Tigo Mungu anawaona

Tigo Mungu anawaona

julaibibi

JF-Expert Member
Joined
Jun 16, 2020
Posts
3,341
Reaction score
4,572
Nimelala na sh200 kwa ajili ya ku access bankmobile cha ajabu sijaweka setting za internet za tigo wala sijabip wala kupokea. Naamka hakuna hata shilingi? kweli? sasa imekuwa dasturi Tigo usilaze vocha ikiwa hujaungwa wanailamba. Haya sina pa kuwashtaki ila kwa njia moja au nyingine Mungu atanilipia
 
Pole mkuu.
nimezalilika sana hela ndogo ila ili u acess crdb mobile lazima uwe na walau sh 100 na una hela kweny ac hata mil 10 ila bila sh 100 huwez pata access na nilitaka kujirushia kwenye mtandao wa sim nitoe naul mana hapa nilipo ni mkoa
 
nimezalilika sana hela ndogo ila ili u acess crdb mobile lazima uwe na walau sh 100 na una hela kweny ac hata mil 10 ila bila sh 100 huwez pata access na nilitaka kujirushia kwenye mtandao wa sim nitoe naul mana hapa nilipo ni mkoa
Pole sana.
Kama vipi nicheki na namba yako kando ili nikupige tafu maisha yaendelee.
 
Weka balance kubwa ili hata wakiiba hata usijue.. unajitafutia stress zisizo na maana bila sababu
 
Mitandao ya simu ni matapeli wakubwa. Mimi nina router nilikua na salio baadae sikulikuta.. nilipotoa line nikaangalia nikakuta sms nimejiunga na kitu kinaitwa airtel games. Nikawapigia simu wakaniambia nimejiunga mwenyewe nikalumbana nao wakaiondoa na nikaona msg nimejiondoa.. nikakaa baada ya kama week nikacheki salio nikakuta limekatwa tena. Niliporudisha line kusoma sms nikakuta siku ile ile niliyoondolewa baada ya masaa kadhaa nilitumiwa ujumbe karibu umejiunga upya kwenye airtel games.
 
nimelala na sh200 kwa ajil ya ku access bankmobile cha ajab sijaweka setting za internet za tigo wala sijabip wala kupokea.naamka hakuna hata shilingi? kweli? sasa imekua dasturi tigo usilaze vocha ikiwa hejaungwa wanailamba.haya sina pa kuwashtak ila kwa njia moj au nyingine mungu atanilipia
The same na Vodacom wako hivyo,halafu ukifatilia wanakwambia ulijiunga na michezo gani gani sijui ambayo unalipia kila mwezi kitu ambacho wewe hukijui...majizi sana
 
Nenda mahakamani.
Huu ndio utofauti wa Watanzania na Wazungu.
Ndio maana Magufuli alizuia stahiki za watumishi miaka 6 na hakuna aliyetoa reaction yoyote.
Watanzania wameletewa tozo wanaishia kulalamika tu.
Kama vipi kopa lipa, kopa lipa ikitimia laki 2 wachane kuwa hulipi au nyuti kimya.
 
Tz kwa sasa ina watu million 60 Jaribu kufikiria hiyo 200 waliyo kukata wamekata kwa watu million 2 tu hapo wanakua wamejiingizia million 400 kwenye kampuni na ukiwapigia sim wanajidai kukudanganya sijui ulijiunga na huduma flan ambayo si kitu Cha kweli badae wanajidai wanakuondoa kweny hyo huduma ambayo hukujiunga huku wameshachukua 200 yako na hawarudishi.
Kwa michezo hiyo unakuta kmpuni inatapeli wa tz kias hata cha billion 1 kwa wiki na kwakua wa tz n watu wa kupuuza mtu anapotezea tu hawez hata kwenda kufungua mashtaka na hapo hapo ndo wanapo nufaika
 
Niliwahi kusumbuana sana na tigo, ukiapigia leo wanakuambia ulijiunga tigo mapenzi wanakuondoa, kesho wanakukuta tena ukiulizwa wanakuambia ulijiunga sports..utapeli mtupu. Na wanasema hawatunzi taarifa za kwamba ulijiungaje ili wakusingizie uoijiunga mwenyewe.
 
nimezalilika sana hela ndogo ila ili u acess crdb mobile lazima uwe na walau sh 100 na una hela kweny ac hata mil 10 ila bila sh 100 huwez pata access na nilitaka kujirushia kwenye mtandao wa sim nitoe naul mana hapa nilipo ni mkoa
Download app ya sim banking uondokane na kero km izo ni mb zko tu na kucheki salio ni bure
 
Hiyo michezo wanayo hasa Tigo. Ukibakiza salio kuanzia 500 ujue utaunganishwa kwenye vifurushi km hivyo vya games, hadithi, nyimbo n.k ili mradi wachukue hela.
Wanafanya hivi kimakusudi na wanaweka na sababu kbsa.
Hapo nikuweka hela Tigo pesa na ukitaka kujiunga kifurushi. Chagua kifurushi kwenye malipo, chagua Tigo pesa.
Wanabana dk, sms na mb halafu bado wanaiba pesa. Hii mitandao ni matapeli halafu ndiyo mambo yao
Mitandao ya simu ni matapeli wakubwa. Mimi nina router nilikua na salio baadae sikulikuta.. nilipotoa line nikaangalia nikakuta sms nimejiunga na kitu kinaitwa airtel games. Nikawapigia simu wakaniambia nimejiunga mwenyewe nikalumbana nao wakaiondoa na nikaona msg nimejiondoa.. nikakaa baada ya kama week nikacheki salio nikakuta limekatwa tena. Niliporudisha line kusoma sms nikakuta siku ile ile niliyoondolewa baada ya masaa kadhaa nilitumiwa ujumbe karibu umejiunga upya kwenye airtel games.
 
Mimi iko tofauti kidogo sasahivi Nikiweka vocha bila kujiunga haki ya mungu internet haifunguki hadi nijiunge sijajua kwanini hata pawe na salio lazima kwanza nijiunge ndo nipate huduma
 
Mie nlishaacha siku nyingi kuacha salio kuu kwenye simu. Ht sh 50 siachi

Pole sana Julaibibi. Ila wasamehe
 
Back
Top Bottom