Time 100 The Most Influential: Paul Kagame

...Kagame hakuanzisha genocide kama mnavyotaka kuamini,ila kama mnataka kuandika upya kilichotokea 1994 ni ruksa,jasusi matatizo ya Congo sio kagame na ukumbuke nchi tano na factions nyingi sana zilipigana Congo ila naona lawama hapa ni kagame tuu,na kwa taarifa yako kina kagame wasingepigana Congo leo rwanda isingekuwepo au ingekuwa somalia nyingine tuu,kagame kaokoa mamilioni ya watu ila wengine mnataka tuamini yeye ndio chanzo cha matatizo,nafikiri mlikuwa mnataka kina kagame waendelee kuwa wakimbizi milele na dikteta mobutu kuendelea kuitawala Congo...kagame ndio waliomwondoa Mobutu ila bahati mbaya wakakosea step na wapuuzi kama Kabila,jungu pigeni tuu ila wanaume wako busy wanajenga nchi yao!
Sipingi wala sielewi kama kweli huyu jamaa anafanya kazi kujenga nchi yake; siju kwa vigezo vipi na sijawahi kuwa na ineterest kujua. Ila kila mtu anajua kuwa Rais Habyrimana na Rais wa burundi wakitokea kwenye usuluhushi Arusha ndege yao ilitunguliwa na kuwaua hao maRais. Kwenye huo utunguaji wa hiyo ndege Kagame alihusika directly. Baada ya hapo ndipo genocide ikaja. Jiulize: Kwa nini walihitaji kutungua ndege? Na kwa nini kila ukitaka ufanyike uchunguzi yeye anakuja juu? Huoni kwamba ingekuwa sio kutungua ile ndege genocide haingekuwepo?
 
Bongo hatujapitia vita mpaka kuendesha nchi kama yule mwembamba kama uzi....msitake maisha yale...mtashidwa hata kugongesha passport pale airport.
Mtashidwa hata kupata affidavit kwa kuwa secretary kashika file laki bila kumpa kitu hupati....utashidwa kumuona katibu mkuu pale madini.
Nchi ile ina watu 10M tu na all land is accupied..hawana natural resource hawana mbuga za wanyama...zaidi ya wale sokwe....Sie tuko 40M 3 x zaidi...na wajuaji balaa
wanategemea maonyesho genicide kupata baadhi ya mapato...most of their budget come form US and belgium.

Leo ukiwaaambia watanzania kila mwisho wa mwezi waache kazi zao kwa masaa sita kusafisha nchi...kila mtu na ufyagio....utampata mwanahalisi?uko wanafanya sasa.
Au ndio mpaka inviromental day tutangaze kwenye mail...na kuna watu bado wanasepa ?Nchi hiyo hakuna democrasia ndio maana unaona imefika
hapo ambapo mchunguzi(mwandishi) mmoja tu anatupa overview ya kutaka tuamini kuwa ni salama kabisa na ndege ya uchumi inapaa.....

Hii isitufumbe macho kuacha kuangalia upende wa pili wa shiling je wananchi wanaishije uko ndani kunakosifiwa....Ni viboko,kunyimwa huduma za kijamii,Matibabu,maji...uki sepa
mara mbili tu....na ni rahisi ku track hili kama vile kukamata walevi main gaite... tu ukikataa kufyagia.Ushaona mnafagia wakati kuna mwanajeshi anazunguka mitaani?
Bar zote hufunguliwa saa kumi na moja baaada ya kazi...other wise uuze amata(Maziwa)na beer itakuwa ni exception kwako.Sioni cha kumsifia huyu bwana...bado tanzania ni mahali salama kuishi kabisa..ndio maana hata wao wanataka kujiunga nasi..wanafikiri wanaweza kwepa rushwa kama wataingia?
 
Eti Rwanda safi! Nani kawadanyanya?? Ni choka mbaya tu..hofu imejaa nchi nzima!

sasa kwa nini Kagame hataki kuachia ngazi baada ya 15 ya utawala?

ana damu ya genocide bado mikononi mwake: hata Wahutu FDLR kule Kongo wanaogopa kurudi kwao!
 
