Time Travel: Je, linaweza kuwa suluhisho la kifo?

Shida ni kubwa sana napoona watu wanachanganya mambo ya Dini na sayansi

Alooo
mkuu ukubali ukatae kuna mambo yapo katika sayansi na kwenye dini yalishaelezwa kitambo sana.

mtume muhammad ametuelezea kwamba kila mtu anaumbwa katika fuko la uzazi la mama yake siku 40 za mwanzo ni mbegu ya uzazi(baba na mama)

kisha siku 40 za pili ni pande la damu

kisha siku 40 za 3 (120) pande la nyama....

sayansi inaelezea haya mambo hivyp hivyo.

tukiowanisha maelezo ya dini na sayansi yale ambayo yanaendana huwa ukakereka wapi mkuu ?
 
Dini inaelewa sayansi ila sayansi haielewi imani
yap dini tunsitumia sayansi kama vile waislamu wanatumia ndege kwenda kuhiji zamani ilikuwa punda.

hapo dini imetumia sayansi kuwafikisha katika ibada fulani.
 
mkuu ukubali ukatae kuna mambo yapo katika sayansi na kwenye dini yalishaelezwa kitambo sana.

mtume muhammad ametuelezea kwamba kila mtu anaumbwa katika fuko la uzazi la mama yake siku 40 za mwanzo ni mbegu ya uzazi(baba na mama)

kisha siku 40 za pili ni pande la damu

kisha siku 40 za 3 (120) pande la nyama....

sayansi inaelezea haya mambo hivyp hivyo.

tukiowanisha maelezo ya dini na sayansi yale ambayo yanaendana huwa ukakereka wapi mkuu ?
Unaiamini sayansi ?
 
Unaiamini sayansi ?
kwanza lazima uniambie wewe sayansi unaitafsiri vipi..?

kwa sababu huwenda tafsiri yangu na yako zikawatofauti mkuu.

mfano maelezo ya mtume kutuambiajuu ya uumbwaji wa mtoto katika tumbo hiyo ni sayansi.

maelezo ya Mtume kutuambia ya kuwa mwezi unaakisi mwanga na unamove hiyo ni sayansi ambayo ilikuwepo kabla ya kina isaack newtkn na kina albert einsten..

maelezo ya mtume kwamba alienda mbinguni na mnyama mweye spidi kali sana na. akaona mambo ya future kam vile waawake kuwa motoni na baadhi ya watenda madhambi wakiadhibiwa mfano wala riba n. k pia nayo ni sayansi ambayo katuelezea mtume kabla ya hawa akina einsten..

sasa wewe unaitafsiri vipi sayansi kwauono wako mkuu
 
yap dini tunsitumia sayansi kama vile waislamu wanatumia ndege kwenda kuhiji zamani ilikuwa punda.

hapo dini imetumia sayansi kuwafikisha katika ibada fulani.
Miminnazungumzia kuamini sio kutumia
 
katika kisa cha mtume muhammad kwenda mbinguni ndani ya usiku mmoja tu akiwa na mnyama wa ajabu anaeenda kwaspidi kali mfano wa mwanga, mtume aliona watu na adhabu ambazo watazipata waovu mbalimbali na akawaona wanawake wengi wapo motoni.

je aliwaonaje wakati bado Wanaendelea kuzaliwa hapa duniani ?

hapo utaona kwamba kama alikuwa ameoneshwa future ya hao watu.

pia inasemekana jibriyl alifika mahala akasema hawezi kwenda zaidi ya hapo kwa sababu Akizidisha kwenda atapukutika na kupaduka pasuka(sinauhakik sana)

lakini nina aminj huko juu wana sayansi watavumbua hapobaadae kwaba kuna sehemu ukizidi kwenda basi unayeyuka na kugawanyika ukapotea kabisa katikaulimwengu ukabaki vipande vipande.

tukumbuke kuwa dunia ni punje ya mchanga katika universal yetu.

hivyo kuna mengi nje yetu hatuyajui kuliko tunayoyajua.

napitia sana Qurani naaya zake zile za miujiza na maajabu zinafikirisha sanaa.

Inasemwa kwamba malaika wameumbwa kwa nuru yaai kama mwanga hivi.

hapo hapo Allah anawasifia malaika mwendo wao na spidi yao ni hatari zaidi.

hapo inaonesha kuna uhusiano mkubwa kati ya nuru na ukubwa wa spidi yaoo malaika..

