Time Travel: Je, linaweza kuwa suluhisho la kifo?

Acheni kufungana kamba nyie.. mnakaa huko madrassa mnadanganyana haya? Malaika anatembea speed kiasi gani kwa saa? Huyo aliyemfunza huo uchawi ni nani?

Akili yako ni tegemzi mnoo Da vinc.shida ya watu vipofu kama wewe unadhan kila jambo linalohusu speed linapimika kwa kipimo time?Ili kukujulisha pamoja na kukupa uelewa zaidi muda na wakati vipo katika galaxy ya Milkway pekee.Na kazi yake kubwa ni nyezo tu kupimia speed na utambuzi wa nyakati ili kuyakabili mazingira tuliopo.
Labda nikup mfano ili angalau ujione bado mjinga na Elimu ya Anga
Galaxy hii ya milkway tunayoishi INA ndugu zake ambao wapo .na inakadiriwa wapo zaidi ya milioni moja.na umbali wa hii galaxy yetu na jiran yake ni 20bilion miles per second per second.na huyu jirani yetu ana majua miamoja kama hili jua letu na kuna viumbe huko vinauwezo was kuzungukia majua yote kwa muda mchache tu.
Huu ni mfano tu nimekuonyesha na kukupa nusu picha ya kua speed ya mwanga ni ndogo sana vipo vitu vina speed zaid ya Mara 2 ya speed ya mwanga.
 
Acheni kufungana kamba nyie.. mnakaa huko madrassa mnadanganyana haya? Malaika anatembea speed kiasi gani kwa saa? Huyo aliyemfunza huo uchawi ni nani?
Huu ni mf wa pili nakupa unaposikia kauli Mungu mkubwa nadhani akili yako hua hailewi kabisaa kwa sababu ya Ujinga ulionao na kutotaka hata kuujua Ukuu wake.Umeuliza swali kijingajinga tu ila nitakujibu kwa hekma..Unataka kujua Malaika Gabriel anakwenda km ngapi kwa SAA.Umbali wa Dunia hii kutoka Noth pole to south pole ni takriban km 12038, na West to East ni takriban 12078km.
Eneo hilo la dunia huyu Malaka Gabriel wala haruki.Analifunika lote kwa mbawa zake miasita.mia3 Julia na mia3 kushoto.
Umeona ulivyouliza swali la kijingajinga eeh.
Sasa kwa Taarifa yako huyo malaika Gabriel ni malaika Mdogo sana kwa Umbo ukimlinganisha na malaika wanne wanaishikilia "Arsh" ya Mwenyezimungu.Malaika Hawa wanaitwa "Malaikatu RAHMAN"
Ukubwa wa bega moja la Malaika mmoja ni Mwendo wa Farasi mwenye kasi kubwa takriban Miaka Elfu 50,
"Kama hao ni viumbe wake...Unapoambiwa M/mungu ni Mkubwa Tambua Hakuna mfano wake."
Kuhusu swali lako LA pili nani walimfundisha uchawi Kisisina.Ni Malaika wawili Wanaitwa "Maruta na Karuta"walituma spacial kuja kuwafundisha uchawi wanaadam na vigezo na masharti pia waliwapa.pila kusahau waliwajulisha huo ni mtihani kwao...
**Jifunze elimu na wala usijisifu unajua kwa sababu hicho ulichonacho ni sawa na punje ya mchanga katika jangwa la sahara"
 
Shida yako ndio hio bb Swalehe..wewe ni mbumbu wa kutupa linapokuja swala la kuoanisha kati ya dini na sayansi.na hujui kabisa kua Sayansi ni mifumo maalumu ya kielimu ambaya ipo kwa ajili ya kumsaidia mwanaadam kuitambua Nguvu yenye Nguvu inayotenda na kuuendesha ulimwengu huu bila kua na Usaidizi na Kitu chochote.bila kumung'unya maneno nguvu hio ni Mwenyezimungu.huwezi kuishi bila Dini..
ni mfano wa mtu anasema eti anamuamini Mungu kisha anaona dini ni upuuzi.