Tutabaki huko huko ku-whine! wakati wenzatu wanasonga mbele. Mkuu we have to build the future. Yaliyopita si ndwele...hata tukilaumu sijui ukoloni..sijui vita..name them...we are still in darkness. Perhaps tunahitaji kupigana kwanza (God forbid) ndo labda wakina Rostam wanaweza kuelewa..

I agree with you on this.........

Ohh no..sisi tuna amani na umoja..Na mshikamano wa kitaifa..ambao warwanda hawana...

Hii inachanganya kidogo....na sisi sijui tutaendelea ku-whine mpaka lini na huu wimbo bandia......something drastic need to happen to our country rather than keeping on saying "amani, umoja na mshikamano" while dem guys are looting our resources
 
Sipingi wala sielewi kama kweli huyu jamaa anafanya kazi kujenga nchi yake; siju kwa vigezo vipi na sijawahi kuwa na ineterest kujua. Ila kila mtu anajua kuwa Rais Habyrimana na Rais wa burundi wakitokea kwenye usuluhushi Arusha ndege yao ilitunguliwa na kuwaua hao maRais. Kwenye huo utunguaji wa hiyo ndege Kagame alihusika directly. Baada ya hapo ndipo genocide ikaja. Jiulize: Kwa nini walihitaji kutungua ndege? Na kwa nini kila ukitaka ufanyike uchunguzi yeye anakuja juu? Huoni kwamba ingekuwa sio kutungua ile ndege genocide haingekuwepo?

IO

Kwa kweli sikupenda Kagame alivyoingia madarakani.......but one thing though...hata hao viongozi uliowataja nao waliua sana tu na ndio maana walikuwepo kule Arusha.......they were both DEMONS....sasa devil mmoja kamuua devil mwenzie...na present Devil anafanya kazi nzuri kwa wananchi wake (trust me)......kumbukumbuku za genocide si rahisi kuzifuta kabisa......uki-check historia ya hawa watu wahutu na watutsi huu ugomvi umetoka mbali sana........in the future itabidi wagawane tu ardhi ili kila kabila lijitawalie kipande chake....kama mambo yanavyoendelea huko Sudan......najua Kagame anajitahidi kufanya kazi nzuri kutokana na Guiltness aliyonayo

Come back to our mafisadi....hata AIBU hawana wanaenda kuficha pesa na utajir wa nchi yetu huko visiwani....damn!
 
- Kama kawaida ya wazungu wakishapata rais compromise katika Africa,kuna wakati walisema haya haya juu ya Mobutu, and then Museveni, sababu zinafhamika kwamba katika marais hawa wawili US ilikuwa inachukua madini almost bure kutoka Zaire, kutokana na contributionn za hao marais wawili,

- Sasa mchezo umegeuka, Kagame ndiye mwenye upper hand na madini ya huko Zaire, haooo! tayari wameanza haiwezekani Kagame akawa a good president kwa US, huku Europe wanamtafuta kwenye court ya human rights kule Paris na The Hague, sasa Kagame anawapa US madini bure kutoka Zaire na ameamua kukata ties zote na France, na hata kujitoa kwenye Francophone Community ndio maana wanampigia chapuo, wamesahau kwamba hana tofauti yoyote na Saddam ambaye kama wanasema ukweli kuhusu Kagame basi walimuonea bila sababu na hata kumnyonga!

- Haiwezekani rais mwenye damu za wananchi Millioni moja akawa a model, hawa Wamarekani waache uongo na unafiki, halafu watuambie Hitler alikuwa monster, hivi ni lini umewahi kusikia Ujerumani kulikuwa na rushwa under Hitler? Uongo mwingine bwana sometimes unachosha sana, wakuu hapa ninapoishi nina majirani familia moja ya kikimbizi toka Rwanda, infact nyumba yao kule Rwanda, imeporwa na Kagame binafsi anaitumia kama nyumba yake ninaongea nao mara kwa mara baba yao yuko jela Arusha, baada ya Kagame kupora nyumba yao akamchongea huyu mzee watu kwa makusudi kwa wazungu kule Arusha, akashikiwa Nairobi mpaka leo anaoza jela kesi hakuna kisa Kagame hataki arudi Rwanda,

I mean kuyasikia kwa mbali ni one thing na kuyaona kwa karibu as I do ni another story, hata siku moja Kagame hawezi kuwa saafi, mikono yake ni michafu mno, ni kama kusema mwizi asifungwe kwa sababu hela alizoiba alikwua anazitoa kwa masikini, that is pathetic! Kagame AKAMTWE NA apelekwe The Haque haraka sana kama walivyomfanya yule mwanamama msaidizi wake!