Bro safuher..Nafahau unavyosisimka na habari za Ajabu za Qur an..Tafuta habari Za Kisisina Wa Rubbama Myahudi huyu ambae Allikua mwanaadam was kwanza kufundishwa Uchawi na Kupewa kitabu kilichokua na mambo yote na siri zote za Ulimwengu huu.ana kissa chake maarufu hata Mtume Saw alisadikisha habari zake.
Huyu jamaa elimu ya kitabu aliyopewa alikuwa na uwezo wakuwaona Malaika wrote mbinguni na nyendo zao zote.alijua matumizi ya kila kitu katika ulimwengu huu na alikukua na uwezo wa kwenda kwa speed ya kasi zaidi kuliko malaika..pamoja na kuwa uwezo huu na nguvu hizo za ajabu alizopewa ilikua ni Mtihani kwake.
Kutokana na nguvu na ufahamu wa hali juu aliokua nao Kisisina Wayahudi wengi walikwenda kwake kujifunza na kutaka kupata ufafanuzi wa mambo mbalimbali ya kudunia na mbinguni.
Kisa chake na jibril kinaanzia pale Ambapo Allah sw alimtuma Malaika Jibril kwenda kwa Kisisina kukichukua kitabu kile.Malaika Jibril kwa uwezo wake Allah alijibadili na kua Mwanadam wa kawaida na Alipofika nyumbani kwa Kisisina Alimkuta Yupo Katika sebule na mile kitabu...
Kwa Haraka Jibril Akamuuliza Kisisina Naomba Uniambie Jibril yupo wapi?
Kisisina Akamjibu Kabla ya Kwenda kwenye Kitabu chake..Alimjibu hivi "Kama sio Wewe ni Mimi ila kwa Uhakika zaidi Ngoja nikakutazamie kwenye Kitabu".
M/mungu akamsahaulisha na Akaingia chumbani wakati kitabu kilikua palepale sebuleni...
Bas Jibril akakichukua "KITABU" nakutoka nje kisha Kuzikunjua mbawa zake zote Miasita na kuruka kwa speed take Kali kama mwanga kuelekea mbinguni.
Kitedo kile cha kuruka kilimstua Kisisina na kumbukumbu zake zikarudi na alirudi sebuleni kukiangalia "KITABU" hakukiona.alipotoka nje na akamuona Jibril anaingia katika wingu la kwanza ...
Palepale akaruka Kumfuata sekunde chache akawa tayari amemkaribia Jibril.Allah sw akamuelekeza achane kurasa moja ili Kumhadaa kisisina kua Jibril amekitupa kitabu.Na baada ya Kuichana kurasa hio Allah sw aliipa uzito wa ajabu na Kurasa ile ikampita kwa kasi na kushuka chini..Kisisina Akarudi kwa kasi kukifuata kitabu chake huku akijinasibisha kwa maneno kua kama asingekiachia kitabu mile angekiona cha mtema kuni..
Kurasa ile ilifika katika Ardhi ikipishana na Kisisina kwa nukta moja tu.
Kisisina akaiokota ile kurasa akidhani ni kitabu.lkn hakikua kitabu .ulikua ni ukurasa mmoja tu.
Kisisina baada ya kugundua kachezewa shere aliruka tena .lakini akakuta mbingu zimeishajifunga na akakosa njia za kupenya..akawa ameshindwa akarudi nyumbani kwake hali ya kuwa ni mnyonge..Na kwa Taarifa yako tu Kurasa ile ndio iiliyobeba iliobeba majina 99 ya miti na matumizi yake ambayo ndio tunayotamba nayo kwa mambo Mbalimbali katika Dunia hii.
 
katika kisa cha mtume muhammad kwenda mbinguni ndani ya usiku mmoja tu akiwa na mnyama wa ajabu anaeenda kwaspidi kali mfano wa mwanga, mtume aliona watu na adhabu ambazo watazipata waovu mbalimbali na akawaona wanawake wengi wapo motoni.

je aliwaonaje wakati bado Wanaendelea kuzaliwa hapa duniani ?

hapo utaona kwamba kama alikuwa ameoneshwa future ya hao watu.

