Mphamvu JF-Expert Member Joined Jan 28, 2011 Posts 10,702 Reaction score 3,350 Nov 25, 2011 #1 Nimetembelea ukurasa wao wa facebook leo, nikakutana na fomu ya kujaza malalamiko... Nimejaza kilichokuwa kikinisibu, ndo nangoja muujiza wao! Bofya hapa
Nimetembelea ukurasa wao wa facebook leo, nikakutana na fomu ya kujaza malalamiko... Nimejaza kilichokuwa kikinisibu, ndo nangoja muujiza wao! Bofya hapa
Mzee Platinum Member Joined Feb 2, 2011 Posts 13,620 Reaction score 5,867 Nov 25, 2011 #2 Eti wanatoa sms 3 na 2dk kwa wote watakaojaza form. Toka lini malalamiko yakalipiwa.
mikatabafeki JF-Expert Member Joined Dec 29, 2010 Posts 12,771 Reaction score 4,656 Nov 25, 2011 #3 uhuni tu.
Mphamvu JF-Expert Member Joined Jan 28, 2011 Posts 10,702 Reaction score 3,350 Nov 25, 2011 Thread starter #4 Mzee said: Eti wanatoa sms 3 na 2dk kwa wote watakaojaza form. Toka lini malalamiko yakalipiwa. Click to expand... hako ka'zawadi kenyewe ni mpaka wafike ma-fans 25'000. Wasipofika imekula kwenu...
Mzee said: Eti wanatoa sms 3 na 2dk kwa wote watakaojaza form. Toka lini malalamiko yakalipiwa. Click to expand... hako ka'zawadi kenyewe ni mpaka wafike ma-fans 25'000. Wasipofika imekula kwenu...
Mphamvu JF-Expert Member Joined Jan 28, 2011 Posts 10,702 Reaction score 3,350 Nov 25, 2011 Thread starter #5 mikatabafeki said: uhuni tu. Click to expand... tena wa hali ya juu!