Yaan leo ndio nimechoka km hali ndio hii hii serikal sidhan km ipo kwamaslah ya wananch bali ipo kwa maslah yake yeye yenyewe
Majuzi juz apo nilimsikia spika akisema kuwa sijui wapandishe kodi ili vijqna wasipate mda wa juingia mitandaon bali wafanye kaz sikujali sn nikapuuza ile taarifa
Ebwana eeh kumbe jamaa alikuwa kazamilia leo bando langu la mwez limeisha sasanataka nijunge la mwez tena dah aisee vifurush vimepunguzwa airtel 8GB ilikuwa 10000 saiz 10000 ni 3GB na tigo ilikuwa 10000 ni 7GB lakn saiz 10000 ni 2.5 GB how !!!!
Kama ndio nchi inaendeshwa kwa mawazo ya watu wachache tumekwisha hawa wanaweza kuamka hata kesho na kusema hairuhusiw kutumia internet mpaka uwe na chet cha form four na ikawa ivyo hii ni moja ya ajenda kubana uhuru wa habar maana uko ndio umbea unapatikana na sio TBC wala ITV online ni vurugu lkn mtambue kuwa sisi wengine tunatumia kwa kazi.
Majuzi juz apo nilimsikia spika akisema kuwa sijui wapandishe kodi ili vijqna wasipate mda wa juingia mitandaon bali wafanye kaz sikujali sn nikapuuza ile taarifa
Ebwana eeh kumbe jamaa alikuwa kazamilia leo bando langu la mwez limeisha sasanataka nijunge la mwez tena dah aisee vifurush vimepunguzwa airtel 8GB ilikuwa 10000 saiz 10000 ni 3GB na tigo ilikuwa 10000 ni 7GB lakn saiz 10000 ni 2.5 GB how !!!!
Kama ndio nchi inaendeshwa kwa mawazo ya watu wachache tumekwisha hawa wanaweza kuamka hata kesho na kusema hairuhusiw kutumia internet mpaka uwe na chet cha form four na ikawa ivyo hii ni moja ya ajenda kubana uhuru wa habar maana uko ndio umbea unapatikana na sio TBC wala ITV online ni vurugu lkn mtambue kuwa sisi wengine tunatumia kwa kazi.