wakati dini hizo hizo ndo zimemfanya amuamini Mungu
 
Shida yako ndio hio bb Swalehe..wewe ni mbumbu wa kutupa linapokuja swala la kuoanisha kati ya dini na sayansi.na hujui kabisa kua Sayansi ni mifumo maalumu ya kielimu ambaya ipo kwa ajili ya kumsaidia mwanaadam kuitambua Nguvu yenye Nguvu inayotenda na kuuendesha ulimwengu huu bila kua na Usaidizi na Kitu chochote.bila kumung'unya maneno nguvu hio ni Mwenyezimungu.huwezi kuishi bila Dini..
mkuu nimependa sana uliposema kuwa "...katika suala la kuoanisha sayansi na dini... "

hapo baba swalehe nadhani ndipo hataki kufungua akili kubwa aliyonayo kujadili na kutafakari hilo suala.

some times najiuliza tu hawa waliokujaga na theory ya bing bang walioteshwa au walifanyajee wakatoa hii theory...?

naamini kwamba vitabu vya dini ndio chanzo kikubwa cha theory nyingi zinazohusiana hasa na mambo ya uumbaji viumbe na uwepo wa ulimwengu..


hata katika elimu ya astronomy huwa napenda sana kusoma mafundisho ya uislamu na kuyapitia kwa sababu yanatoa wigo mpana wa kufikiria.

huwa nasema na kutafakari kuwa MAFUNDISHO YA UISLAMU YALIKUWA NA UJASIRI GANI WA KUSIMULIA KUWA MTUME ALIKWENDA MBINGUNI NA MNYAMA ALAFU WASIWE NA HOFU KUWAHILI WATU WATALIPINGA KUTOKANA NA KUTOKUWEPO KWA MIFANO HAI NYAKATI HIZO...?

naona kabisa kwamba Qurani ina maajabu mengi sana ikiwemo la kuwa jua na mwezi vinaogelea huko angani.. hapo Qurani inakufanya uwaze kuwa kwa nini vinaogelea na havianguki kama mbavyo tunaanguka sis tukijaribu kuwa katika hili anga la dunia...

hiki kitabu kina mambo mengi mkubwa
 
mkuu nimependa sana uliposema kuwa "...katika suala la kuoanisha sayansi na dini... "

hapo baba swalehe nadhani ndipo hataki kufungua akili kubwa aliyonayo kujadili na kutafakari hilo suala.

some times najiuliza tu hawa waliokujaga na theory ya bing bang walioteshwa au walifanyajee wakatoa hii theory...?

naamini kwamba vitabu vya dini ndio chanzo kikubwa cha theory nyingi zinazohusiana hasa na mambo ya uumbaji viumbe na uwepo wa ulimwengu..


hata katika elimu ya astronomy huwa napenda sana kusoma mafundisho ya uislamu na kuyapitia kwa sababu yanatoa wigo mpana wa kufikiria.

huwa nasema na kutafakari kuwa MAFUNDISHO YA UISLAMU YALIKUWA NA UJASIRI GANI WA KUSIMULIA KUWA MTUME ALIKWENDA MBINGUNI NA MNYAMA ALAFU WASIWE NA HOFU KUWAHILI WATU WATALIPINGA KUTOKANA NA KUTOKUWEPO KWA MIFANO HAI NYAKATI HIZO...?

naona kabisa kwamba Qurani ina maajabu mengi sana ikiwemo la kuwa jua na mwezi vinaogelea huko angani.. hapo Qurani inakufanya uwaze kuwa kwa nini vinaogelea na havianguki kama mbavyo tunaanguka sis tukijaribu kuwa katika hili anga la dunia...

hiki kitabu kina mambo mengi mkubwa
Nmeifungua kuliko unavyoweza kufikiri

Mambo mengine ni makubwa huwezi kuelewa !
 
ni mfano wa mtu anasema eti anamuamini Mungu kisha anaona dini ni upuuzi.
wakati dini hizo hizo ndo zimemfanya amuamini Mungu
Hata mie huwa nashangaa maana hata uelewa wake kuhusu Mungu umetoka kwenye dini hizo hizo halafu anaziona ni upuuzi.
 
