Time Travel: Je, linaweza kuwa suluhisho la kifo?

Embu fikiria zamani sana kabla simu kugunduliwa alaf mtu angekuambia kuwa Kuna uwezekano wa kumsikia mtu aliepo mtwara wakati yeye yupo Arusha just imagine lazima ungemwambia uyo mtu kuwa amechanganyikiwa but what happened ndo tunaona leo kimegunduoiwa kifaa na wewe upo Arusha unamskia mtu yupo mtwara. Hvyo nafikiri hyo time traveling inawezekana japo Sasa hiv inaonekana haiwezekan
 
Kuna uwezekano wa kuuchezea muda namna hiyo?
Ya tafiti zote naona wanafanya kusafiri kwenda past but trust me kama ikifanikiwa kwenda past basi itakua so simple kwenda future.

Ya inabidi uwe unamwendo mkali kuliko mwanga ili kutengeneza Curveture kwenye Gravity ili kurudisha muda nyuma au kuupeleka mbele
 
Embu fikiria zamani sana kabla simu kugunduliwa alaf mtu angekuambia kuwa Kuna uwezekano wa kumsikia mtu aliepo mtwara wakati yeye yupo Arusha just imagine lazima ungemwambia uyo mtu kuwa amechanganyikiwa but what happened ndo tunaona leo kimegunduoiwa kifaa na wewe upo Arusha unamskia mtu yupo mtwara. Hvyo nafikiri hyo time traveling inawezekana japo Sasa hiv inaonekana haiwezekan
Kwa huu mfano wako ndo unataka usemeje?
 
Tuanzie hapa kwenye kurudi nyuma miaka 3000 kama ulivyosema.

Sijaona wapi mnaeleza mtu huyo atarudi nyuma kivipi katika mazingira gani na wapi na je kimwili au kiroho,haliyakuwa bado hiyo time machine haijatengenezwa bado...
Maswali yako yote ume assume muda ni linear.

Hayawezi jibika kwa assumption ya muda kuwa linear.

time travel theorist fundamentally lazima waweke kwanza possibility ya muda kutokuwa linear
 
Exactly, hata mimi nimeshindwa kuelewa point ya kwenda mbele ambapo hakujatengenezwa
Unajuaje hakujatengenezwa?

Naona Kuna watu wana argue eti Ku travel past inawezekana lakini future haiwezekani sasa kama ukienda past hao utaowakuta past ukirudi nae mmoja siatakuwa ameenda future. Therefore if you can't Go in the future huwezi pia kwenda past.
 
Maswali yako yote ume assume muda ni linear.

Hayawezi jibika kwa assumption ya muda kuwa linear.

time travel theorist fundamentally lazima waweke kwanza possibility ya muda kutokuwa linear
Sasa msilete nadharia katika uhalisia, ndiyo maana mnaonekana vituko na wagonjwa wa akili.
 
Mmh kaaz kweli kweli
Screenshot_2021-03-22-13-04-23-1.jpg
 
One of very interesting topic ambayo inakufanya uwaze dunia kwa marefu na mapana yake. Kwa uelewa wa juu juu tu mtu anaweza kuona kama ni fiction fulani hivi ambayo haiwezekani lakini there is something behind juu ya ishu ya Time Travelling.

Hii ishu nimeiona kwenye movie ya Mr.Peabody and Sherman ambayo walikuwa wanatumia Time Machine kwenda kwenye past mbalimbali mfano French Revolution ya mwaka 1789.

Ancient Egypt ( LAND OF THE PHARAOHS) -1332 B.C, na Florence, Italy home of Leonardo Da'vinci 1508 na sehemu nyingine lakini walikuwa na uwezo wa kurudi present kutokea Way Back kwa kutumia Time machine.

Kama ulivyojaribu kuelezea sio kitu kirahisi kwa kukitolea maelezo tu.
 
One of very interesting topic ambayo inakufanya uwaze dunia kwa marefu na mapana yake. Kwa uelewa wa juu juu tu mtu anaweza kuona kama ni fiction fulani hivi ambayo haiwezekani lakini there is something behind juu ya ishu ya Time Travelling....
Timeline inaweza kua kikwazo kwenye kufanya time traveling.

Inawezekana hata time traveling ikiwa accessible sio kila mtu anaweza ruhusiwa kuitumia. Maana kuna vichwa maji wanaweza kuleta matatizo kwa ajili ya kuchezea timeline
 
Timeline inaweza kua kikwazo kwenye kufanya time traveling....
Inawezekana hata time traveling ikiwa accessible sio kila mtu anaweza ruhusiwa kuitumia. Maana kuna vichwa maji wanaweza kuleta matatizo kwa ajili ya kuchezea timeline
Mambo ya kufikirika hayo.. Ila kwenye movie yanaezekana ukija kwenye uhalisia ni pumba za wazungu na huo ndio moja kati ya ujinga wa wazungu ila sie wa Africa tunaona wana akili.. Lakin kwa mtu mwenye akil timamu bhc haezi dhania anaeza rudi nyuma ya mda au mbele ya mda

Sent from my A37fw using JamiiForums mobile app
 
Mambo ya kufikirika hayo.. Ila kwenye movie yanaezekana ukija kwenye uhalisia ni pumba za wazungu na huo ndio moja kati ya ujinga wa wazungu ila sie wa Africa tunaona wana akili.. Lakin kwa mtu mwenye akil timamu bhc haezi dhania anaeza rudi nyuma ya mda au mbele ya mda

Sent from my A37fw using JamiiForums mobile app
sentensi ya maneno kadhaa tu ndio imeubadirisha huu ulimwengu wetu na kuufanya uendelee. Unaweza kuona sentensi kama vile Newton’s laws of motion zilivyochangia maandeleo ya dunia yetu karibia asilimmia 50 ya maendeleo ya ulimwengu yanaweza kuwa yameletwa na hizo sentesi (laws) tatu za mwanasayansi Issac Neawton kiteknolojia, kiuchumi, pia katika mafunzo ya kiroho hizo laws tatu zinafanya kazi.

