makini,isije ikaanza kuhongwa hongwa vichenchi maiti na hao wa magamba ikaanza kujeuza nyeusi kuwa nyekundu,km radio ya "wafu-clouds fm"
mmh!hamjafatilia vipindi vyao vyote hao jamaa,especially taarifa zao za habari,i beg to differ,mi naiona hii redio kama tawi la ccm,kipindi cha kampeni za uchaguzi walinichefua kichizi na ukada wao,...labda wanajirekebisha siku hizi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.