pia inasemekana jibriyl alifika mahala akasema hawezi kwenda zaidi ya hapo kwa sababu Akizidisha kwenda atapukutika na kupaduka pasuka(sinauhakik sana)

lakini nina aminj huko juu wana sayansi watavumbua hapobaadae kwaba kuna sehemu ukizidi kwenda basi unayeyuka na kugawanyika ukapotea kabisa katikaulimwengu ukabaki vipande vipande.

tukumbuke kuwa dunia ni punje ya mchanga katika universal yetu.

hivyo kuna mengi nje yetu hatuyajui kuliko tunayoyajua.

napitia sana Qurani naaya zake zile za miujiza na maajabu zinafikirisha sanaa.

Inasemwa kwamba malaika wameumbwa kwa nuru yaai kama mwanga hivi.

hapo hapo Allah anawasifia malaika mwendo wao na spidi yao ni hatari zaidi.

hapo inaonesha kuna uhusiano mkubwa kati ya nuru na ukubwa wa spidi yaoo malaika..


Asante kwa ufafanuzi

Hata wale vijana waliolala pangoni walifanya time travelling wakaenda miaka zaidi ya mia 300

Walipotoka pangoni walikuta dunia imeenda future yàaan walifanya time travelling bila wao kujua
 
Asante kwa ufafanuzi

Hata wale vijana waliolala pangoni walifanya time travelling wakaenda miaka zaidi ya mia 300

Walipotoka pangoni walikuta dunia imeenda future yàaan walifanya time travelling bila wao kujua
ila hii concept ya time travelling ina maana ili utravell manake wewe uwe na umri ule ule lakini uwe umeenda mbele ya muda...?
 
Bro safuher..Nafahau unavyosisimka na habari za Ajabu za Qur an..Tafuta habari Za Kisisina Wa Rubbama Myahudi huyu ambae Allikua mwanaadam was kwanza kufundishwa Uchawi na Kupewa kitabu kilichokua na mambo yote na siri zote za Ulimwengu huu.ana kissa chake maarufu hata Mtume Saw alisadikisha habari zake.
Huyu jamaa elimu ya kitabu aliyopewa alikuwa na uwezo wakuwaona Malaika wrote mbinguni na nyendo zao zote.alijua matumizi ya kila kitu katika ulimwengu huu na alikukua na uwezo wa kwenda kwa speed ya kasi zaidi kuliko malaika..pamoja na kuwa uwezo huu na nguvu hizo za ajabu alizopewa ilikua ni Mtihani kwake.
Kutokana na nguvu na ufahamu wa hali juu aliokua nao Kisisina Wayahudi wengi walikwenda kwake kujifunza na kutaka kupata ufafanuzi wa mambo mbalimbali ya kudunia na mbinguni.
Kisa chake na jibril kinaanzia pale Ambapo Allah sw alimtuma Malaika Jibril kwenda kwa Kisisina kukichukua kitabu kile.Malaika Jibril kwa uwezo wake Allah alijibadili na kua Mwanadam wa kawaida na Alipofika nyumbani kwa Kisisina Alimkuta Yupo Katika sebule na mile kitabu...
Kwa Haraka Jibril Akamuuliza Kisisina Naomba Uniambie Jibril yupo wapi?
Kisisina Akamjibu Kabla ya Kwenda kwenye Kitabu chake..Alimjibu hivi "Kama sio Wewe ni Mimi ila kwa Uhakika zaidi Ngoja nikakutazamie kwenye Kitabu".
M/mungu akamsahaulisha na Akaingia chumbani wakati kitabu kilikua palepale sebuleni...
Bas Jibril akakichukua "KITABU" nakutoka nje kisha Kuzikunjua mbawa zake zote Miasita na kuruka kwa speed take Kali kama mwanga kuelekea mbinguni.
Kitedo kile cha kuruka kilimstua Kisisina na kumbukumbu zake zikarudi na alirudi sebuleni kukiangalia "KITABU" hakukiona.alipotoka nje na akamuona Jibril anaingia katika wingu la kwanza ...
Palepale akaruka Kumfuata sekunde chache akawa tayari amemkaribia Jibril.Allah sw akamuelekeza achane kurasa moja ili Kumhadaa kisisina kua Jibril amekitupa kitabu.Na baada ya Kuichana kurasa hio Allah sw aliipa uzito wa ajabu na Kurasa ile ikampita kwa kasi na kushuka chini..Kisisina Akarudi kwa kasi kukifuata kitabu chake huku akijinasibisha kwa maneno kua kama asingekiachia kitabu mile angekiona cha mtema kuni..
Kurasa ile ilifika katika Ardhi ikipishana na Kisisina kwa nukta moja tu.
Kisisina akaiokota ile kurasa akidhani ni kitabu.lkn hakikua kitabu .ulikua ni ukurasa mmoja tu.
Kisisina baada ya kugundua kachezewa shere aliruka tena .lakini akakuta mbingu zimeishajifunga na akakosa njia za kupenya..akawa ameshindwa akarudi nyumbani kwake hali ya kuwa ni mnyonge..Na kwa Taarifa yako tu Kurasa ile ndio iiliyobeba iliobeba majina 99 ya miti na matumizi yake ambayo ndio tunayotamba nayo kwa mambo Mbalimbali katika Dunia hii.
hiki kisa huwa nakipata pata kaka
 
