julaibibi
JF-Expert Member
- Jun 16, 2020
- 3,341
- 4,572
Nimelala na sh200 kwa ajili ya ku access bankmobile cha ajabu sijaweka setting za internet za tigo wala sijabip wala kupokea. Naamka hakuna hata shilingi? kweli? sasa imekuwa dasturi Tigo usilaze vocha ikiwa hujaungwa wanailamba. Haya sina pa kuwashtaki ila kwa njia moja au nyingine Mungu atanilipia
