Papushikashi
JF-Expert Member
- Feb 28, 2016
- 10,708
- 12,789
Yaani mimi nikisikia Saizi yako akili yangu hii ya kijiko inanituma kwingine kabisa
Mwenyewe nataka niipasue muda huuVoda ndo nimesha pasua chip, sitaki ujinga mimi
Ndiyo maana ya size yako mkuu..!! "Cha mtu chake,komaa na size yako mkuu"Ujinga wa saizi yako, inatofautiana kwa mteja na mteja.
inakupeleka mguu wa tatuu kwa asumani kichwa wazi aloooo sio poaYaani mimi nikisikia Saizi yako akili yangu hii ya kijiko inanituma kwingine kabisa
Hawa sasa ni baraha ttcl wanavunja bend zote!! In kama BURERudi nyumban kumenoga ttcl...ndo kuna unafuu
Umeona eeHawa sasa ni baraha ttcl wanavunja bend zote!! In kama BURE
inakupeleka mguu wa tatuu kwa asumani kichwa wazi aloooo sio poa
Mimi napata hivi si habaView attachment 1167091
Tsh 2500 mb 500 per week?Mkuu ni kweli mana lime ina mwez natumia..hlf hiz ofa zinatofautiana line kwa line!
Mfn voda niliyokua natumia walinipa gb 1 kwa buku kweny ile part ya ofa yako then wakaitoa..baday ile ofa kaskazin wakanipa 1.5GB kwa 1500tsh baada ya mwaka wakaitoa na saiv ndy hiyo 2500tsh unapata 500mb per week na ile nyingn wanatoa GB 5 kwa 20000tsh per month kweny ofa yako hiyohyo..ndy nimehamia tgo saiv
Mie naona wananiletea mfurugo (in senga's voice)Kuna masikini, wenye Hali ya Kati na matajiri , inategemea huwa unajiunga na kifurushi gani. Aliyenacho anapewa zaidi
Nenda airtel. Internet ya siku 3 ni 2GB kwa 1000 na dakika 120.
5000 dakika 250 ya kuongea mitandao yote wiki nzima
Sorry ni 1GB mkuu. (Hizi smart phone)Hicho kifurushi cha 1000 2GB siku 3 unabonyeza namba zipi?
HII laini ya hivi hua mmeanzaga itumia lini? mbona mimi mtumiaji wa huu mtandao tangu 2009 lakn sina hizi option? au kwakua nlikua naiweka mara 1 kwa mwezi?Size yako acha ibaki tu. Napewa GB 4 kwa 2000 tena wiki nzima, 4000 dk 120 mitandao yote+1GB+unlimited sms vyote hivyo hadi siku zitakapoisha! Dk 60 mitandao yt kwa 500 wiki nzima, nk nying tu acha zile social pack. Size yako kwangu ibaki tu