Tigo this is too much

Tigo this is too much

Cannabis

JF-Expert Member
Joined
Jan 20, 2014
Posts
14,195
Reaction score
40,626
Wakuu nadhani kuna wenzangu humu mnatumia zile night packs hasa kwa downloading ya vitu vikubwa kutokana na gharama za internet kuwa juu na bundles kuwa ndogo.

Katika pita pita zangu humu kwa kipindi kisichozidi wiki 2 niliona thread inasema tigo wamebadilisha kile kifurushi cha 15 GB usiku na kuweka 5 GB (nlihakiki kwa kujaribu kununa kifurushi hicho na kukuta GB zimepungua) .

Baadaye nikaona thread mpya inasema tigo wamesikia kilio cha wateja wao na kukirudhisha kweli jana nilijaribu kununa na kukuta kipo, leo nikafanikiwa kununua vocha na kujaribu kununua nikakuta kimepungua tena na kuwa 5GB.

Sasa huu ni ungwana kweli kwa nini msiwe na vifurushi vinavyoeleweka ?...kuanzia leo no more tigo ngoja niingie mtaani na mimi nikatafute mtandao nafuu:angry::angry::angry:
 
Kama ni usiku chukua line ya Halotel wana kifurushi cha usiku pack 1500Tsh / 18GB siku 2 mfululizo.

Kama ni mchana chukua airtel wana kifurushi cha 6000Tsh per month 4GB na 500min with unlimited sms

Pole sana.
 
Kama ni usiku chukua line ya Halotel wana kifurushi cha usiku pack 1500Tsh / 18GB siku 2 mfululizo.

Kama ni mchana chukua airtel wana kifurushi cha 6000Tsh per month 4GB na 500min with unlimited sms

Pole sana.

kimerudishwa sasa hivi ni siku 1 na sio 2 na pia wanalimit speed nahisi sababu kila siku nikijiunga sipati speed kubwa, napata around 300KBps (2.4mbps) wakati mchana napata hadi 10mbps. na pia disconection zipo za kutosha.

sometime naona 5gb za tigo zina afadhali kuliko hawa jamaa, hivyo do your math kama unapata speed kubwa halotel na kudownload zaidi ya 5gb then halotel ni nzuri ila kama hufikishi 5gb then tigo ni bora zaidi.
 
halotel wako vizur zaid speed nzur bei nafuu
 
kimerudishwa sasa hivi ni siku 1 na sio 2 na pia wanalimit speed nahisi sababu kila siku nikijiunga sipati speed kubwa, napata around 300KBps (2.4mbps) wakati mchana napata hadi 10mbps. na pia disconection zipo za kutosha.

sometime naona 5gb za tigo zina afadhali kuliko hawa jamaa, hivyo do your math kama unapata speed kubwa halotel na kudownload zaidi ya 5gb then halotel ni nzuri ila kama hufikishi 5gb then tigo ni bora zaidi.


Dah, haya makampuni haya sjui kwa nini hawana huduma stable ambazo ni rafiki kwa mtumiaji kwa kweli.

Huyu akiwa na kifurushi kizuri, speed inakuwa hovyo, akiwa na speed nzuri unakuta kifurushi hovyo.

Unakaa siku 2 unashangaa wamebadili badili tena kwa kukurupuka tu bila ya kuwapa taarifa wateja wao.

Hata sjui kwa nini inakuwa hivi kwa kweli. Laiti kama tungepata mbadala wa hili suala hili ingekuwa afadhali mkuu.

Vpn nazo sjui namna gani. Dah, bongo aiseee, acha tu mkuu.
 
Dah, haya makampuni haya sjui kwa nini hawana huduma stable ambazo ni rafiki kwa mtumiaji kwa kweli.

Huyu akiwa na kifurushi kizuri, speed inakuwa hovyo, akiwa na speed nzuri unakuta kifurushi hovyo.

Unakaa siku 2 unashangaa wamebadili badili tena kwa kukurupuka tu bila ya kuwapa taarifa wateja wao.

Hata sjui kwa nini inakuwa hivi kwa kweli. Laiti kama tungepata mbadala wa hili suala hili ingekuwa afadhali mkuu.

Vpn nazo sjui namna gani. Dah, bongo aiseee, acha tu mkuu.

Mbadala ni makampuni kuwekeza kwenye broadband. Kenya mobile data ni ghali sana lakini wana broadband ya kutosha.

Kuna jamaa yangu ananiambia now wana broadband as cheap as 15,000 ya huku kwetu kwa mwezi.
 
Mbadala ni makampuni kuwekeza kwenye broadband. Kenya mobile data ni ghali sana lakini wana broadband ya kutosha.

Kuna jamaa yangu ananiambia now wana broadband as cheap as 15,000 ya huku kwetu kwa mwezi.

Ooh okay, hiyo ni safi mkuu wafanye pia huku haya makampuni ya kwetu sjui yanasubiri nini maana ni shida kwa kweli.

By the way kila lenye mwanzo litapatikana mwisho wake tu acha tusubiri na tuone kiongozi.

Thanks a lot broh.
 
Back
Top Bottom