Tigo sasa hii ni sifa

Hawana maana hao kile kifurushi cha usiku kilikua gb 4 kwa 1500 ila wamepunguza mpaka gb 2
 
TTCL bandika bandua 1,000= 1gb 24 hrs
8gb 5,000= 7 days,
HALOTEL mega bando 1,000= 1gb 7days,,,,,10000 15gb 30 days.
Hii ya halotel unapataje menu yake. Nataka hiyo Tsh 10,000 15GB kwa siku 30(mwezi 1)
Nitashukuru sana ukinipe code za kuingiza
Nimejaribu
1. *148*55# na pia 2. 148*66# bila kupata hiyo menu.
 
Hawa Tigo na Voda wanaturingia utadhani wapo wenyewe vile...mfano Tigo kwenye bundle la WhatsApp la mwezi walianza kwa GB 3,wakashuka GB 2 et asahiv GB 1 yani ni upuuzi mtupu.....Rudi Voda Sasa na wenyewe bundle la WhatsApp LA mwezi ni GB 1 ila lina conditions et huwezi piga au pigiwa video call na voice call yani la kuchart tu kutuma na kupokea message, voice note na video bas......Aisee ndo maana nikatafuta laini ya Halotel asahiv
 
Hao ndio wanyonya damu Vodacom ,Leo 25/04/2019 Sasa hapo nafuu ipo wapi...nishaurini pa kuhamia wakuu
Screenshot_20190423-063957.jpeg
Screenshot_20190423-063913.jpeg
 
Nilitupaga line yao tangu walipoanza kubadilisha University Offer mara ya mwanzoni tu nilivyoona kwa 150 unapata Dk 100 tigo alafu na 500Mb kwa Wiki nikaachaga huo mtandao nikahamia halotel mpaka sasa nakula Maisha na Internet isiyo na mfano Tz
 
Mwanzoni ilikuwa buku 2 unapata 1.2gb na muda wa maongezi kibao na sms 1500 juu kwa muda wa siku 7 ila kuanzia juzi wamepandisha eti 1500 1gb na muda maongezi na sms kwa siku 3 tuu na 5000 3gb na muda wa maongezi na sms kibao..
Sasa kwa hali hii hamni pati tena
Mshaniudhi,na saa hivi kuna ofa yao ya sh.2000 1gb siku 7 unatumia watsap,instgm,twiter, na fb ila j.f ukiingia inagoma hili bando halisapoti roho inaniuma sana .
Punguza kupenda offer
 
Back
Top Bottom