amatolo
JF-Expert Member
- Jul 24, 2017
- 690
- 711
Ila tigo wana matusi kwelisaizi yako
Ila tigo wana matusi kwelisaizi yako
Hawana ila kwa upande wa vifurushi wako vizuri naskia pia na TTCLTatizo hawana 4G
Kipo mi ndo nakitumia hapaHakipo tena hicho kifurushi ni saizi yako kwenda mbele sasa hivi
Dk 60 mitandao yote kwa 500 wiki nzima yakweli hayo eti jamaniSize yako acha ibaki tu. Napewa GB 4 kwa 2000 tena wiki nzima, 4000 dk 120 mitandao yote+1GB+unlimited sms vyote hivyo hadi siku zitakapoisha! Dk 60 mitandao yt kwa 500 wiki nzima, nk nying tu acha zile social pack. Size yako kwangu ibaki tu
Ukiwa ea-tl hutajuta.
Hiz offer zinatofautiana line na line na ndy mana mtoa mada katoa kilio chake..kwann hujajiuliza napata vp GB 4 tena kwa 2000 kwa wiki nzima! Mbn hujiuliz 4000 unapewa vp dk 120 mitandao yote +1GB + unlimited sms until you finish each of them!Dk 60 mitandao yote kwa 500 wiki nzima yakweli hayo eti jamani
Ujinga wa saizi yako, inatofautiana kwa mteja na mteja.
weka vizuri.. 4000 ni nini? 4000 Tsh unapata dk 120? au nimeelewa sivyo!Size yako acha ibaki tu. Napewa GB 4 kwa 2000 tena wiki nzima, 4000 dk 120 mitandao yote+1GB+unlimited sms vyote hivyo hadi siku zitakapoisha! Dk 60 mitandao yt kwa 500 wiki nzima, nk nying tu acha zile social pack. Size yako kwangu ibaki tu
Na asiyenacho hata kile alichonacho ananyanganywa pia na akinyanganywa, tayr uzi unaandaliwaKuna masikini, wenye Hali ya Kati na matajiri 😀😀, inategemea huwa unajiunga na kifurushi gani. Aliyenacho anapewa zaidi
Ndiyoo!4000 Tsh unapata dk 120?
😀😀😀Na asiyenacho hata kile alichonacho ananyanganywa pia na akinyanganywa, tayr uzi unaandaliwa
Size yako acha ibaki tu. Napewa GB 4 kwa 2000 tena wiki nzima, 4000 dk 120 mitandao yote+1GB+unlimited sms vyote hivyo hadi siku zitakapoisha! Dk 60 mitandao yt kwa 500 wiki nzima, nk nying tu acha zile social pack. Size yako kwangu ibaki tu
Hiz offer zinatofautiana line na line na ndy mana mtoa mada katoa kilio chake..kwann hujajiuliza napata vp GB 4 tena kwa 2000 kwa wiki nzima! Mbn hujiuliz 4000 unapewa vp dk 120 mitandao yote +1GB + unlimited sms until you finish each of them!
Salam senu kwa mpigo eti.
Ngoja niende kwenye hoja.
Hivi nyie tigo mmekuaje kutubalidikia hivi na ka-msemo kenu ka saizi yako??
Tulizoea unajiunga unapata bando la intanet,dakika na sms lukuki:
Mmekuja na huyu ndugu yenu anaeitwa saizi yako kaja kavuruga utaratibu woote.
Mimi binafsi NIMEWAHAMA.KWAHERINI
Mkuu ni kweli mana lime ina mwez natumia..hlf hiz ofa zinatofautiana line kwa line!Mkuu mungu anakuona!
TTCL buku GB 10Size yako acha ibaki tu. Napewa GB 4 kwa 2000 tena wiki nzima, 4000 dk 120 mitandao yote+1GB+unlimited sms vyote hivyo hadi siku zitakapoisha! Dk 60 mitandao yt kwa 500 wiki nzima, nk nying tu acha zile social pack. Size yako kwangu ibaki tu
Shida ya hiyo line inashika Tanzania tu!TTCL buku GB 10