Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 17,170
- 26,530
Siku ya tatu leo , mtandao ya Tigo a.ka MIX by Yass haupatikani, ukitaka kuingia kwenye App ni kama mdukuaji na huwezi fanya transaction.
Wenzangu nanyi mnapata changamoto hiyo au mimi bibi yenu pekee?
Wenzangu nanyi mnapata changamoto hiyo au mimi bibi yenu pekee?