Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,190
- 128,243
hili swala walalamikie wabunge ndiyooo wa CCM waliopitisha sheria ya kodi kwenye miamala.Tigo kwa kweli mnakera sana, nimemtumia mtu laki 2 leo, mimi nimekatwa elfu moja na yeye ili atoe laki 2 kamili imebidi nimuongezee elfu 4500....so nimetuma laki 2 04500....ukijumlisha na ile elfu 1 unapata 5500 ambayo ndyo Total ya makato yenu. Hapana hii si haki mnatuumiza sana wananchi
Kwa hiyo kama biashara huria ndiyo mtuibie?? Kingine usinipangie cha kuongea, nimetoa kero yangu.kama unaona ni gali kapange foleni.hii ni biashara huria ndg.kuna watu wapo kw ajili ya kufanikisha hii huduma unafikiri watalipwa je?
Kipindi mnaambiwa VAT kwenye miamala ya pesa italipwa na mteja mlileta poroja za TRA eti makampuni ndo yatalipa maana hapo kabla yalikuwa hayalipi baada ya ukweli kuwa wazi mnaanza kulalamika nn sasa? Ndo wale mkiambiwa Mtukufu sana anakosea mnaleta kibwagizo cha hapa kazi tu. Tulia hapo hapo maana tatizo siyo tigo bali tatizo ni CCM.Kwa hiyo kama biashara huria ndiyo mtuibie?? Kingine usinipangie cha kuongea, nimetoa kero yangu.
Sio kila kitu lazima uingize siasa.Kipindi mnaambiwa VAT kwenye miamala ya pesa italipwa na mteja mlileta poroja za TRA eti makampuni ndo yatalipa maana hapo kabla yalikuwa hayalipi baada ya ukweli kuwa wazi mnaanza kulalamika nn sasa? Ndo wale mkiambiwa Mtukufu sana anakosea mnaleta kibwagizo cha hapa kazi tu. Tulia hapo hapo maana tatizo siyo tigo bali tatizo ni CCM.
Kipindi mnaambiwa VAT kwenye miamala ya pesa italipwa na mteja mlileta poroja za TRA eti makampuni ndo yatalipa maana hapo kabla yalikuwa hayalipi baada ya ukweli kuwa wazi mnaanza kulalamika nn sasa? Ndo wale mkiambiwa Mtukufu sana anakosea mnaleta kibwagizo cha hapa kazi tu. Tulia hapo hapo maana tatizo siyo tigo bali tatizo ni CCM.
Ninavyochukia foleni za benki, kwa kweli bado naona gharama za kutuma kwa simu ni nafuu kuliko.bora kuunga foleni na kusave pesa ...... wanatukomoa
Wanampigia makofi mheshimiwa naibuwabunge Wa ccm wako wapi
hilo neno sema nao bank wananiuzi saving charge zao wanafyeka tu hata kama hujaichukua ukiweka elfu kumi kuja kuichukua usishangae 5000Turudi tu benki ukitoa 300,000 unakatwa 800
afadhali yakoNinavyochukia foleni za benki, kwa kweli bado naona gharama za kutuma kwa simu ni nafuu kuliko.
Tatzo lenu masikiliza sana kina zamaradi bajeti amsikilizi matokeo yake mnashangilia vtu msivyo vijua mkija hapa maanza kulia liaTigo kwa kweli mnakera sana, nimemtumia mtu laki 2 leo, mimi nimekatwa elfu moja na yeye ili atoe laki 2 kamili imebidi nimuongezee elfu 4500....so nimetuma laki 2 04500....ukijumlisha na ile elfu 1 unapata 5500 ambayo ndyo Total ya makato yenu. Hapana hii si haki mnatuumiza sana wananchi
Hapo ata wewe mwenyewe umekosea umeliwa(umekatwa zaidi ya hapo,, umeliwa kutuma--1000'uliyemtumia naye amekatwa 5000|=5000+1000=6000.Tigo kwa kweli mnakera sana, nimemtumia mtu laki 2 leo, mimi nimekatwa elfu moja na yeye ili atoe laki 2 kamili imebidi nimuongezee elfu 4500....so nimetuma laki 2 04500....ukijumlisha na ile elfu 1 unapata 5500 ambayo ndyo Total ya makato yenu. Hapana hii si haki mnatuumiza sana wananchi
Kwa hiyo wewe huoni ni siasa ndo imepelekea hili?Sio kila kitu lazima uingize siasa.