Nyamizi
Platinum Member
- Feb 19, 2009
- 9,190
- 13,733
Mimi iko tofauti kidogo sasahivi Nikiweka vocha bila kujiunga haki ya mungu internet haifunguki hadi nijiunge sijajua kwanini hata pawe na salio lazima kwanza nijiunge ndo nipate huduma
Hiyo utakuwa uliweka setting ya kulimit matumizi ya Internent kwa kifurushi peke yake,hii huwa ni msg flan inakuletea hiyo option,ukibonyeza kukubali basi,kifurushi kikiisha,Internent haitumii airtime ya kawaida.Kama huhitaji unaweza kurest kuruhusu Internent kutumia airtime ya kawaida pindi Kifurushi kinapokwisha.