Au unaweza kuona formula ya E= mc2 ya mwanasayansi Albert Einstein ilivyopelekea mauaji ya mamilioni ya watu huko Hiroshima na Nagasaki Japan, aidha mwanasayansi toka ugiriki Archimedes sentsnsi yake kuhusu kuzama na kuelea kwa kitu ilivyoleta maendeleo makubwa kwenye usafiri wa maji nk. Hivyo unaweza kuona kua hua ni sentensi au maneno ya mtu ndio yameleta makubwa hapa duniani baada ya kuchambuliwa na kufanyiwa kazi.

Aliyepropose kwa mara ya kwanza masuala ya wireless ni Nikola tesla, watu walimshangaa kama ww unavyoshangaa masuala ya time banding. Ila leo mwenyewe si unaona watu wanavyoshea data zao wirelessly.

Mtu kama Newton au Da'Vinci ungawaambia kipindi hicho kwamba miaka ya baadae watu watakua wanaongea kwa kuonana wakiwa sehemu tofauti wala wasingebisha ila mtu wa kawaida tu ungemwambia angekubishia kama ww unavyobisha leo hii.

Natumaini hata ww miaka ya nyuma ulikua hauamini au kudhani kua ipo siku utaongea kwa kuonana na demu wako aliye mkoani.
Hizo movie unazosema ni researched film hawagizi tu ili kukufurahisha
 
Utaezaje kwenda kesho ambapo hakuna aliyeishi hio kesho.. Imagine unaenda 2030 ety unakuta miradi yote ishajengwa tz ya viwanda afu unarudi kuja kutupa mrejesho.. Aisee mirembe itakuhusu

Sent from my A37fw using JamiiForums mobile app
(Please save your words for another day).

Kwa maana kuna watu kama wewe walisema sky is the limit, lakini sio longer limit tena. Kwa maana nchi kama Marekani, China, Russia wameshafika mwezini na kufanya tafiti na project mbalimbali ambazo ni endelevu na bado wanaendelea na vumbuzi. Hawa kuishia hapo tu, wakadevelop Specific Robot ya kwenda Mars kwa ajili ya tafiti mbalimbali ikiwemo kupiga picha za Sayari Mars na kucollect sample za vitu mbalimbali ikiwemo udongo wa Sayari ya Mars na wamefanikiwa. Sasa hivi wanaendelea na tafiti ya udongo wa mars kuangalia kama unasupport ukuaji wa mimea kwa kiasi gani kwa kuangalia Soil composition, Physical and chemical soil characteristics.
So kila jambo ni ambitions tu hakuna kinachoshindikana chini ya jua kikubwa nikusema maneno haya
-Never lose hope
-Never Give up
-Never Say die
-Never lose yourself
 
(Please save your words for another day).

Kwa maana kuna watu kama wewe walisema sky is the limit, lakini sio longer limit tena. Kwa maana nchi kama Marekani, China, Russia wameshafika mwezini na kufanya tafiti na project mbalimbali ambazo ni endelevu na bado wanaendelea na vumbuzi. Hawa kuishia hapo tu, wakadevelop Specific Robot ya kwenda Mars kwa ajili ya tafiti mbalimbali ikiwemo kupiga picha za Sayari Mars na kucollect sample za vitu mbalimbali ikiwemo udungo wa Sayari ya Mars na wamefanikiwa. Sasa hivi wanaendelea na tafiti ya udungo wa mars kuangalia kama unasupport ukuaji wa mimea kwa kiasi gani kwa kuangalia Soil composition, Physical and chemical soil characteristics.
So kila jambo ni ambitions tu hakuna kinachoshindikana chini ya jua kikubwa nikusema maneno haya
-Never lose hope
-Never Give up
-Never Say die
-Never lose yourself
Natumaini hajui kitu kiitwacho futurology
 

Futurist ni watu wanaojihusisha na mambo ya Futurology. Futurology inafahamika kama Future studies (masomo yanayohusu mambo ya baadae), Ni masomo yanoyohusu ku-predict mambo mbalimbali yajayo kwa kufanya tafiti kuangalia mambo yaliyopo sasa hivi na kutabiri mambo yajayo.

Futurist wanapredict mambo yajayo kwa kuangalia siasa za dunia,teknolojia ya mwanadamu, intelligence ya mwandamu, Ustaarabu wa mwanadamu, uchumi,nk nk na kutabiri kua miaka kadhaa ijayo kutakua na hiki au kile.

Kwa mfano Futurist wanaelezea jinsi labda maisha ya ya mwanadamu dunia baada ya miaka 20, 30, 50 ijayo yatakua ni maisha yatakayokua yame Advance zaidi. Tutakua tunaishi katika Smart World hivyo binaadamu anaweza kusafiri less than 30 min kutoka bara moja kwenda lingine, Binaadamu anaweza kuanaanza kutumia teknolojia ya Artificial Intelligence At large, kilimo, Elimu, teknolojia vitaboreshwa,
 
Niliwahi kushuhudia kisa kimoja nikiwa na umri wa miaka 10 kisa hiki huwa kinanifanya niwashangae wanasayansi (wachawi) wetu kwanini kwa makusudi wanadumaza technology hii...
mkuu dah nimesoma iki kisa chako kimenifikirisha sana

kama ni cha kutunga nikafikira why utunge

kama ni cha kweli how?

dah kimenifikirisha sana mkuu
 
Back
Top Bottom