kwanza lazima uniambie wewe sayansi unaitafsiri vipi..?

kwa sababu huwenda tafsiri yangu na yako zikawatofauti mkuu.

mfano maelezo ya mtume kutuambiajuu ya uumbwaji wa mtoto katika tumbo hiyo ni sayansi.

maelezo ya Mtume kutuambia ya kuwa mwezi unaakisi mwanga na unamove hiyo ni sayansi ambayo ilikuwepo kabla ya kina isaack newtkn na kina albert einsten..

maelezo ya mtume kwamba alienda mbinguni na mnyama mweye spidi kali sana na. akaona mambo ya future kam vile waawake kuwa motoni na baadhi ya watenda madhambi wakiadhibiwa mfano wala riba n. k pia nayo ni sayansi ambayo katuelezea mtume kabla ya hawa akina einsten..

sasa wewe unaitafsiri vipi sayansi kwauono wako mkuu
Mambo ya mitume mi siyajui kabisa anyway i am a christian !

Ila huwezi kuta nachanganya mambo ya dini na sayansi ! Licha ya ufahamu mkubwa wa mambo ya kisayansi niliyo nayo

Sayansi itabaki kuwa sayansi na dini itabaki kuwa dini !

Fingers closed
 
Bro safuher..Nafahau unavyosisimka na habari za Ajabu za Qur an..Tafuta habari Za Kisisina Wa Rubbama Myahudi huyu ambae Allikua mwanaadam was kwanza kufundishwa Uchawi na Kupewa kitabu kilichokua na mambo yote na siri zote za Ulimwengu huu.ana kissa chake maarufu hata Mtume Saw alisadikisha habari zake.
Huyu jamaa elimu ya kitabu aliyopewa alikuwa na uwezo wakuwaona Malaika wrote mbinguni na nyendo zao zote.alijua matumizi ya kila kitu katika ulimwengu huu na alikukua na uwezo wa kwenda kwa speed ya kasi zaidi kuliko malaika..pamoja na kuwa uwezo huu na nguvu hizo za ajabu alizopewa ilikua ni Mtihani kwake.
Kutokana na nguvu na ufahamu wa hali juu aliokua nao Kisisina Wayahudi wengi walikwenda kwake kujifunza na kutaka kupata ufafanuzi wa mambo mbalimbali ya kudunia na mbinguni.
Kisa chake na jibril kinaanzia pale Ambapo Allah sw alimtuma Malaika Jibril kwenda kwa Kisisina kukichukua kitabu kile.Malaika Jibril kwa uwezo wake Allah alijibadili na kua Mwanadam wa kawaida na Alipofika nyumbani kwa Kisisina Alimkuta Yupo Katika sebule na mile kitabu...
Kwa Haraka Jibril Akamuuliza Kisisina Naomba Uniambie Jibril yupo wapi?
Kisisina Akamjibu Kabla ya Kwenda kwenye Kitabu chake..Alimjibu hivi "Kama sio Wewe ni Mimi ila kwa Uhakika zaidi Ngoja nikakutazamie kwenye Kitabu".
M/mungu akamsahaulisha na Akaingia chumbani wakati kitabu kilikua palepale sebuleni...
Bas Jibril akakichukua "KITABU" nakutoka nje kisha Kuzikunjua mbawa zake zote Miasita na kuruka kwa speed take Kali kama mwanga kuelekea mbinguni.
Kitedo kile cha kuruka kilimstua Kisisina na kumbukumbu zake zikarudi na alirudi sebuleni kukiangalia "KITABU" hakukiona.alipotoka nje na akamuona Jibril anaingia katika wingu la kwanza ...
