HeartBreak
JF-Expert Member
- Apr 21, 2008
- 346
- 27
najutia kuzaliwa tanzania....naomba mungu chama cha magamba kipotee kabisa kwa kutojali watanzania wenye vipaji
Mhando aliibadilisha sana TBC lakn watu wenye interest zao wakamwona kimeo, cjui watz 2nataka nn maana hata watalam wetu wakpngana tu na wakbwa na wakaamua kusema ukweli wanaonekana wabaya! Al th best Tido.
tido mhando ..... Kitu cha kwanza nakushauri umchukue jerry muro .... Mzee wa investigative journalism
Mcheza kwao hutuzwa, kwa hiyo Tido kumbuka home na usilipize kisasi ila endeleza ukweli ule ule uliokufanya ukaondoka TBC. The fact is ulikuwa mkweli ili ukataliwe na wenye kupenda mambo ya kufunika na ukasimama kidete Mungu akapendezwa na wewe na ona amekupandisha juu kwenye kinara na sasa unawaangalia TBC wakitambaa chini. Umeinuka na umepandishwa juu na maadam unayajua mengi kama Musa ktk nyumba ya Pharao basi uliko ni hakika utakuwa Musa mkombozi wa wana wa Israel.