Kuna haka kastory niliakandika kitambo kidogo ngoja nikaweke hapa ili tusijaze server za watu . haka kastori kanahusu viumbe wanaokuja duniani kutoka anga za mbali kuja kututembelea.. sometime waweza jiuliza tu kwanini Rc ilibadiri sala ya Mwanakondo uondoae dhambi za dunia kua mwanakondoo uondoae dhambi za ulimwengu! ni kwasababu Teknoljia inazidi kukua pia elimu yazidi kupanuka hivyo wakajua tu haiwezekani katika Ghalaxy yetu ya Milky way yenye solar system zaidi ya 1mil kuwe na binaadamu/viumbe duniani tu.
kastory kenyewe ni haka...
View attachment 1102218
Ilikua july 1954 ambapo maofisa wa wa uwanja wa Haneda Airport(kwasasa Tokyo airport) nchini Japan waliripoti tukio la kushangaza lilitokea uwanjani hapo… Msafiri kutoka Ulaya mwenye pasi ya kusafiria ya nchi iliyokua inaitwa Tuared.

Msafiri huyo alikua namwonekano mwenye ndevu kiasi na mwonekano wa Caucusian kama watu wanaotoka nchi za Ulaya, kwa mujibu wake alisema kua nchi hiyo ya Tuared iko ulaya pia alikua ana fedha za mataifa mbalimbali. Maofisa wa polisi walifikiraia kua watakua na maelezo kidogo tu kuhusu kwanini hawajui nchi hiyo ilipo hivyo wakaamua kumpelekea chemba kwa mahojiano zaidi… Walipoanza kumuuliza taarifa iliwapate kuifahamu hio nchi ilipo Yule msafiri alianza kua mkali na kusema kua hiyo ilikua safari yake ya tatu hapo nchini japan kwa safari za kampuni anayofanyia kazi, pia amekua akifanya safari nchini humu kwa muda wa miaka mitano iliyopita. Msafiri alishangaa kwanini maofisa wanachelewa ku-Approve safari yake, lakini maofisa walipoulizia kwenye hiyo kampuni aliyosema ndio anakwenda kikazi walikataa kua hawamfahamu mtu huyo pia hata hiyo kampuni aliyotoka pia maofisa waligundua kua haijawahi kuwepo pia hata hotel aliyosema kafanya Resevation/booking walikaa kua hawamfahamu mtu huyo na hajachukua chumba hapo.

