Come27
JF-Expert Member
- Dec 1, 2012
- 7,500
- 7,104
Kwa muda gani?Zantel kifurushi cha "Bao" ni unlimited unapata 1Gb.Kasi yao iko juu sana,hotojuta @Tsh.1,000.
Kwa muda gani?Zantel kifurushi cha "Bao" ni unlimited unapata 1Gb.Kasi yao iko juu sana,hotojuta @Tsh.1,000.
menu ya halopesa *150*88# ok kisha nenda,Kamanda, hiyo ya alfu kumi 15GB naipataje?
trueHalotel ni wakata umeme. Wale ni baalaa sana
Ttcl hawafai kbsa,,,muda mwingi data haisomi,,,TTCL bandika bandua 1,000= 1gb 24 hrs
8gb 5,000= 7 days,
HALOTEL mega bando 1,000= 1gb 7days,,,,,10000 15gb 30 days.
Ttcl hawafai kbsa,,,muda mwingi data haisomi,,,
JARIBU AIRTEL HUTAJUTA MKUU
Huna kitu? Ndooorrrobo wewe siSina kitu mkubwa
Kamanda, hiyo ya alfu kumi 15GB naipataje?
TTCL bandika bandua 1,000= 1gb 24 hrs
8gb 5,000= 7 days,
HALOTEL mega bando 1,000= 1gb 7days,,,,,10000 15gb 30 days.
Mtandao wa hivyo kabisa unashika unashika mita nikiwa mjini unashika nikiwa home haushikiTTCL bandika bandua 1,000= 1gb 24 hrs
8gb 5,000= 7 days,
HALOTEL mega bando 1,000= 1gb 7days,,,,,10000 15gb 30 days.
Hii offer bado ipoMimi wamenipa ofa moja ndio nimewaelewa tangu nilipo jiunga na tigo mwaka 2009, kwa buku mbili napewa gb1, dk.200 (150 ni kupiga tigo -tigo, 50 kwenda mitandao yote), sms 2000 kwa siku saba.
*150*88#
Chagua 3
Chagua 2
Hiyo lazima utumie halopesa.