Respect.

FMES!
 
- Kama kawaida ya wazungu wakishapata rais compromise katika Africa,kuna wakati walisema haya haya juu ya Mobutu, and then Museveni, sababu zinafhamika kwamba katika marais hawa wawili US ilikuwa inachukua madini almost bure kutoka Zaire, kutokana na contributionn za hao marais wawili,

- Sasa mchezo umegeuka, Kagame ndiye mwenye upper hand na madini ya huko Zaire, haooo! tayari wameanza haiwezekani Kagame akawa a good president kwa US, huku Europe wanamtafuta kwenye court ya human rights kule Paris na The Hague, sasa Kagame anawapa US madini bure kutoka Zaire na ameamua kukata ties zote na France, na hata kujitoa kwenye Francophone Community ndio maana wanampigia chapuo, wamesahau kwamba hana tofauti yoyote na Saddam ambaye kama wanasema ukweli kuhusu Kagame basi walimuonea bila sababu na hata kumnyonga!

- Haiwezekani rais mwenye damu za wananchi Millioni moja akawa a model, hawa Wamarekani waache uongo na unafiki, halafu watuambie Hitler alikuwa monster, hivi ni lini umewahi kusikia Ujerumani kulikuwa na rushwa under Hitler? Uongo mwingine bwana sometimes unachosha sana, wakuu hapa ninapoishi nina majirani familia moja ya kikimbizi toka Rwanda, infact nyumba yao kule Rwanda, imeporwa na Kagame binafsi anaitumia kama nyumba yake ninaongea nao mara kwa mara baba yao yuko jela Arusha, baada ya Kagame kupora nyumba yao akamchongea huyu mzee watu kwa makusudi kwa wazungu kule Arusha, akashikiwa Nairobi mpaka leo anaoza jela kesi hakuna kisa Kagame hataki arudi Rwanda,

I mean kuyasikia kwa mbali ni one thing na kuyaona kwa karibu as I do ni another story, hata siku moja Kagame hawezi kuwa saafi, mikono yake ni michafu mno, ni kama kusema mwizi asifungwe kwa sababu hela alizoiba alikwua anazitoa kwa masikini, that is pathetic! Kagame AKAMTWE NA apelekwe The Haque haraka sana kama walivyomfanya yule mwanamama msaidizi wake!

Respect.

FMES!


Pointi tupu!
 
Sipingi wala sielewi kama kweli huyu jamaa anafanya kazi kujenga nchi yake; siju kwa vigezo vipi na sijawahi kuwa na ineterest kujua. Ila kila mtu anajua kuwa Rais Habyrimana na Rais wa burundi wakitokea kwenye usuluhushi Arusha ndege yao ilitunguliwa na kuwaua hao maRais. Kwenye huo utunguaji wa hiyo ndege Kagame alihusika directly. Baada ya hapo ndipo genocide ikaja. Jiulize: Kwa nini walihitaji kutungua ndege? Na kwa nini kila ukitaka ufanyike uchunguzi yeye anakuja juu? Huoni kwamba ingekuwa sio kutungua ile ndege genocide haingekuwepo?

......kawadanganye wapuuzi wenzako wasioelewa,yaliyotokea Rwanda kila mtu anajua na Kagame hakuanzisha genocide,huyo Habyrarimana ndio chanzo cha mauaji yote yaliyotokea Rwanda,ndege kuanguka au kutokuanguka genocide ingetokea tuu na ilishapangwa na ndugu zako interahamwe ambao walifanikiwa kuua millions,unajiita interested observer kumbe BS tuu!
 
Eti Rwanda safi! Nani kawadanyanya?? Ni choka mbaya tu..hofu imejaa nchi nzima!

sasa kwa nini Kagame hataki kuachia ngazi baada ya 15 ya utawala?

ana damu ya genocide bado mikononi mwake: hata Wahutu FDLR kule Kongo wanaogopa kurudi kwao!