Msafiri huyo alikua anaongea kifaransa, kijapan na lugha nyingine nyingii. Kuongea kwake kijapani kidogo ilikua ni ushahidi kua hua anakuja nchini Japani. Lakini walipomuonyesha ramani ya dunia aonyeshe wapi nchi yake hiyo ya Tuared ilipo alishangaa kua haioni kwenye ramani, akaonyesha sehemu inayoitwa Andorra kua ndiko nchi yake hiyo ilikuwepo. Akasema tured ipo miaka zaidi ya elfu hivyo ingekuwepo kwenye ramani, akahitaji maofisa wamalizane na hilo swala lake aondoke kachoka kukaa kwenye chumba cha mahojiano. Hivyo maofisa uhamiaji wale walimtafutia chumba kwenye hotel iliyopo jirani na uwanja wa ndege, maafisa uhamiaji wawili walipangwa kulinda chumba chake hicho usiku kucha ili kesho yake aendelee kufanyiwa uchunguzi. Asubuhi kulipokucha walikuta Yule msafiri katoweka. Haikujulikana alipitia wapi maana kama ni dirisha la chumba cha hoteli lilikua juu kabisa hotelini pia mtaa ule ulikua bize muda wote hivyo angeonekana dirisha pia lilikua limefungwa. Hadithi ya msafiri huyo inaishia hapo maana hakuonekana tena mpaka leo na hakuna mtu aliyewahi kujua nchi hiyo ya tuared iko wapi japo wanhistoria mbali mbali kutoka japani walijaribu kufuatiia nchi hiyo uwepo wake miaka iliyopita.
Mkuu Ishu ya Time-Travelling imekaa kinadharia sana kwa mujibu wa theory ya time travelling. Lakini kwa mujibu wa matukio wakadha yaliyowahi kuelezwa katika vitabu vya simulizi na pia vya dini inaonesha time-travelling is possible lakini siyo njia ya kukwepa kifo. Na mimi nafikiria inawezekana katika future na sio past. Kwa sababu hile hadithi ya ndege iliopotea halafu ikarudi baada ya miaka 37 ndege ya Pan American Flight 914 na pia ile hadithi itokayo katika vitabu vya dini wale watu wa pangoni waliolala walipoamka wakaja kuamka miaka 300 baadae. Na yule msomi au nabii wa ki-israel aliyelala akaja kuamka baada ya miaka 100 na matukio mengi sana. Ila hii habari ya time-travelling machine ndio ngumu kufanikisha. Katika Time-travelling hapa kuna siri kubwa inayohusiana na maumbile na pengine ipo nje ya ufahamu wetu haswa. Kwasababu mkuu, kifo ni maajabu sana, maanake mwili wa binaadamu ulivyo ilistahili binaadamu aishi milele na ndio maana kwenye habari ya kifo sayansi ni bubu. Mimi nafamu kifo ni amri ya mungu kwa sababu kuna maandiko yanayosema
"Na wala nafsi isingelikuwa yenye kufa isipokuwa kwa ruhusa ya mungu, maandiko yenye sababu".
 
Time travel is not possible in Newtonian absolute time (we move deterministically and linearly forward into the future). Neither is it possible according to special relativity (we are constrained by our light cones).

Lakini general relativity does raises the prospect (at least theoretically) of travel through time, i.e. the possibility of movement backwards and/or forwards in time, independently of the normal flow of time we observe on Earth, in much the same way as we can move between different points in space.
 
Bado wanahangaika kuhusu vitu vinavyoweza saidia about time travel like

wormhole

cosmic strings (or quantum strings)

Pia kuna mwanasayansi anaitwa Ron mallet anaangalia possiblity ya kutumia lasers kuko control extreme levels za gravity ambapo itakua na mchango mkubwa sana wa ku control time ..
 
View attachment 1102207
SALUTE
Mara nyingi hua nasema vitu tunavyoona ni vyakijinga havi-make sense machoni na masikioni mwetu ndio hua na maana na vimeleta mabadiriko makubwa duniani kwetu. Mfano swali la kijinga zaidi alilowahi kujiuliza mwanasayans Issac Newton leo hii limetulitea mabadiriko na maendeleo kwenye maisha , hebu fikiria kama leo hii isac newton angekuuliza kwanini apple limemuangukia kichwani halikwenda juu ungemuona vipi? Hilo swali unaloliona la kijinga limeleta maendeleo makubwa sana. Pia ndoto moja aliyoota albert Einstein waweza kuona ni ya kawaida sana au haina maana lakini ni moja kati ya ndoto iliyoleta mafanikio makubwa duniani, kupitia ndoto tu ya kawaida sana aliyoota tulipata kitu kinachoitwa Theory of Ralativity mambo ya Emc2 yote yote unaweza ona ni kitu cha kawaida ila kina impact kubwa kwenye tasnia ya sayansi

Tarehe 11/5/2019 nilibahatika kuangalia muvi hii inayoitwa Avangers: Endgame, content iliyomo kwenye muvi hii ni Time Traveling, baada ya kuangalia muvi I really admitted that Death might no longer a threat to Mankind!.. Baada ya thanos ku-wipe nusu binaadamu wote ulimwenguni (Universe) , njia pekee iliyobakia kutimka ili kuwarudisha wale waliopotea. Probably Human can stop his Destiny which is Death, Nawaza tu labda Binaadamu twaweza kukiepuka na kukizuia kifo kwa kutumia Theory ya Time Traveling.

