Ndugu yangu kaenda kwa ofisi yao wakamwambia lete simu yako tuangalie kwenye database yetu!! Oooh yes simu yako inakubaliana na 4g yetu(4g ya tigo magumashi inachagua simu).Tangu posta mpaka mwenge hakupata 4g alipofika mlimani city akapata.Alipotoka pale basi 4g ikapotea!!!!!!. .............................................................
Ni kweli hata Mimi juzi ndio nimejidanganya kwenda kubadilisha na kuweka 4g lakini Sim bado inasoma 3g nashanga sana na hata sijaona Mabadiliko kwakweli....jama Makampuni haya hembu wajitahidi kuboresha hizi huduma zao yani zinakwaza sana...inaleta hasira sana
Nasubiri halotel walete 4g waje kuwamaliza kabisa kibiashara hao wazinguaji, maana 3g ya halotel ni zaidi hata ya hio tigo 4g...
Asikwambie mtu internet ya halotel inateleza kama maji no doubt!
Kwanza 4G inatakiwa iandike LTE mkuu ndo maana nikawaambia hizo simu zenu yaweza kuwa ndo tatizo, mie iko vizuri sana voda ndo inazingua, coverage yake ni ndogo sana.
Kwanza 4G inatakiwa iandike LTE mkuu ndo maana nikawaambia hizo simu zenu yaweza kuwa ndo tatizo, mie iko vizuri sana voda ndo inazingua, coverage yake ni ndogo sana.
Ukweli iyoo abali ya 4G imekua niuongo kabssa pia kunavijana wao wanapita. Mtaani. Wanakwambia. Wanaunganisha. Uduma iyoo. Wanakutoza. Pesa. Kisha wanachuku raini yao nakujifanya. Wanakusajilia. Kisha wanakwambia baada ya muda utapigiwa cm nakuunganishwa. Apo. Imekula kwako