.....huna idea FDRL ni nini,na kwa nini uskikae kimya tuu maana hizi BS ulizoandika ni kuonyesha jinsi ulivyo mtupu na huelewi kitu!
 
American press is bias sometime, this guy is criminal. He is rensponsible for the death of hundreds on Congolise.
American they once love Mobutu, so nothing special on this peace. However, Muungwana ni msiba. The guy fail leadership test.
 
- Kama kawaida ya wazungu wakishapata rais compromise katika Africa,kuna wakati walisema haya haya juu ya Mobutu, and then Museveni, sababu zinafhamika kwamba katika marais hawa wawili US ilikuwa inachukua madini almost bure kutoka Zaire, kutokana na contributionn za hao marais wawili,

- Sasa mchezo umegeuka, Kagame ndiye mwenye upper hand na madini ya huko Zaire, haooo! tayari wameanza haiwezekani Kagame akawa a good president kwa US, huku Europe wanamtafuta kwenye court ya human rights kule Paris na The Hague, sasa Kagame anawapa US madini bure kutoka Zaire na ameamua kukata ties zote na France, na hata kujitoa kwenye Francophone Community ndio maana wanampigia chapuo, wamesahau kwamba hana tofauti yoyote na Saddam ambaye kama wanasema ukweli kuhusu Kagame basi walimuonea bila sababu na hata kumnyonga!

- Haiwezekani rais mwenye damu za wananchi Millioni moja akawa a model, hawa Wamarekani waache uongo na unafiki, halafu watuambie Hitler alikuwa monster, hivi ni lini umewahi kusikia Ujerumani kulikuwa na rushwa under Hitler? Uongo mwingine bwana sometimes unachosha sana, wakuu hapa ninapoishi nina majirani familia moja ya kikimbizi toka Rwanda, infact nyumba yao kule Rwanda, imeporwa na Kagame binafsi anaitumia kama nyumba yake ninaongea nao mara kwa mara baba yao yuko jela Arusha, baada ya Kagame kupora nyumba yao akamchongea huyu mzee watu kwa makusudi kwa wazungu kule Arusha, akashikiwa Nairobi mpaka leo anaoza jela kesi hakuna kisa Kagame hataki arudi Rwanda,

I mean kuyasikia kwa mbali ni one thing na kuyaona kwa karibu as I do ni another story, hata siku moja Kagame hawezi kuwa saafi, mikono yake ni michafu mno, ni kama kusema mwizi asifungwe kwa sababu hela alizoiba alikwua anazitoa kwa masikini, that is pathetic! Kagame AKAMTWE NA apelekwe The Haque haraka sana kama walivyomfanya yule mwanamama msaidizi wake!

Respect.

FMES!

....hakuna ukweli wowote ulichoandika na The Hague haimtafuti Kagame na hana mashtaka yeyote ya kujibu na huyo mama msaidizi wake wafaransa wamejikuta hawana kesi ya kumweka ndani na sasa kisharudi Rwanda,nyie watu acheni kuwa bias na hao millions waliokufa walaumu interahamwe na Congolese wasiojua wanafanya nini,na FYI Rwanda na Congo wamerudisha balozi zao tayari,Congolese bila kagame still leo wangekuwa chini ya dikteta Mobutu
 
Koba,

Vipi mzee? unamtetea sana Kagame: vipi? Watu wanasema ana damu ya watu waliouwawa mikononi mwake!

Hata afanye mazuri kiasi gani: kuna damu ya watu inamlilia!

Angepelekwa The Hague au hata hapo ICTR Arusha ili ajitetee..ukweli ujulikane!
 
......kawadanganye wapuuzi wenzako wasioelewa,yaliyotokea Rwanda kila mtu anajua na Kagame hakuanzisha genocide,huyo Habyrarimana ndio chanzo cha mauaji yote yaliyotokea Rwanda,ndege kuanguka au kutokuanguka genocide ingetokea tuu na ilishapangwa na ndugu zako interahamwe ambao walifanikiwa kuua millions,unajiita interested observer kumbe BS tuu!