Time Travel ni nini..?

Ni kitendo cha kusafiri kutoka sehemu moja kwenda nyingine ndani ya muda, namaanisha kua mtu anaweza kusafiri leo hii kwenda miaka 5,10,20,25 nk ijayo (Future) au kusafiri kurudi miaka 10,20,30,40,nk iliyopita (Past). Hadithi nyingi za zamani zimekua zikielezea swala hili la kusafiri katika muda.

Huko India kuna hadithi inamzungumzia mfale Raivata Kakudumi ambae alisafiri kwenda mbinguni kukutana na mung wake Brahma, aliporudi alishangaa kua ni miaka mingi imepita. Japan pia kuna hadithi inaitwa Nihongi, inamwelezea kijana mmoja mvuvi anayeitwa Urashima taro ambae alitembelea sehemu iliyochini ya maji, baada ya siku tatu alirudi kijijini kwake akakuta ni miaka 300 imepita, alikuta familia yake imefariki yote. Pia kwa wayahudi mnamo karne ya 1BC mwanafunzi aitwae Honi ha-M'agel inasemekana ailisinzia kwa muda wa miaka 27 alipoamka alikuta hakuna mtu aliyemjua sehemu aliyokua anaishi. Na simulizi nyingii sana kuhusu hii nadharia zimetolewa waweza tafuta ukasoma zaidi.

Wakati watu wengi wakidhani kua muda hautofautiani lakini Mwanasayansi Albert Einstein anaelezea kua muda (Time) haupo hivyo wanavyodhani, unaweza kutofautiana kwa mazingira tofauti, kutegemeana na kasi unayotembea nayo angani (in space)…Theory of special relative ya Enstein inasema kua muda kwenda haraka au kwenda taratibu inategemea na kasii unavyo safiri, mtu akisafiri kwa kasi ya mwanga kwa chombo cha anga angani umri wake utakua mdogo kulinganisha na ndugu au wazazi wake aliowaacha angani..kama akirudi yeye atakua kijana lakini nduguze watakua wamezeeka au wakawa wameshafariki.

Pia kwenye theory ya Albert Einstein ya Theory of General relativity anaelezea kua Garvity (kani ya uvutano) inaweza kupeleka muda mbele au kurudisha nyuma. Anaeleza kua chombo cha anaga kikiwa huko anagani kikakutana na kani ya uvutano basi hua kani hiyo husababisha muda kua slow, hivyo basi hata wanasayansi wa anaga wanakubali kua wasafiri wa anga wanaporudi duniani hua wapo nyuma kimuda yaani saa ya duniani inakua mbele kwa muda microsecond 38 kwa siku. Wanahitimisha kwa kusema mfano msafiri mmoja wa anaga ana pacha wake duniani ammbae hafu akikaa huko angani labda siku 14, Yule pacha aliyebaki duniani atamshinda kwa muda wa microsecond 532 (chukua Microsecond 38 zidisha siku 14)



TIME MACHINE

Ili kufanikisha kusafiri katika muda inabidi kuwe na kifaa kinachoiitwa Time machine ambacho hichi kifaa kinauwezo wa kupeleka muda mbele au kurudisha muda nyuma. Bado wanasayansi wanalifanyia kazi suala hili, muda sio mrefu inaweza kuthibishwa kua Time machine inaweza kuanza kufanya kazi. Jinsi Nadharia ya Time Machine inavyofanya kazi kiukweli inanishinda kuielezea kwa Kiswahili kutokana na Ambiguity ya lugha yetu hii. Humo ni masuala ya physics tu so nashindwa niwekeje kwa lugha yetu labda aliyesoma hii kitu akaelewa inavyofanya kazi atatuelezea lifecoded.

