Jaguar
JF-Expert Member
- Mar 6, 2011
- 3,440
- 1,029
Mida ya jioni jioni,watoto wawili,Tim naTom walikuwa wakicheza nje ya nyumba yao.Katika mchezo huo,Tim alichafuka usoni na Tom hakuchafuka.Mama yao aliwaita ndani ili wakalale.Kabla ya kwenda kulala,Tom alienda bombani kuosha uso wake lakini Tim hakwenda kunawa,alipanda kitandani na kuchapa usingizi.elezea,ni kwa nini Tom aliyekuwa msafi alienda kunawa uso na Tim aliyekuwa mchafu hakwenda kunawa?