Labda you need to read this article from the Guardian. The guy is a fraud and criminal, one of the reason why i will never support EAC is this guy. I don't trust him and every time when i look at his eyes i read six words K-I-L-L-E-R. Kagame and Museveni are the axes of evil

Rwandan president Kagame threatens French nationals with arrest


Tit-for-tat promised after German police arrest aide on warrant from France
460kagame.jpg
Paul Kagame. Photograph: Fabrice Coffrini/AFP

The Rwandan president today threatened to arrest French nationals if France proceeds with the indictment of one of his aides.
President Paul Kagame's chief of protocol was arrested on Sunday in Germany on a warrant from France, where she is wanted in connection with the attack on the plane of a former Rwandan president that touched off Rwanda's 1994 genocide.
Kagame told reporters in Geneva: "[If] you indict our people, we indict your people."

Rwanda has already ordered the German ambassador to leave the country and recalled its envoy in Berlin after the arrest of Rose Kabuye at Frankfurt airport.
Kabuye, Rwanda's director of state protocol, was arrested by German police acting on a 2006 international warrant issued for her and eight other Rwandans for alleged complicity in the 1994 aircraft attack.
The Rwandan government said it was not severing diplomatic ties with Germany and that full relations would be restored once the controversy over Kabuye's arrest is resolved.

Kagame visited Kabuye yesterday in Germany to reassure her of his support ahead of her possible trial in France. France wants to question Kabuye over the plane crash that killed then-president Juvenal Habyarimana.

His plane was hit by a missile and his death was the prelude to a rampage in which Hutu extremists slaughtered 800,000 Tutsis and some moderate Hutus. Kagame was the leader of the Rwandan Patriotic Front that defeated the government's Hutu militias to end the genocide.
Kabuye was in Frankfurt to prepare for a visit by Kagame who is currently on a tour of Europe. The president said the arrest was unacceptable and would have implications for his country's relationship with France and Germany.

Germany took a leading role in helping Rwanda rebuild after the genocide. Ties between France and Rwanda have been strained since the warrants were issued and hundreds of people, including Kabuye's husband, protested outside the German embassy in Kigali yesterday.
A spokesman for the foreign ministry in Berlin said German officials had been obliged to arrest Kabuye. Her lawyer said she was willing to go before a French judge.

"Rwanda or Rose should be able to fight for their right, and we challenge the case as whether in Germany or in France or anywhere else," Kagame told reporters after visiting Kabuye in prison.
Rwanda broke off diplomatic ties with Paris in November 2006 because of the warrants. Kigali, for its part, has accused French officials of involvement in the genocide, a charge France denies. Although Rwanda was a Belgian colony until independence in 1962, France kept close links with the government there from 1975 to 1994, giving financial and military support.

The Rwandan government said Kabuye was travelling on official government business when she was arrested. Rwanda's information ministry said Berlin had warned Kabuye against travelling to Germany because of the arrest warrant but that she had travelled there and to other European countries earlier in the year without incident.
The timing may also have been influenced by the upheaval in neighbouring Congo . Rwanda is under pressure over its ties to the Tutsi rebel leader, Laurent Nkunda, who has been accused of war crimes as he seized swaths of eastern Congo in recent weeks. France has been particularly vocal in its criticism and in proposing European military
 
....hakuna ukweli wowote ulichoandika na The Hague haimtafuti Kagame na hana mashtaka yeyote ya kujibu na huyo mama msaidizi wake wafaransa wamejikuta hawana kesi ya kumweka ndani na sasa kisharudi Rwanda,nyie watu acheni kuwa bias na hao millions waliokufa walaumu interahamwe na Congolese wasiojua wanafanya nini,na FYI Rwanda na Congo wamerudisha balozi zao tayari,Congolese bila kagame still leo wangekuwa chini ya dikteta Mobutu

Rwanda's President Paul Kagame has said Kigali's relationship with France might not be at its best but has improved under the current administration.


While addressing a genocide commemoration, press briefing with selected members of the foreign media, on the eve of the genocide commemoration day, Mr Kagame said: "The relationship is improving. It is much better than it used to be before the current administration came to power."

