Kaa la Moto
JF-Expert Member
- Apr 24, 2008
- 7,903
- 1,053
mbona hata hiyo extreme is no longer there!Kwa kweli TIGO wanasikitisha, unaweza kuongea na simu inakatika bila sababu au inakoromaaa. Huu si mtandao nakwambia, wabaki wanafunzi tu wa sekondari kuutumia na extreme zao