Palepale akaruka Kumfuata sekunde chache akawa tayari amemkaribia Jibril.Allah sw akamuelekeza achane kurasa moja ili Kumhadaa kisisina kua Jibril amekitupa kitabu.Na baada ya Kuichana kurasa hio Allah sw aliipa uzito wa ajabu na Kurasa ile ikampita kwa kasi na kushuka chini..Kisisina Akarudi kwa kasi kukifuata kitabu chake huku akijinasibisha kwa maneno kua kama asingekiachia kitabu mile angekiona cha mtema kuni..
Kurasa ile ilifika katika Ardhi ikipishana na Kisisina kwa nukta moja tu.
Kisisina akaiokota ile kurasa akidhani ni kitabu.lkn hakikua kitabu .ulikua ni ukurasa mmoja tu.
Kisisina baada ya kugundua kachezewa shere aliruka tena .lakini akakuta mbingu zimeishajifunga na akakosa njia za kupenya..akawa ameshindwa akarudi nyumbani kwake hali ya kuwa ni mnyonge..Na kwa Taarifa yako tu Kurasa ile ndio iiliyobeba iliobeba majina 99 ya miti na matumizi yake ambayo ndio tunayotamba nayo kwa mambo Mbalimbali katika Dunia hii.
Acheni kufungana kamba nyie.. mnakaa huko madrassa mnadanganyana haya? Malaika anatembea speed kiasi gani kwa saa? Huyo aliyemfunza huo uchawi ni nani?
 
Mambo ya mitume mi siyajui kabisa anyway i am a christian !

Ila huwezi kuta nachanganya mambo ya dini na sayansi ! Licha ya ufahamu mkubwa wa mambo ya kisayansi niliyo nayo

Sayansi itabaki kuwa sayansi na dini itabaki kuwa dini !

Fingers closed
licha ya maelezo mafupi mazuri uliyotoa tena yenye akili kubwa lakini bado hukujibu kile nilichouliza katika comment ambayo umeiqoute.

huwezi kusema huchanganyi sayansi na dini wakati huo hujatoa maelezo ya kutosha ya maana ya sayansi unayoikusudia.


lakini pia kutokuchanganya kwako sayansi na dini sio kigezo wala katazo kwa wengine kwamba wasichanganye pale hali inaporuhusu .
 
Acheni kufungana kamba nyie.. mnakaa huko madrassa mnadanganyana haya? Malaika anatembea speed kiasi gani kwa saa? Huyo aliyemfunza huo uchawi ni nani?
kama huamini kaa kimya.

maswaliyako yote yana majibu.

ila tatizo hata ukijibiwa utaamini ?

au je ndo majibu unayoyataka wewe kuyaSikia..?

thats all...
 
licha ya maelezo mafupi mazuri uliyotoa tena yenye akili kubwa lakini bado hukujibu kile nilichouliza katika comment ambayo umeiqoute.

huwezi kusema huchanganyi sayansi na dini wakati huo hujatoa maelezo ya kutosha ya maana ya sayansi unayoikusudia.


lakini pia kutokuchanganya kwako sayansi na dini sio kigezo wala katazo kwa wengine kwamba wasichanganye pale hali inaporuhusu .
Sawa
 
Shida yako ndio hio bb Swalehe..wewe ni mbumbu wa kutupa linapokuja swala la kuoanisha kati ya dini na sayansi.na hujui kabisa kua Sayansi ni mifumo maalumu ya kielimu ambaya ipo kwa ajili ya kumsaidia mwanaadam kuitambua Nguvu yenye Nguvu inayotenda na kuuendesha ulimwengu huu bila kua na Usaidizi na Kitu chochote.bila kumung'unya maneno nguvu hio ni Mwenyezimungu.huwezi kuishi bila Dini..
Okay
 
Back
Top Bottom