"There is a very huge difference between the administration under (Jacques) Chirac and the administration under Nicholas Sarkozy, but there is big room … we are working to have improvements."

However, when asked how government is going to handle the Mucyo Commission Report that documented and implicated a cross section of the French leadership in the events that led to the genocide he said: "It is never to late to take action."


"We want to maximise the outcome. We are still in the phase of choosing the appropriate action so that we maximise on the impact of the outcome. It is not that we have ruled out anything. Sometimes it takes time to make and bring out clarity on a number of issues," he added.

France's role in the 1994 genocide against the Tutsi has been one of the contentious issues that have been deliberated in the events that were lined up to mark the 15th anniversary of the genocide.

The month of April 1994 saw the massacre of the biggest number of Tutsi in just 100 days.


The number of those that perished has been official document as 1.2 million including moderate Hutu who never supported the mass murder.

The Mucyo Commission which was named after its president Jean de Dieu Mucyo, a genocide survivor, was mandated to investigate the French involvement in the massacres.


The report publicly accused the French of deliberately and systematically planning and training the ‘Interahamwe', Hutu extremist militias to annihilate Tutsis out of Rwanda.


The report named 33 present and former French politicians and military officers as conspirators, among them the late President Francois Mitterrand and his son and other well-known figures like former Foreign Minister Alain Juppe and former Prime Minister Dominique De Villepin.

France countered back by accusing Mr Kagame's commanders including himself of carrying out the shooting down of the aircraft that was carrying two presidents of Rwanda and Burundi.

The rupture came after French legal investigators indicted nine members of Rwanda's government including one of the most prominent ones, Rose Kabuye and implicated Mr Kagame for alleged complicity in the political assassinations.


Ms Kabuye is currently tending to judicial proceeding in France after, she was arrested last year in Germany, years after a French judge, Louis Bruguiere, issued indictment against the nine Rwandan officials.

Government in Kigali has since then cut off all diplomatic relations with Paris. Kigali has rejected the charges saying France is seeking to cover the country's involvement in aiding, arming, and assisting the Interahamwe.


The country's emphasis to use English more as an official language than French has been interpreted by many as a deliberate attempt by the Rwandan leadership to undermine its French ties something Mr Kagame dispelled last week.


"We have not dropped French as such. Due to of various reasons, we have joined the East African Community which has predominately English speaking states," Mr Kagame said. "We are joining the Commonwealth. We are not saying we are dropping off the Francophone bloc.

Another argument presented by Andrew Wallis, a journalist in Kigali, was that Paris wants to cleanse its own guilt by casting the Rwanda Patriotic Front (RPF) rebels who halted the massacre as the culprits behind the genocide.


Mr Kagame was then the overall commander of the RPF.

In 1998, Jacques Chirac the then French president, implicitly defended France's 1994 military intervention in Rwanda as purely humanitarian instead of an interference into the country's internal affairs.


Current French President Mr Sarkozy has inherited the bitter recriminations of the former French president with the leadership in Rwanda. He also inherited France's role in the 1994 genocide which can't be separated from the commemoration events.


Asked what he currently expects from France and its current leadership Mr Kagame said: "We expect a better understanding of events of history, all of which has been affecting our relationship."

"Can we have the truth and the facts and have things put the way they should be and we have a convergence on these between France and Rwanda?

We need to handle this as reasonable people and move forward without any prejudice," he added.

Kagame decided to become American pupet, and that is nothing new in the contintent which is full of betrayal and hypocrite. We can call him any name that we wish ( God's Angle, The Helper, African Hero, Mr.President and etc) but, that doesn't change the history that he once killed hudreds of people for his own political reason. The question is if he real love the country and demokrasia then why he keep funding guerilla fighters in Congo? 40 people from his cabinet are indicted by spanish judge this was just a year ago.

Why he does not want the international investigation against people who involved kwenye kuangusha ndege? Na haya ndio majibu yake akiulizwa kuhusu uchunguzi "We cannot turn the clock back nor can we undo the harm caused, but we have the power to determine the future and to ensure that what happened never happens again"

I don't know about you guys, but i dont want this guy even closer to my citizen. He is what he is a "FRAUD"
 
Back
Top Bottom