Kwenye hili suala la tme Travel kuna kitu kinaitwa Grandfather Paradox ambapo hiki ni kitendo ambacho Time Traveller anarudi kwenye wakati uliopita kisha anaua wazazi wake au babu zake ili yeye awe hakuzaliwa.Kwa mujibu wa wanasayansi na wanafalasafa kama Plato kwenye theory yake ya Platonism anasema kua kubadili maisha yako ya nyuma hakuwezi kuathiri maisha yako ya sasa, lakini mambo yote hayo mawili yanakuja kupingwa na nadharia ya Butterfly Effectt ambapo inasema kua mabadiriko kidogo kwenye sehemu moja yanaweza kuleta mabadiriko makubwa au utofauti mkubwa baadae katika sehemu nyingine

Hii inamaanisha kwamba kama time traveler akirudi katika maisha yaliyopita akamuua baba aua babu yake anaweza sababisha mabadiriko katika maisha yake aliyotoka au future yake.

Kwa muhtsari huu kuhusu theory ya Time Traveling iko hivo japo watafiti wengi wanasema Time Travel hauwezekani iko too theoretically ila mimi naona hiki kitu ni real kabisa kipo, kwanini? Unajua binaadamu hawezi kufikiri nje ya vitu ambavyo vipo duniani nikimaanisha kua hata mimi au wewe hatuwezi kuwaza au kufikiri nje ya vile vitu tulivyoviona,kuambiwa au viliwahi kuwepo. Utawaza Mungu kwakua ulisikia kua kuna Mungu, utawaza nyumba kwakua ushaiona nyumba nk nk. Mantiki yangu ni kwamba hata hao watu wanaosema time travel is real hawakukaa tu wakafikiri kitu amabacho hakipo, mtazamo wangu naamini hiki kitu kipo na kinafanya kazi labda kwa siri kumbuka hata Internet tunaambiwa imeletwa mwaka 1991 na Tim Berners lee lakini ni kitu kipo toka miaka ya 1950s sema Tim aliifanya kua Popular baada ya kutengeneza World Wide Web…

Lakini haya ni mawazo yangu tu kwamba labada kama Time Machine ikifanikiwa kutengenezwa watu wanaweza kuitumia kukwepa kifo labda kwa kurudisha muda nyuma na kukwepa kile kitu kilichopelekea kufariki..kwa mafano kwenye muvi inaitwa Time Trveler’s wife wameelezea tukio hili linavyoweza kufanyika.
~Da'vinci..


So here is the thing: Time travel is a paradox, if you went back in time and killed your dad asizaliwe how would you have been born? So its still a theory, even the examples zilizopo mitandaoni hazipo proved, same as watu wanaosema aliens but mpaka sasa hakuna any incidence ya alien ambayo inaweza kuaminika: most of these are just thories and you for you to understand time travel lazima ujue theory of relativity: published by albert einsten: Inasema ivi, if you moved fast to the speed of light time then time slows down for you not age but time: why? because light takes time to reach you: so if you speed more than the speed of light you will be gong backward in time not backward in age because u will still age and u will still be sick if you have to be sick
 
with the current technology time travel is almost impossible: There is only one method which i amnot sure will work that well its called: "BREAKTHROUGH STAR SHOT": Facebook CEO (mark) has been supporting this idea since long time, because the only side left was the financial side: if this technology comes to life, there will be a possibility to travel from earth to another universe just for 20 YEARS: i can imagine the speed might be used for time travel too because even with the speed of light it will take 7000 years to reach another universe which is the closest:(proxima centeuri): we wait for 2036
 
with the current technology time travel is almost impossible: There is only one method which i amnot sure will work that well its called: "BREAKTHROUGH STAR SHOT": Facebook CEO (mark) has been supporting this idea since long time, because the only side left was the financial side: if this technology comes to life, there will be a possibility to travel from earth to another universe just for 20 YEARS: i can imagine the speed might be used for time travel too because even with the speed of light it will take 7000 years to reach another universe which is the closest:(proxima centeuri): we wait for 2036
Nothing is impossible mkuu ni swala la muda tu
 
Back
Top Bottom